DOKEZO Inadaiwa kila aliyehudhuria Tamasha la Kizimkazi amelipiwa Nauli, Malazi na Posho kabambe, Hizi hela zimetoka wapi?

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Kwani mama hana mshahara? Au kila kitu nyie mnajifanya wajuaji. Shida ni hii unemproyment rate iliyoachwa na jpm imehalibuu ubongo wenu
 
Watanzania tuache roho mbaya na uzandiki, kweli unaweza kuhoji tamasha au hafla ya rais? Hayo ni Majungu tufacus na mambo ya familia zetu badala ya kufuatilia maisha ya mtu, hata kwenye biblia wafalme walikuwa wanafanya sherehe,balimbali, kwa mfalme wa nchi chakula hakipungui .
 
Atleast Chato ilikua kwenye ramani
Kwani kizimkazi haipo kwenye ramani?!. Magufuli alikuwa rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania anayetokea Chato mkoani Geita.
Samia ni rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania anayetokea Kizimkazi mkoa wa Kusini Unguja.
Visiwa vya Unguja na Pemba ni sehemu ya jamhuri ya muungano wa Tanzania.
SHIDA IKO WAPI?!
 
Jina lako bhana!πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
 
Kifupi kuishi bongo inahitaji kujitoa ufahamu kuhusu mambo yanayoendelea otherwise unaweza kujitoa muhanga buree
 
Tuliohudhuria hafla ya uzinduzi wa ghorofa la Mbowe Machame pia tulilipwa hela
 
Ni kodi na tozo zetu mama na wanawe wanazichezea kama mali yao binafsi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…