Looh, wanapiga tiktaka kwenda pande zote ili mradi TUMBO.Hao chawa wa Mbowe wanataka rushwa toka kwa mama wanamtisha eti Mbowe akishindwà na Sami a atashindwa kitu ambacho si kweli.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Looh, wanapiga tiktaka kwenda pande zote ili mradi TUMBO.Hao chawa wa Mbowe wanataka rushwa toka kwa mama wanamtisha eti Mbowe akishindwà na Sami a atashindwa kitu ambacho si kweli.
Duh 🙄 !Hata tukiweka andaz tunashnda
Yaelekea, maana imebaki robo tu ya utabiri mzima ukamilike, tuendelee kusikilizia mdundo unavyozidi kusogea.Utabiri utatimia
Hakuna ubishi, umemaliza , ndivyo ilivyo kabisa.Mwenyekiti is holding the four aces ndani ya Chama ndivyo ilivyokuwa miaka yote na ndivyo ilivyo hivi sasa na ndivyo itakavyokuwa hapo baadaye !
Hakuna wa kumtingisha !
Labda atake mwenyewe !
Na Ule upande wa pili wa shilingi huko pia yeye ndiye top top manyota hakuna wa kumbabaisha !
Tukisema ule msemo “ Locuta causa finita muwe mnatuelewa Bandugu !
Iko vile na ndivyo itakavyokuwa !
Au nasema uongo ndugu zanguni ????!
😂😂👍🙏🙏
Hahaha....ngoja nicheke tu bila kucoment.Lissu akishinda watakuja na hoja ya kuweka mgombea strong wa kupambana na kuigaragaza CHADEMA hapo ndipo bi mkubwa atawekewa washindani na Tog.....i Mav.....a ambaye kwasasa ni balozi huko kwenye nchi moja ya Asia ndiye atashinda na kupeperusha bendera ya chama.
Bimkubwa usalama wako ni kumpigania mjomba angu aendelee kuongoza kikoba kwa miaka mingine 5 vinginevyo anza kufungasha mabegi.
CHADEMA si tishio kwenye nafasi ya uraisi. Kumpitisha au kutompitisha Daktari Samia kuipeperusha bendera ya chama cha mapinduzi haina uhusiano na wanachofanya CHADEMA.
😁😁😁😁Huwa mnafikiria nini?
Yaani Togolani awe Rais wa Nchi?
Yeye mwenyewe akisikia hii ataugua.
Huwa mnafikiria nini?
Yaani Togolani awe Rais wa Nchi?
Yeye mwenyewe akisikia hii ataugua.
Kwa mujibu wa chawaMama ni mitano tena. Hizi zingine ni ndoto za mchana kabisa.
Tusubiri kwenye sanduku la kura hapo October kama kutatokea muujiza !Hakuna ubishi, umemaliza , ndivyo ilivyo kabisa.
Mh. Rais amefanya kazi kubwa sana inayojinadi yenyewe mfano:-Kwa mujibu wa
💯Chadema naona kama wana shida zao ndani hawana mpango kabisa wa kuwanyang'anya ccm madaraka ya kuongoza nchi. Wanapata hata muda wa kuplan hilo kweli kwa wanayopitia?
Refer kilichompeleka Dr. Slaa LupangoLissu akishinda watakuja na hoja ya kuweka mgombea strong wa kupambana na kuigaragaza CHADEMA hapo ndipo bi mkubwa atawekewa washindani na Tog.....i Mav.....a ambaye kwasasa ni balozi huko kwenye nchi moja ya Asia ndiye atashinda na kupeperusha bendera ya chama.
Bimkubwa usalama wako ni kumpigania mjomba angu aendelee kuongoza kikoba kwa miaka mingine 5 vinginevyo anza kufungasha mabegi.
Hata akishinda watamnyong'onyeza chama kisiwe na nguvu.Lissu akishinda watakuja na hoja ya kuweka mgombea strong wa kupambana na kuigaragaza CHADEMA hapo ndipo bi mkubwa atawekewa washindani na Tog.....i Mav.....a ambaye kwasasa ni balozi huko kwenye nchi moja ya Asia ndiye atashinda na kupeperusha bendera ya chama.
Bimkubwa usalama wako ni kumpigania mjomba angu aendelee kuongoza kikoba kwa miaka mingine 5 vinginevyo anza kufungasha mabegi.