Pre GE2025 Inadaiwa Lissu atanunuliwa gari jipya na CCM

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hii ni tetesi au Habari za chini ya kapeti au za chini ya uvungu
whatch and follow it carefully and keenly you will realize the truth πŸ’
 
I think that is setback story,

CCM will not loose direction on this project in any way πŸ’

other stories and discussions than the project ahead, are for the other day πŸ’
 
siyo propaganda tu,
CCM iko vizuri kuongoza nchi kwa amani na utulivu, na kutekeleza vyema kwa vitendo, ahadi na ilani ya uchaguzi ya chama cha mapinduzi kama ilivyo waahidi waTanzania πŸ’

hili la huyo muungwana kiongozi muandamizi wa chadema Taifa, nadhan linakwenda kutekelezwa pia, ieleweke kwamba sio kwa ubaya, but kutekeleza falsafa ya 4Rs za Dr Samia Suluhu Hassan πŸ’
 
Yes,
Msigwa ametengeneza njia na sasa wanafukia fukia mashimo kidogo na muungwana atapatiwa usafiri ili apite vizuri, and the mission will be accomplished near general elections, sio kwa ubaya lakini πŸ’
 
CCM ni wauaji kwa jaribio la Lisu, na Lisu anapendwa na watanzania labda nao ccm wajipendekeze baada ya kuona mbona mchango unakaribia million mia 2 ili mwamba avute ndinga mpya
atapatiwa usafiri wa gari la kisasa na CCM, lenye thamani isiyopungua milioni mia6 nawe unazungumzia 2kweli?πŸ’
 
Yes,
Msigwa ametengeneza njia na sasa wanafukia fukia mashimo kidogo na muungwana atapatiwa usafiri ili apite vizuri, and the mission will be accomplished near general elections, sio kwa ubaya lakini πŸ’
This is how Lissu's aquarius star looks like . Let it be to our next president Tundu Lissu.
 
usichanganye mambo gentleman, punguza mihemko na makasiriko....

huu ni karibu mwezi wa tatu Lisu anaomba huku na kule achangiwe pesa anunue gari kwaajili ya kunulia gari, michango haisogei kabisa....

kwa huruma ya wanaCCM wakaona isiwe tabu, alichochangiwa atumie kwa matumizi mengine, ila apewe gari jipya kubwa la kisasa kwa gharama za CCM...

shughuli za maendeleo y wananchi ziko pale pale. Lisu mwenyewe akijiskia kuhamia CCM ni hiari, haki, uhuru na uamuzi wake πŸ’
 
Baada ya kushindwa kumwua kinguvu mnaona muda mzuri ni kumpa faraja ya gari ili mmalize kiaina.
 
Rushwa ni adui wa haki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…