actually ni kweli,atanunuliwa na watanzania cyo majizi ccm
relax and don't panic,This is how Lissu's aquarius star looks like . Let it be to our next president Tundu Lissu.
labda angekuwa mwingine kwa lissu apokee tu mama hana baya we ngoja wakati wakampen ndio ccm watajua wanajua hawajui, ningekuwa lissu na kadi ya chama ningechukua kabisa afu ningegombea hukohuko chaman hy nch yetu sote *****Hakuna mjinga wa kukubali pesa yenu au gari yenu ccm hamuaminiki
project ya CCM iliyopo ni huyu kiongozi muungwana kupata usafiri wa kisasa ambao itamsaidia kwenye shughuli na kazi zake binafsi na za kifamilia, na si vinginevyo πBaada ya kushindwa kumwua kinguvu mnaona muda mzuri ni kumpa faraja ya gari ili mmalize kiaina.
ni mTanzania mwenzetu, rafiki na ndugu wa wengi sana CCM, hakuna ubaya kibinafsi na kwakweli hakuna lenye shaka juu ya mahusiano baina ya Lisu na wana CCM . Gari atapatiwa bila masharti yoyote ya matumizi na yuko huru kufanya siasa zake kadiri anavyoona inafaa πlabda angekuwa mwingine kwa lissu apokee tu mama hana baya we ngoja wakati wakampen ndio ccm watajua wanajua hawajui, ningekuwa lissu na kadi ya chama ningechukua kabisa afu ningegombea hukohuko chaman hy nch yetu sote *****
Inadaiwa... π π πLicha ya kuomba kuchangiwa kwa hali na mali na waTanzania, kwajili ya kununua gari jipya ya kufanyia shughuli zake binafsi za kisiasa, lakini pia pesa nyingine kwaajili ya matengenezo ya gari lake lililohusuka katika assassination attempt miaka kadhaa iliyopita pita, pamoja na mafuta, inasemekana
wadau, mashabiki, wakereketwa, wafuasi, wafanyabiashara na baadhi ya viongozi waandamizi na wasamaria wema ndani ya CCM wamejipanga, sio tu kumpiga Lissu jeki ya fedha, bali pia kumnunulia gari jipya, kubwa la kisasa litakaloendana na hali yake, lakini pia kulingana mazingira ya miundombinu ya barabara za Tanzania.
Je, haya ni miongoni mwa matunda, matokeo mafanikio chanya ya 4R theories alizobuni Rais Samia Suluhu Hassan katika kuliunganisha Taifa?
Una maoni gani kuhusu mustakabali wa siasa za Tanzania, ikiwa tetesi hii ni kweli na ikafanikiwa?
Pia soma: CCM wamchangia Lissu Milioni 5 atengeneze gari lake. Lissu azipokea
walishindwa mapema sana gentleman πHivi ni kweli CHADEMA wameshindwa kumnunulia Lisu gari mpya?
Kusahaulisha yaliyotpkea MbeyaYou mean kujikomba sana baada ya kuyatianga
alishalipwa fedha zake zote ikiwa ni pamoja na za matibabu, posho za vikao, marupurupu na malimbikizo yake yote,Hela anazodai hamjamlipa ila mnataka kumnunulia gariππ
Baada ya kumtia Lissu ulemavu, sasa wanamnunulia usafiri.CCM ina huruma sana
kwa hiyo kwa huruma ya ccm gari la milion mia 6 ndani yake mnamwekea na VX gas ili mmalizane naye kabisa cyoni kulingana na hali yake ilivyo π
Hakuna lisilowezekana chini ya juaLicha ya kuomba kuchangiwa kwa hali na mali na waTanzania, kwajili ya kununua gari jipya ya kufanyia shughuli zake binafsi za kisiasa, lakini pia pesa nyingine kwaajili ya matengenezo ya gari lake lililohusuka katika assassination attempt miaka kadhaa iliyopita pita, pamoja na mafuta, inasemekana
wadau, mashabiki, wakereketwa, wafuasi, wafanyabiashara na baadhi ya viongozi waandamizi na wasamaria wema ndani ya CCM wamejipanga, sio tu kumpiga Lissu jeki ya fedha, bali pia kumnunulia gari jipya, kubwa la kisasa litakaloendana na hali yake, lakini pia kulingana mazingira ya miundombinu ya barabara za Tanzania.
Je, haya ni miongoni mwa matunda, matokeo mafanikio chanya ya 4R theories alizobuni Rais Samia Suluhu Hassan katika kuliunganisha Taifa?
Una maoni gani kuhusu mustakabali wa siasa za Tanzania, ikiwa tetesi hii ni kweli na ikafanikiwa?
Pia soma: CCM wamchangia Lissu Milioni 5 atengeneze gari lake. Lissu azipokea