ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,152
- 33,899
Kesha lazwa chali huyo.Jina sio issue tena!Jina ni Salha sio Swalha,..msiharibu majina mazuri ya wanawake wazuri wa kiislam
Mwanamme mpumbavu sana tena sana, hii story inaweza kuwa kweli au sio kweli tuseme kuwa ni kweli, wewe mwanamme unajuwa kabisa mwanamke hakupendi na labda yeye ndio alisababisha aondoke kwa mumewe wa kwanza sasa kama uliweza kumtoa kwa mumewe wewe umemuumiza mtu na wewe ujuwe utatendewa. Ok unamnunulia nyumba sijui biashara kwanini usiweke masharti katika manunuzi kama mke unajuwa kaja kwa ajili ya pesa hapa mimi namlaumu mwanamme 100% mjinga na hakujipanga.... kati yao wa kulaumiwa nani?
Bullet proof haitolewi kama njugu...Sasa hivi tunaenda kwenye mafunzo muda wote tutavaa bulletproof
Kuna wajinga hufanya hivyo.Kwamba unamjengea mwanamke nyumba tatu zote za kazi gani?
Mwanaharakati sio wa kumuaminiUkiwasikia wale ma single maza wa Instagram wanavyomtetea huyo demu na kuponda ndoa ndo utajua wanawake wote akili zao zinafanana yule jamaa aliyefungiwa na demu wake pale kimara na nyumba ikapigwa moto walikuwa wanatetea ila wanaume jinsi tunavyopenda sisi mpaka tukifikia hatua hyo ujue demu kazingua sana .
Hujajua hata ulichoandika , kama mtu humpendi Kwa nini usimwambie mapema wakat anakupiga mistari ? Una uhakika jamaa alijua ameolewa ? Wadada wa mjini ukimtongoza ukamuuliza Una mtu , anakwambia sina , na hakuna mtu anayeoa binti aliyeolewa , mpak mnafunga na ndoa kabisa ina mana umeridhia , then unapiga u-turn, huyo dada alikuwa mdangaji , alikuwa analiwa mpak na akina Hbaba ,Mwanamme mpumbavu sana tena sana, hii story inaweza kuwa kweli au sio kweli tuseme kuwa ni kweli, wewe mwanamme unajuwa kabisa mwanamke hakupendi na labda yeye ndio alisababisha aondoke kwa mumewe wa kwanza sasa kama uliweza kumtoa kwa mumewe wewe umemuumiza mtu na wewe ujuwe utatendewa. Ok unamnunulia nyumba sijui biashara kwanini usiweke masharti katika manunuzi kama mke unajuwa kaja kwa ajili ya pesa hapa mimi namlaumu mwanamme 100% mjinga na hakujipanga.
Ww unadhani wapi utamkuta demu mzuri single!!?Usithubutu kuoa mpenzi wa mtu
Huko kwenu wachuna ngozi wako wengi!!Nyanda za juu kusin shujaa wetu nan
Hii story ya nyumba 3 ina mashaka maana tunaambiwa ndoa ina miezi 5 tu sasa hizo nyumba zilijengwa wakati wa uchumba au? kama ni kweli huyu Said jinga number moja Tanzania unamjengea kimada nyumba 3 ili iweje? kama ni kweli huyu jamaa mjinga ndio maana matendo yake ya kijinga yameenda naye.... huku ameshamjengea nyumba 3! Dah; omba Mungu yasikukute; tusimcheke Said.
Mawazo kama haya ni majasusi ya Kremlin tu yaliyomzunguka Putin ndio yanaweza kufikiri hivi! Wakati jamii yote imeenda kulia ww umekwenda kushoto!Hivi Itakuwaje Tukiwaza kuwa Ex wa Swalha ndo kawaua wote wawili na kwenda kumtupa Said Ziwani?
Mwanamke si wa Singida yuleWanaume wa kanda ya ziwa na misimamo yao VS Wanawake wa Singida na drama zao!
Lazima pangechimbika haya makabila huwezi kuwaweka pamoja km mke na mume
Si mnasema jamaa tajiri kamjengea nyumba tatu na magari ila yeye kujinunulia gari hana uwezo? unatoka safari na nini bus? tajiri, mbona dot haziungi hapa? haina petrol tajiri alishindwa kutuma pesa jaza mafuta, tuma dereva hawa matajiri gani kujengea nyumba tatu mademu wanaweza wao hawana usafiri. Hii story inaungwa kutaka kuonesha mwanamme alikuwa sawa, Tajiri huna gari private 😉Na Bado jamaa nasikia alitoka safari,na Akamuomba mke wake aende akampokee. Etii mke akamjibu gari haina Mafuta chukua boda..
Hya yamesemwa na mama mzaa Chema mwenyewe. Sio maneno ya mtaani. Ingia Millard ayo usimkilize huyo mama wa swalhaSi mnasema jamaa tajiri kamjengea nyumba tatu na magari ila yeye kujinunulia gari hana uwezo? unatoka safari na nini bus? tajiri, mbona dot haziungi hapa? haina petrol tajiri alishindwa kutuma pesa jaza mafuta, tuma dereva hawa matajiri gani kujengea nyumba tatu mademu wanaweza wao hawana usafiri. Hii story inaungwa kutaka kuonesha mwanamme alikuwa sawa, Tajiri huna gari private 😉
Ila kifupi mwanamke alikuwa mcharukoMnazusha tu ila ukweli ni kwamba Marehemu Saidi hakupendwa na Marehemu swalha.
Swalha alipenda pesa zake na saidi alipenda kiki ya kuoa pisi kali. Inshort hakukua na ndoa serious pale
Tukio kama la Said wanawake mjipange mtashuhudia mengi kwanza matobo yenu sasa hivi hayana stimu hata kwenu wenyewe ila misumari mnapanda daily, mjipange sana.
Huyo mwanamke siyo wa Singida. Anatokea Chemba zamani Kondoa. Mrangi huyo.