Inadaiwa marehemu Swalha alikuwa analazimisha talaka ili arudiane na mume wake wa zamani na siku ya tukio alienda nae kwenye tamasha la muziki

صلح
To be righteous
To be good
To be perfect condition
To be honest
To be upright
Neno moja kwa maneno yate.
ni Virtuous,..

Good moral values

Je Swalha maana.yake nini??
 
Mkuu huo mbona utaratibu wa kawaida sana, unatambulika, kutokana na mahitaji yangu, nahitaji sasa bastola kisasa, kuanzia ukubwa, speed nk.

Huku Tz wanaruhusu kufunga SILENCER/SOUND MODERATOR kwenye Bastola??

Natamani sana iwe hivyo, wakati nipo South ilikuwa baridi tu, maana kule ni vichwa maji sana.
 
Wewe endelea kukariri mistari mnayofundishwa ila mie ndio ninazo na ninazimiliki kihalali sasa.... nimekwambia au nimeandika kuwa mmiliki wa kwanza alifariki?
 
Usije kuulia mtu makusudi hayo mavitu yenu mnayomiliki.

Maana huwa mnajiona miungu watu mkiwa nayo makitu
Ukifanya maksudi lazima ikugharimu mkuu.... japokuwa kuna muda inabidi ujikaze sana kihisia.
 
Mimi nilidhanigi ukiwa na pesa unapendwa tu ..kumbe unaweza kkwa nazo na bado ukateswa na mapenzi[emoji15][emoji15][emoji134]
Kiruuu...kiboo Cha mbesiii



Nazani wale wanasemaga tafuta hela wameshapata Habari yao kupitia matukio mbalimbali ya kufanana na hilo
 
Wanawake ni mashetani,nukuu toka kwenye maandiko matakatifu
 
Uyu alikua Malaya WA kibongo wanaenda ZENJI kuuza wacha uboya
Na ungeenda mitaa ya wajanja wakizenji wangekujamata unachungulia ungef**a mpk ukatapika Makande nyau
 
Nikuulize wewe unaefurahisha genge, nina Marker4 na Shotgun niliyorithishwa na mzee wangu kihalali kabisa na pia nina Beretta Pxs niliyoinunua kwa pesa yangu pale Tanganyika arms. Na vyote vipo kihalali hadi hati safi ninayo.
Mkuu ningependa kufahamu utaratibu wa kurithi moto?
 
Hizo ni habari za uzushi tu.Kama huyo mume wa kwanza hakuwa na pesa Mbona ,alishawahi kumununulia Swala Prado?Mm nafikiri siri ya kutoelewana,wanaijua wao .
 
Kuna staged killings, muuaji anaua mmoja then anaondoka na mwingine na kummulia mbali kisha scenarior inaonekana mume kammaliza mke.
DUNIA INA MENGI MAMBO
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…