Tetesi: Inadaiwa uchunguzi juu ya kupotea kwa Ben Saanane unaendelea

Ikapatikana miili ya watu mto Ruvu maeneo ya bagamoyo
Na Waziri wa mambo ya ndani unataka atolee maelezo yaliyoandikwa na waandishi wa Gazeti la Mwananchi la Ijumaa ya tarehe 06/01/2023 katika ukurasa wa pili(2)?

Habari hiyo upo sehemu ya juu ya ukurasa huo. Na waandishi hawa kwa mujibu wa ukurasa huo wanapatikana kwa barua pepe ya mwananchipapers@mwananchi.co.tz
 
Nchi imeharibiwa na CCM kwa miaka mingi Magufuli akiwemo.

Yeye baada ya kuwa Rais akaendeleza na kuzidisha uharibifu kwa kufanya maovu mengi kama yalivyoelezwa na waliotangulia.
Sasa kwa nini tusishughulike na mzizi wa tatizo? Kama ccm imekuwa ikiharibu nchi kabla ya Magufuli hajawa rais na ccm hiyo hiyo ndio ikatuletea Magufuli kwanini tusipambane na Ccm badala ya kuangaika na Magufuli? Leo hii tunaona baadhi ya matatizo ya awamu ya nne yanarudia tena katika awamu hii na ni mambo ambayo yalipigiwa kelele wakati huo, ndio maana tudeal na ccm ikiwa kweli hatutaki mambo ya ajabu ajabu kujirudia.
 
Mkuu wewe ni Mkongwe humu halafu bado unahangaika na watu sampuli hiyo?

Mara mia umu ignore au piga dislike.
 
Kwenye mambo ya msingi ukiona mtu mzima kama huyo ana leta comedy tena mahali maisha ya mtu yamepotezwa ujue kuna walakini katika makuzi yake na mfumo wake wa maisha. Msamehe na kumpuuza
Mkuu hata walioshiriki kumteka wanaweza wakawa ndo hao hao unaowasoma humu.
 
Nakumbuka wewe ulikuwa kinara wa kumpiga biti Ben Saanane humu JF kuwa atapotezwa. Vipi unaweza kutupa clue ni kitu gani kilimkuta Ben?, Alipigwa risasi?, nyundo kichwani au alifungwa katika kiroba akatupwa baharini?
 
Kuna kijana alikuwa anamsema jiwe kule Kimara akiwa kwenye baa maeneo ya karibu na jiwe alipokuwa anahutubia kwenye mkutano. Na kwa kawaida, maeneo jirani na mikutano hao jamaa wanakuwepo kwenye bars, groceries, mahotelini nk.

Ghafla hao jamaa wakatokea na kumzingira, na kumpiga, by the time anaondolewa kupelekwa kwenye Noa, uso ulikuwa umeumuka, kisha wakaondoka naye.

Dogo hakuonekana kwa muda mrefu hata familia ikaingiwa na wasiwasi. Baada ya muda, walimchukuwa wakaenda kumtelekeza maeneo karibu na nyumbani kwao. Dogo alikuwa ametokea huko Kibosho.

Walimfanya kitu mbaya maana hakumbuki chochote, bali anakumbuka tu kulishwa ugali. Akili zake hazimo sawa na pia walimuhasi.

This is a true story!
 
Ushahidi wa hili unalosema
 
Duuh bora wawe walimfunga tu sehemu lakini awe hai Mungu saidia
 
Mbona kwenye kujenga Ikulu dodoma mnasema ni Jpm tu?
 
Aliyeua kwa upanga naye leo hayupo. Asante Mungu (au wanadamu wenye walioingia kati) kwa kutuondolea mbali lile dubwasha lililoitwa JPM.

Kwangu 17 March,2021 ilikuwa siku ya furaha sana na itabaki hivyo milele.
Halima hiyo 17 March ya mwaka wowote utaondokewa na mtu wako wa karibu tuone kama itaendelea kuwa siku ya furaha kwako
 
Hii taarifa imemuibua Sirro kwenda kuhojiwa ITV Dk 45.

Unganisheni nukta kujitokeza kwa Balozi Sirro kujibu hoja za waliopotea alipokuwa IGP
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…