Tetesi: Inadaiwa yupo safe house

Katiba mpya ni sasa katiba mpya ni sasa hii yote ni kuwa rais anakuwa Mungu Mtu yaani anamamlaka makubwa sana akitaka hata kuiuza nchi inawezekana na hakuna cha kumfanya maana katiba ya leo inamlinda na kumpa mamlaka makubwa hashitakiwi kwa anayoyafanya akiwa madarakani kwaiyo siku tukipata rais kichaa atatuburuza atakavyo mpaka akili za katiba mpya zitukae sawa
 

dah tuwe makini jaman na hizi taarifa hahaha huyu mtu yupo na nimemuona muda sio mrefu tena na yule bonge alikuwaga msaidizi wa magu
 
Babu wanafutana memory huko ukizingua,dizaini dishi linayumba,alikuwepo mmoja makumbusho kafomatiwa
 
Kazi za kuajiliwa utumwa wake unathibitishwa hapo haswa ukiwa nafasi za juu tena za uteuzi hakuna jinsi tuishi kwa wema( wamekula viapo hao hivyo watakula walipopeleka mboga). 2023 mapema inawaka Moto.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…