🤣🤣🤣kale kamsemo ka malipo ni hapa hapa ni hakika 100%Mama anaupiga mwingi ama vepe? Mwaka huu MATAGA mtakufa presha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣kale kamsemo ka malipo ni hapa hapa ni hakika 100%Mama anaupiga mwingi ama vepe? Mwaka huu MATAGA mtakufa presha
Kimeumana nini wazee? Kunani huko Pearl White Mansion?Na huko Mwenge nasikia gari hazipiti,wanapita baka baka tu na uelekeo ni huko huko nyumba nyeupe
Hii maneno "kutesa kwa zamu"haijawahi kuisha muda wake(expiry date).ni kama mtu akwambie MKOPO KESHONdio maana waswahili wakasema kutesa kwa zamu.
mnahamisha goli. weka picha kavipi.Nasikia alimtambia mbowe kwamba watamfanyia kama walivyomtenda bwana Ben Saa 1 mbowe juzi ndio kamchongea bwana Diwani kwa mama
Raia mnajua kutunga story..!
Mbuzi kala reli maaanKimeumana nini wazee? Kunani huko Pearl White Mansion?
Utatulia ukishazaa hiyo mimba inakusumbua sana.Timu gaidi wanajionaga hii Tanzania ni yao
Hio ni hatari kwenye langoMbuzi kala reli maaan
Hii tena global warminHuyu mwamba usikute kapiga tukio mahali patakatifu yani. Kunaonekana kama kuna uchafuzi wa hali ya hewa
Kwani kuna zuio la kuweka tetesi humu jamvini?Jamii forum. Ile fact check yenu imeishia wapi? How comes mtu anawaza jambo tu alafu anaweka humu alafu mnaliacha?
Ni Uzushi Mtupu!Tetesi tetesi.....
Jamii forum. Ile fact check yenu imeishia wapi? How comes mtu anawaza jambo tu alafu anaweka humu alafu mnaliacha?
Hakuna ZuioKwani kuna zuio la kuweka tetesi humu jamvini?
Sawa SawaNdio maana waswahili wakasema kutesa kwa zamu.
Yupo na nguvu kiasi hicho au kuna jipya.Na huko Mwenge nasikia gari hazipiti,wanapita baka baka tu na uelekeo ni huko huko nyumba nyeupe
Kumbe askari sio raia?Mkuu mbona unaita watu raia, kwani ww ni askari?