Inafikirisha: Miujiza ya Mchungaji Mwamposa

MWAKA WA KUMI SASA, WEWE KAZI YAKO;-
Napokea napokea napokea .........
libolibo libo libo, shandalabababa, nakemea nakemea.
Toka shetani, toka shetani.....

Mtu unashindwa kumiliki TIN number, halafu eti kwa imani una ndoto za kumiliki Container toka china!!
 
MIUJIZA YOTE YA KUFIKIRIKA.
HUWEZI SIKIA, UMEPATA MTAJI KWA UWEZA WA BWANA,KISHA UKAFUNGUA MADUKA MAKUBWA
 
hivi kwanini serikali intoa leseni kwa hawa matapeli wanaodanganya watu kuwa walemu watatembea, vipofu wataona.....huu si ni utapeli wa wazi na ushahidi upo, why??????
Daktari Bingwa wa Masikio Ana mtoto kiziwi.
Unamwita Bingwa Tapeli au Mbwiga ?
 
Kweli jamaa ni Bulldozer.
Mungu anamtumia kwa kiwango cha hali ya juu.
Jamaaa anachokifsnya ni kuhakikisha watu waone matatizo yao ni marahisi sana mbele za Mungu.
 
Niliacha kuamini hawa watu siku moja NABII TB JOSHUA nilikua namkubali sana kwa miujiza ya viwete wanatembea

Siku moja katika charity work yake walirusha ameenda kituo cha walemavu kutoa misaada.

Nilichoshangaa alitoa misaada ya chakula pamoja na wheelchairs kwa walemavu

Swali why hakuwaombea nao watembee? Akawapa chakula na wheelchairs
 
Sawa mackenzi
 
Watu wengi waliokata tamaa ndo wafuasi wa Mwamposa hasa wanawake waliochezea ujana wao... wale wadada waliokuwa wanadharau na kubadili wanaume, single mothers, waliotoa mimba mara kadhaa na kupata matatizo ya uzazi.. hao ni wafuasi watiifu wa Mwamposa na Kuhani Musa.
 
Kama unaweza kuchezesha macho vizuri kama kipofu kapige pesa kwa manabii na mitime. Ukatoe ushuhuda kuwa ulikuwa kipofu sasa umeponywa kwa mafuta.
Kama unaweza kutembea Kama mlemavu pia unapata pesa.
Acha ujinga wewe , je, kati ya wanaoshuhudia kuna ambaye unamjua?
Wengine huwaambia washuhudie as wameponywa tayari ili Yesu awaponye
 
Utapeli tu huo ,wajinga ndo waliwao.
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] watu wanywe bia.....(In Chalamila Voice) Hayo mengine tuachane nayo yako complicated sana[emoji3][emoji3]
 

Bado hajafikia wa kuvunja rekodi ya Yesu Kristo tuwache ujuaji. Kwanza afunge siku arobaini bila kula halafu afufue aliyekufa kwa siku tatu. Acheni kufuru zisizokuwa na maana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…