Ni hatari sana. Watu wanaponywa Ukimwi na Kansa pale.
Kutotokea
haimaanishi kuwa haiwezekani
Yesu aliwaombea wafanye makuba kuliko yeye na mitume waliweza mfano Hakuna popote pameandikwa kuwa Yesu kivuli chake kiliponya na kutoa Pepo ila mitume ilitokea
Mitume.5:14-16
walioamini wakazidi kuongezeka kwa Bwana, wengi, wanaume na wanawake; hata ikawa katika njia kuu hutoa nje wagonjwa, na kuwaweka juu ya majamvi na magodoro, ili Petro akija, ngawa kivuli chake kimwangukie mmojawapo wao. Nayo makutano ya watu wa miji iliyoko kandokando ya Yerusalemu wakakutanika, wakileta wagonjwa, nao walioudhiwa na pepo wachafu; nao wote wakaponywa.
Nimesema kinachoonekana kwenye ibada za Mwamposa.
Duuuh! Wakrisito hamtaacha ujinga milele
Sasa huyu msenge kwanini anauza maji wakati Imeandikwa ni bure ana utani na maandiko ?Ufunuo wa Yohana 21:6
[6]Akaniambia, Imekwisha kuwa. Mimi ni Alfa na Omega, Mwanzo na Mwisho. Mimi nitampa yeye mwenye kiu, ya chemchemi ya maji ya uzima, bure.
And he said unto me, It is done. I am Alpha and Omega, the beginning and the end. I will give unto him that is athirst of the fountain of the water of life freely.
You have nailed it brother!Wajinga ndio waliwao.
Upo sahihi Ila kwanini anatumia jina la Yesu kwenye biashara yake au kwa sababu ni jina ambalo halina hatimiliki ?Hao sio wakristo mkuu, ni wafuasi wa Mwamposa Yani Cult. Ndio maana wanataka kumfanya Mwamposa mkubwa kuliko Yesu Kristo.
Kweli jamaa ni Bulldozer.
Mungu anamtumia kwa kiwango cha hali ya juu.
Jamaaa anachokifsnya ni kuhakikisha watu waone matatizo yao ni marahisi sana mbele za Mungu.
Niliacha kuamini hawa watu siku moja NABII TB JOSHUA nilikua namkubali sana kwa miujiza ya viwete wanatembea
Siku moja katika charity work yake walirusha ameenda kituo cha walemavu kutoa misaada.
Nilichoshangaa alitoa misaada ya chakula pamoja na wheelchairs kwa walemavu
Swali why hakuwaombea nao watembee? Akawapa chakula na wheelchairs
Mungu hawezi kuwauzia watu maji na keki ili wapate uponyaji, Imeandikwa umepewa bure toa bure sasa ni MUNGU gani anaeuzia watu maji ili wapone yule ni mfanyabiashara sio mchungaji Wala mganga wa kienyeji anaetumia jina la Yesu bila uogaHakuna Mungu pale. Mungu hawezi kutumia maji na keki kuponya. Ni jina moja tu la Yesu Kristo ndilo tulilopewa kulitumia kwenye uponyaji na usio maji na mafuta etc. Ndio maana leo mmeanza kujiongelesha kuwa Mwamposa anazidi Yesu Kristo maana hatumii jina lake bali vitu vya kimazingara.
Dada mmoja nafanya naye kazi. Hazai. Kaunda hospital kubwa South Africa mara 2. Na hospital zote kubwa hapa bongo . Mwisho kaenda kwa mwamposa kaishia kufanyiwa mazingaombwe ya kutolewa chura ukeni basi hamna cha kuzaa wala upuuzi gani.
Waligoma kua waigizajiWale nguvu zao zina limitations kwenye eneo analofanyia huduma. Nje ya hapo hana chochote.
Yaan hapo ni kupigwa Pesa mpaka ashtuke kashachotwa sanaAiseeh! Happ atahangaika Sana na maroho ya Mwamposa mpaka achoke.
Upo sahihi Ila kwanini anatumia jina la Yesu kwenye biashara yake au kwa sababu ni jina ambalo halina hatimiliki ?
Nimependa Kawe hakuna kitu paleNinae andika hapa sio layman....hata kama hauna Imani...jarib kufanya trial hapo kawe Kwa MWAMPOSA.......
Nenda na ajenda yako yoyote pale #Asap
Utajibiwa mpaka ushangae....
Mungu hawezi kuwauzia watu maji na keki ili wapate uponyaji, Imeandikwa umepewa bure toa bure sasa ni MUNGU gani anaeuzia watu maji ili wapone yule ni mfanyabiashara sio mchungaji Wala mganga wa kienyeji anaetumia jina la Yesu bila uoga
FFS[emoji2365]Mimi binafsi imenitokea muujiza wakati naangalia tv yake tena nilitumia maji ya kununua dukani ,cha msingi imani yako itakuponya
Aende akaponye watu hospitali, walipo wagonjwa wa kweli na sio waigizajiNimebahatika kuona vipindi kadhaa vya mchungaji Mwamposa.
Yawezekana ukimtoa Yesu (Kwenye ukristo) kiumbe mwenye kufanya miujiza mingi hapa duniani anaweza kuwa huyu Mchungaji.
Sitaki kuhukumu kama ni mkweli au Lah, ila kwa wanaoshuhudia kwenye vipindi vyake anaweza vunja rekodi.
Nadhani ile miujiza ya Yesu ya uponyaji huyu mchungaji ataivunja rekodi zake, isipokuwa Kulisha watu 5000 ambao walikula na kusaza na kufufuka kwa yesu.
Kuna yoyote amepatwa na muujiza wa Mwamposa haswa uponyaji humu?