Inafikirisha: Miujiza ya Mchungaji Mwamposa

Inafikirisha: Miujiza ya Mchungaji Mwamposa

Nimebahatika kuona vipindi kadhaa vya mchungaji Mwamposa.

Yawezekana ukimtoa Yesu (Kwenye ukristo) kiumbe mwenye kufanya miujiza mingi hapa duniani anaweza kuwa huyu Mchungaji.

Sitaki kuhukumu kama ni mkweli au Lah,ila kwa wanaoshuhudia kwenye vipindi vyake anaweza vunja rekodi.

Nadhani ile miujiza ya Yesu ya uponyaji huyu mchungaji ataivunja rekodi zake,isipokuwa Kulisha watu 5000 ambao walikula na kusaza,na kufufuka kwa yesu.

Kuna yoyote amepatwa na muujiza wa Mwamposa haswa uponyaji humu.!?
Sina Hakika km Kweli hiyo ni miujiza.Ili Jambo fulani liitwe muujiza,Kuna masharti yake,ambayo ni

1.Lazima iwe jambo kubwa,Mfano ukipona vichomi huo sio muujiza Maana ni Jambo dogo na la Kawaida.
2.Jambo hilo lisiweze kuelezeka kisayansi.Hivyo likiwa linaelezeka Kisayansi huo sio muujiza bali ni mbinu tu za kisayansi.
3.Lazima lionyeshe nguvu kuu ya Mungu.Tofauti na hapo ni kufukuza upepo tu au kuupaka rangi upepo.
 
Sina Hakika km Kweli hiyo ni miujiza.Ili Jambo fulani liitwe muujiza,Kuna masharti yake,ambayo ni

1.Lazima iwe jambo kubwa,Mfano ukipona vichomi huo sio muujiza Maana ni Jambo dogo na la Kawaida.
2.Jambo hilo lisiweze kuelezeka kisayansi.Hivyo likiwa linaelezeka Kisayansi huo sio muujiza bali ni mbinu tu za kisayansi.
3.Lazima lionyeshe nguvu kuu ya Mungu.Tofauti na hapo ni kufukuza upepo tu au kuupaka rangi upepo.
Nakubali.
 
Nimebahatika kuona vipindi kadhaa vya mchungaji Mwamposa.

Yawezekana ukimtoa Yesu (Kwenye ukristo) kiumbe mwenye kufanya miujiza mingi hapa duniani anaweza kuwa huyu Mchungaji.

Sitaki kuhukumu kama ni mkweli au Lah,ila kwa wanaoshuhudia kwenye vipindi vyake anaweza vunja rekodi.

Nadhani ile miujiza ya Yesu ya uponyaji huyu mchungaji ataivunja rekodi zake,isipokuwa Kulisha watu 5000 ambao walikula na kusaza,na kufufuka kwa yesu.

Kuna yoyote amepatwa na muujiza wa Mwamposa haswa uponyaji humu.!?
Mungu akusamehe sana sana
 
Rekodi ya Yesu mbona ilishavunjwa siku nyingi tu

Sio sababu watumishi wa sasa wako vizuri kuliko Yesu la .Ila Yesu Mwenyewe aliomba na kuwaombea watakaofuata baadaye wavunje hiyo rekodi kwa maombi yake

Enzi za Yesu alihubiria watu wachache tu kwa sauti yake tu sasa hivi spika zipo xaweza wafikia wengi kuliko mkutano wa Yesu pia kipindi cha Yesu aliweza wafikia tu waliohudhuria mkutano wake tena wa lugha yake tu bila mkalimani leo watu waweza hubiria dunia nzima mabilioni ya watu kupitia television, nk wa mataifa na lugha mbalimbali kupitia Television ,YouTube, nk kwa kutumia wakalimani nk

Kufanya wanaomwamini makubwa kuliko yeye ni majibu ya maombi aliyoomba sio sababu mtumishi yuko smart sana.Hata wewe waweza fanya makubwa kuliko Yesu

Yohana 14:12​

Amin, amin, nawaambieni, Yeye aniaminiye mimi, kazi nizifanyazo mimi, yeye naye atazifanya; naam, na kubwa kuliko hizo atafanya, kwa kuwa mimi naenda kwa Baba.
Haya twambie aliyelisha watu 5000 kwa mikate 5 tu
 
Sina Hakika km Kweli hiyo ni miujiza.Ili Jambo fulani liitwe muujiza,Kuna masharti yake,ambayo ni

1.Lazima iwe jambo kubwa,Mfano ukipona vichomi huo sio muujiza Maana ni Jambo dogo na la Kawaida.
2.Jambo hilo lisiweze kuelezeka kisayansi.Hivyo likiwa linaelezeka Kisayansi huo sio muujiza bali ni mbinu tu za kisayansi.
3.Lazima lionyeshe nguvu kuu ya Mungu.Tofauti na hapo ni kufukuza upepo tu au kuupaka rangi upepo.
Father Anigu ndie akieleza kuwa kanisa katoliki kuamini kuwa huu ni muujiza kuwa ili ukubalike na kanisa katoliki lazima kwanza uwe mkubwa sana pili uwe kisayansi kuwa hauna solution au kikawaida!! YouTube ziko clip zake akueleza sifa za muujiza kukubalika na kanisa katoliki kuwa kweli huu muujiza

Nilichogundua Father Amigu na kanisa katoliki wanadharau nguvu ya sala hasa ya Baba yetu uliye mbinguni kuwa utupe riziki yetu ya kila siku

Kwa hiyo kwa nini mtu usali hiyo sala wanati una kazi iwe upadri,biashara au kazi jwenye Rozali nk unasali iweje wakati shamba unalo ,kazi unayo ya upadri,uaskofu, au usista au uburuda au upapa,au kazi au biashara unapata chako

Sala ya Baba yetu uliye mbinguni utupe riziki nk unasali ya nini wakati sources za kupata riziki na mkate wa kila siku au chakula unazo kwa nini uhangaike na sala ya Baba yetu uliye mbinguni eti ohhh atupe riziki au mkate au chakula cha kila siku Katoliki fulani hiyo saka kwenye Rozali na ibada zenu

Kama katoliki hawatapeli waumini ni kitu gani hicho? Katoliki basi wafute sala ya Baba yetu uliye Mbinguni kwenye Rozali nk
Waiondoe
 
Kama kweli wanaponya kama wanavyodai, basi tupitishwe kwenye mchakato mzima wa uponyaji mana husema viwete watatembea basi wamchukue mlemavu wa viungo wa kuonekana aombewe apone na si kuja kuaminisha watu kwenye jukwaa kuwa umeponywa wakati kipindi unaumwa hatukujua changamoto ulizokuwa nazo.
 
Haya twambie aliyelisha watu 5000 kwa mikate 5 tu
Kutotokea
haimaanishi kuwa haiwezekani

Yesu aliwaombea wafanye makuba kuliko yeye na mitume waliweza mfano Hakuna popote pameandikwa kuwa Yesu kivuli chake kiliponya na kutoa Pepo ila mitume ilitokea

Mitume.5:14-16
walioamini wakazidi kuongezeka kwa Bwana, wengi, wanaume na wanawake; hata ikawa katika njia kuu hutoa nje wagonjwa, na kuwaweka juu ya majamvi na magodoro, ili Petro akija, ngawa kivuli chake kimwangukie mmojawapo wao. Nayo makutano ya watu wa miji iliyoko kandokando ya Yerusalemu wakakutanika, wakileta wagonjwa, nao walioudhiwa na pepo wachafu; nao wote wakaponywa.
 
Back
Top Bottom