Uchaguzi 2020 Inahitaji juhudi ili kurusu uchaguzi kuendelea

Uchaguzi 2020 Inahitaji juhudi ili kurusu uchaguzi kuendelea

Na mwaka huu baada tu ya uchaguzi mtatafuta kwa kukimbilia na hayo manguo yenu ya kijani. Mlizoea kuwafanya Watanzania hawana akili. Sasa mvune mlichopanda.

Tundu Lissu, endelea kuwanyoosha hivyo hivyo hawa fisi waharibifu wa kanda ya ziwa.
 
Hahahaaa! Relax mkuu, hakutakuwa na vita wala kinachofanana na vita, uchaguzi utaisha vizuri na maisha yataendelea kama kawaida. Tatizo huyo Lisu mnamkuza kuliko uhalisia. Lisu ni wakawaida sana hawezi kusababisha taharuki yoyote kwa nchi. Lisu hamfikii Lowassa hata robo kwa umaarufu -- kama unaelewa ninachozungumza.
Tahadhari ni Bora kuliko kuona siku zoote ni Jumamosi!
Kila zama ina ujinga wake!

Nikukumbushe tu zama hizo vijana 10 wenye nguvu wanafungwa shati na mgambo na post wanafika!
Leo iko hivyo?!
 
Magu anapaswa kujiuzulu kwa yote yanayoendelea sasa. Amepoteza credibility na hawezi kutuvusha kipindi hiki muhimu. Amekataliwa ndani na nje ya nchi. Nchi imeshushwa viwango vya kiuchumi kutoka B1 hadi B2 jana tu. Ameshindwa kuleta tume huru, usalama wa nchi umeporomoka, haki na uhuru wa vyombo vya habari na watu binafsi vimeshuka sana. Deni la nje limeongezeka mno, nk. Tufanye mabadiliko watanzania.
 
our intelligence services TISS iliwai kupambana na BOSS ya makaburu time za vita vya ukombozi na tukawashinda

Dunia nzima inajua lazima JPM ashinde huyo Amsterdam ni nothing kwa nchi yenye historia kubwa kama Tz

Ni vigumu saana kwa watanzamia kuingia kwenye civil war sababu tunapendana by nature
Uchaguzi ukiwa huru nakwambia JPM hashindi na hicho ndo tunakitaka uchaguzi uwe huru. CCM mmezoea kuiba safari hii mtagonga mwamba! Lissu si wa mchezo!
 
Thibitisha kauli yako kwa mifano mitano hai

mimi natoa mfano mmoja tayari JPM alishinda mwaka 2015
uchaguzi ukiwa huru nakwambia jpm hashindi na hicho ndo tunakitaka uchaguzi uwe huru. Ccm mmezoea kuiba safari hii mtagonga mwamba! Lisu si wa mchezo!
 
Tangia tumeanza process ya kuingia kwenye uchaguzi wa mwaka 2020, kumekuwepo maneno mengi yanayoashiria uvunjifu wa Amani, vitisho kutoka nje ya nchi hasa pale mgombea fulani anapomshutumu mwenzake kuwa serikali yako ndiyo ilinipiga risasi, serikali yako imeteka na kuua Watu nk.

Tumeona barua nyingi kutoka Kwenye kampuni ya uwakili inayosimamiwa na mr Robert Amsterdam ikimtisha Rais wa sasa wa Tanzania ambaye ni mgombea urais kwa tiketi ya chama Tawala.

Sababu za kuomba uchaguzi uahirishwe ni hizi zifutazo

1.Kutoa maneno mabaya juu ya rais JPM ni kuhatarisha usalama wa Rais Magufuli wakati kampeni zikianza kwa sababu Watu watakuwa na hasira wakiamini kuwa mgombea wao ni mremavu kwa sababu ya awamu ya Tano.

2. Kutoa maneno mabaya juu ya awamu ya tano ni kuhatarisha usalama wa mgombea anayeishutumu serikali ya awamu ya tano kwamba inahusika na yaliyomtokea mgombea wa upinzani kwa kupigwa risasi

3. Nchi za magharibi na CHADEMA ni kama wameshamuandaa mr Robert Amsterdam kutumika kuvuruga amani ya nchi pale anapotoa vitishisho juu ya Mh Rais J P Magufuli.

4. Kwa maneno yanayotoka kinywani mwake ni kama mgombea urais wa upinzani hayuko tayari kupokea Matokeo ikiwa atakuwa ameshindwa: Nitaamrisha maandamano.

Ili kuruhusu uchaguzi kuendelea inaitajika juhudi kubwa kuhakikisha yafutayo yanafanyika:

1. Kuondoa maneno ya kushutumiana kuwa wewe uliagiza nipigwe risasi, umeteka na kuua watu. Wagombea wajikitetea katika kunadi sera za vyama vyao na si vingevyo.

2. Huyu anayejiita mtetezi wa mgombea urais kwa tiketi ya CHADEMA mr Robert Amsterdam aache mara Moja kumtisha Rais Magufuli na nchi yetu, vinginevyo tutajua kuwa mteja wake ametumwa kuvuruga amani ya taifa letu, kama walivyofanya Libya, Iraq, Liberia, Siria nk.

3. Usalama wa taifa wahakikishe wagombea wote na hasa mh Magufuli na Tundu lissu wanalindwa vilivyo kwa sababu anything that may happen involving one the above will result into a war as it happened in Rwanda ,Burundi,Libya, Iraq, Sudan, Somalia, Siria etc

4. NEC isisite kumchukulia Hatua kali mgombea atayehubiri chuki. Hapa tusimuogope Mr Amsterdam Bali tuilinde nchi yetu kwa nguvu zote.

5. Usalama wa taifa wanatakiwa kuhakikisha kuwa nchi yetu iko salama wakati wowote kabla na baada ya uchaguzi .Mipaka iko salama ,majirani wasitumike kuwa base ya Adui wa taifa letu.

6. Viongozi wa dini kuendelea kuliombea taifa letu wakati huu mgumu wa uchaguzi.Ikiwezekana Kusitokee Dini Yoyote itakayohubiri Siasa au kuegemea upande wowote.

Nawatakieni Jumapili njema na uchaguzi mwema.
Mgao wa ile trillion 1.5 umeanza ?

Naona Mataga mnaanzisha thread hazina kichwa wala miguu.
 
Kwanini usiseme ili kuepuka vita KUWE NA TUME HURU YA UCHAGUZI NA POLISI WAACHE KUTUMIKA???

Kwanini usiseme ili kuepuka vita wanaochochea kupigana mitama kama NAPE WAKAMATWE??

Mjinga mkubwa wewe. Umekomaa na Amsterdam unaacha kukomaa na vitu vinavyosababisha uvunjifu wa amani
mkuu umeandika vizuri sana moja ambalo jijapenda umetukana, alafu mkuu nashangaa kwanini wanaogopa sana neno ............uchaguzi huru na wa haki why mbona jambo jepesi kinachoitajika ni busara kwamba twende kwenye uchaguzi tumejiandaa kufanya uchaguzi ulio huru na wa haki na atake shindwa au kushindwa basi maisha yasonge , mbona hata malawi maisha yamesonga bila hata mikwaruzo na mfano huo wa malawi rais alietoka madarakani mpaka sasa amepungukiwa nini? Uongozi sio mwisho wa maisha, zinapo badilika nyakati ni dhambi sana kulazimisha ziende kama unavyotaka , na hziwezi kubadilika kwa matakwa yako hata ufanye nini , mfano kuna nyakati mtu hua tajiri lakini siku nyakati zikikataa utashangaa anakua maskini wa kutupa ,thats tunaona matajiri wengi wa miaka ya nyuma kwa sasa wamebaki majina,
 
Yaani kabisa useme mtu atakaa aamini matokeo ya NEC, wakati wao wenyewe wana idadi ya wapiga kura ya kubumba? Tanzania ina wananchi wanaokaribia 60m, inawezekana vipi nusu yake ndio wawe wamejiandikisha kupiga kura? Kwa mujibu wa NEC wapiga kura ni 29m+, yaani kila watanzania wawili mmoja kajiandisha kupiga kura, na inawezekana vipi watu wenye miaka 18+ wawe idadi sawa na walio chini ya miaka 18? Kama kweli nusu ya watanzania wote wamejiandikisha kupiga kura, ina maana kila mtu mwenye miaka 18+ ana kitambulisho cha kupigia kura, jambo ambalo sio kweli kabisa. Sasa mnapoleta mabandiko marefu huku tunaona wazi kuwa tume ina idadi ya uongo, matokeo yatakuwaje ya kweli? Chanzo cha machafuko nchi hii itakuwa ccm na NEC.
Aise una akili sana hili sikuwahi kulifikiria. Hivi takwimu za sensa watu mika 18+ ni asilomia ngapi

Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app
 
Tangia tumeanza process ya kuingia kwenye uchaguzi wa mwaka 2020, kumekuwepo maneno mengi yanayoashiria uvunjifu wa Amani, vitisho kutoka nje ya nchi hasa pale mgombea fulani anapomshutumu mwenzake kuwa serikali yako ndiyo ilinipiga risasi, serikali yako imeteka na kuua Watu nk.

Tumeona barua nyingi kutoka Kwenye kampuni ya uwakili inayosimamiwa na mr Robert Amsterdam ikimtisha Rais wa sasa wa Tanzania ambaye ni mgombea urais kwa tiketi ya chama Tawala.

Sababu za kuomba uchaguzi uahirishwe ni hizi zifutazo

1.Kutoa maneno mabaya juu ya rais JPM ni kuhatarisha usalama wa Rais Magufuli wakati kampeni zikianza kwa sababu Watu watakuwa na hasira wakiamini kuwa mgombea wao ni mremavu kwa sababu ya awamu ya Tano.

2. Kutoa maneno mabaya juu ya awamu ya tano ni kuhatarisha usalama wa mgombea anayeishutumu serikali ya awamu ya tano kwamba inahusika na yaliyomtokea mgombea wa upinzani kwa kupigwa risasi

3. Nchi za magharibi na CHADEMA ni kama wameshamuandaa mr Robert Amsterdam kutumika kuvuruga amani ya nchi pale anapotoa vitishisho juu ya Mh Rais J P Magufuli.

4. Kwa maneno yanayotoka kinywani mwake ni kama mgombea urais wa upinzani hayuko tayari kupokea Matokeo ikiwa atakuwa ameshindwa: Nitaamrisha maandamano.

Ili kuruhusu uchaguzi kuendelea inaitajika juhudi kubwa kuhakikisha yafutayo yanafanyika:

1. Kuondoa maneno ya kushutumiana kuwa wewe uliagiza nipigwe risasi, umeteka na kuua watu. Wagombea wajikitetea katika kunadi sera za vyama vyao na si vingevyo.

2. Huyu anayejiita mtetezi wa mgombea urais kwa tiketi ya CHADEMA mr Robert Amsterdam aache mara Moja kumtisha Rais Magufuli na nchi yetu, vinginevyo tutajua kuwa mteja wake ametumwa kuvuruga amani ya taifa letu, kama walivyofanya Libya, Iraq, Liberia, Siria nk.

3. Usalama wa taifa wahakikishe wagombea wote na hasa mh Magufuli na Tundu lissu wanalindwa vilivyo kwa sababu anything that may happen involving one the above will result into a war as it happened in Rwanda ,Burundi,Libya, Iraq, Sudan, Somalia, Siria etc

4. NEC isisite kumchukulia Hatua kali mgombea atayehubiri chuki. Hapa tusimuogope Mr Amsterdam Bali tuilinde nchi yetu kwa nguvu zote.

5. Usalama wa taifa wanatakiwa kuhakikisha kuwa nchi yetu iko salama wakati wowote kabla na baada ya uchaguzi .Mipaka iko salama ,majirani wasitumike kuwa base ya Adui wa taifa letu.

6. Viongozi wa dini kuendelea kuliombea taifa letu wakati huu mgumu wa uchaguzi.Ikiwezekana Kusitokee Dini Yoyote itakayohubiri Siasa au kuegemea upande wowote.

Nawatakieni Jumapili njema na uchaguzi mwema.
Kama anashutumu uongo si mna police na maakama.. Take him to court
 
Tangia tumeanza process ya kuingia kwenye uchaguzi wa mwaka 2020, kumekuwepo maneno mengi yanayoashiria uvunjifu wa Amani, vitisho kutoka nje ya nchi hasa pale mgombea fulani anapomshutumu mwenzake kuwa serikali yako ndiyo ilinipiga risasi, serikali yako imeteka na kuua Watu nk.

Tumeona barua nyingi kutoka Kwenye kampuni ya uwakili inayosimamiwa na mr Robert Amsterdam ikimtisha Rais wa sasa wa Tanzania ambaye ni mgombea urais kwa tiketi ya chama Tawala.

Sababu za kuomba uchaguzi uahirishwe ni hizi zifutazo

1.Kutoa maneno mabaya juu ya rais JPM ni kuhatarisha usalama wa Rais Magufuli wakati kampeni zikianza kwa sababu Watu watakuwa na hasira wakiamini kuwa mgombea wao ni mremavu kwa sababu ya awamu ya Tano.

2. Kutoa maneno mabaya juu ya awamu ya tano ni kuhatarisha usalama wa mgombea anayeishutumu serikali ya awamu ya tano kwamba inahusika na yaliyomtokea mgombea wa upinzani kwa kupigwa risasi

3. Nchi za magharibi na CHADEMA ni kama wameshamuandaa mr Robert Amsterdam kutumika kuvuruga amani ya nchi pale anapotoa vitishisho juu ya Mh Rais J P Magufuli.

4. Kwa maneno yanayotoka kinywani mwake ni kama mgombea urais wa upinzani hayuko tayari kupokea Matokeo ikiwa atakuwa ameshindwa: Nitaamrisha maandamano.

Ili kuruhusu uchaguzi kuendelea inaitajika juhudi kubwa kuhakikisha yafutayo yanafanyika:

1. Kuondoa maneno ya kushutumiana kuwa wewe uliagiza nipigwe risasi, umeteka na kuua watu. Wagombea wajikitetea katika kunadi sera za vyama vyao na si vingevyo.

2. Huyu anayejiita mtetezi wa mgombea urais kwa tiketi ya CHADEMA mr Robert Amsterdam aache mara Moja kumtisha Rais Magufuli na nchi yetu, vinginevyo tutajua kuwa mteja wake ametumwa kuvuruga amani ya taifa letu, kama walivyofanya Libya, Iraq, Liberia, Siria nk.

3. Usalama wa taifa wahakikishe wagombea wote na hasa mh Magufuli na Tundu lissu wanalindwa vilivyo kwa sababu anything that may happen involving one the above will result into a war as it happened in Rwanda ,Burundi,Libya, Iraq, Sudan, Somalia, Siria etc

4. NEC isisite kumchukulia Hatua kali mgombea atayehubiri chuki. Hapa tusimuogope Mr Amsterdam Bali tuilinde nchi yetu kwa nguvu zote.

5. Usalama wa taifa wanatakiwa kuhakikisha kuwa nchi yetu iko salama wakati wowote kabla na baada ya uchaguzi .Mipaka iko salama ,majirani wasitumike kuwa base ya Adui wa taifa letu.

6. Viongozi wa dini kuendelea kuliombea taifa letu wakati huu mgumu wa uchaguzi.Ikiwezekana Kusitokee Dini Yoyote itakayohubiri Siasa au kuegemea upande wowote.

Nawatakieni Jumapili njema na uchaguzi mwema.
Wale wasiojulikana kwanini hawatakiwi wajulikane
 
Nilichojifunza ni kwamba kumbe JPM na ujeuri wake wote kumbe nae anamgwaya huyo Robati Amstedarm.
Mbona tangu Lisu arejee Polisi wameacha kuwasumbua wafuasi wa Chadema!. Tulizoea hata wakiwa kwenye mikutano ya ndani wananyanyasika.
Kumbe kila mbabe ana mbabe wake. Ila nimeipenda hii Amani iliyopo sasaivi, hongera zako wewe Jamaa Amsterdam.
 
Umeandika then umekuja kwa ID nyingine ku comment. Hahaa aiseee Lisu anawakosesha usingizi sana
Relax mkuu naamini huyu mjinga mmoja hawezi kuvuruga amani ya nchi wetu, Naamini inteligency iko stable ivo JPM bado atakuwa mshindi tena kwa kishindo tu
 
Jiwe ndo sababu anaogopa Uchaguzi? Si kajenga Madaraja?
our intelligence services TISS iliwai kupambana na BOSS ya makaburu time za vita vya ukombozi na tukawashinda

Dunia nzima inajua lazima JPM ashinde huyo Amsterdam ni nothing kwa nchi yenye historia kubwa kama Tz

Ni vigumu saana kwa watanzamia kuingia kwenye civil war sababu tunapendana by nature
 
Ndo mnashauri jiwe aogope Uchaguzi?
Hahahaaa! Relax mkuu, hakutakuwa na vita wala kinachofanana na vita, uchaguzi utaisha vizuri na maisha yataendelea kama kawaida. Tatizo huyo Lisu mnamkuza kuliko uhalisia. Lisu ni wakawaida sana hawezi kusababisha taharuki yoyote kwa nchi. Lisu hamfikii Lowassa hata robo kwa umaarufu -- kama unaelewa ninachozungumza.
 
our intelligence services TISS iliwai kupambana na BOSS ya makaburu time za vita vya ukombozi na tukawashinda

Dunia nzima inajua lazima JPM ashinde huyo Amsterdam ni nothing kwa nchi yenye historia kubwa kama Tz

Ni vigumu saana kwa watanzamia kuingia kwenye civil war sababu tunapendana by nature
Unafananisha TISS ya nyerere na hawa wahuni wa saivi????

Unadhani kwa nini kina kigogo 2014 wamejitenga ndani ya TISS iyoiyo???
 
Relax mkuu naamini huyu mjinga mmoja hawezi kuvuruga amani ya nchi wetu, Naamini inteligency iko stable ivo JPM bado atakuwa mshindi tena kwa kishindo tu
Kwa ulivo kilaza unadhani Amsterdam yupo peke yake???? You have been watched mwaka huu.
Lazima mjue kuwa hamjui mwaka huu!!! Dadeki
 
Back
Top Bottom