Uchaguzi 2020 Inahitaji juhudi ili kurusu uchaguzi kuendelea

Uchaguzi 2020 Inahitaji juhudi ili kurusu uchaguzi kuendelea

Relax mkuu naamini huyu mjinga mmoja hawezi kuvuruga amani ya nchi wetu, Naamini inteligency iko stable ivo JPM bado atakuwa mshindi tena kwa kishindo tu
Ni kweli ila kwa kauli zake anaonekana hayupo peke yake na walio nyuma yake wanamalengo tofauti na yeye japo yeye mwenyewe hajagundua hilo.
 
let me tell one thing if TISS ikizubaa hata dakika 2 tu no more taifa la Tz

wape credits zao
Wazembe tu. Mbona lissu alipigwa risasi walikuwa wapi? mwaka juzi TISs walienda stanbic kuchukua hela kwenye magunia,
 
Ni kweli ila kwa kauli zake anaonekana hayupo peke yake na walio nyuma yake wanamalengo tofauti na yeye japo yeye mwenyewe hajagundua hilo.
Namkubali lissu anaongea na kuhutubia Kama statesman, baada ya nyerere Lisu ndo statesman
 
Tangia tumeanza process ya kuingia kwenye uchaguzi wa mwaka 2020, kumekuwepo maneno mengi yanayoashiria uvunjifu wa Amani, vitisho kutoka nje ya nchi hasa pale mgombea fulani anapomshutumu mwenzake kuwa serikali yako ndiyo ilinipiga risasi, serikali yako imeteka na kuua Watu nk.

Tumeona barua nyingi kutoka Kwenye kampuni ya uwakili inayosimamiwa na mr Robert Amsterdam ikimtisha Rais wa sasa wa Tanzania ambaye ni mgombea urais kwa tiketi ya chama Tawala.

Sababu za kuomba uchaguzi uahirishwe ni hizi zifutazo

1.Kutoa maneno mabaya juu ya rais JPM ni kuhatarisha usalama wa Rais Magufuli wakati kampeni zikianza kwa sababu Watu watakuwa na hasira wakiamini kuwa mgombea wao ni mremavu kwa sababu ya awamu ya Tano.

2. Kutoa maneno mabaya juu ya awamu ya tano ni kuhatarisha usalama wa mgombea anayeishutumu serikali ya awamu ya tano kwamba inahusika na yaliyomtokea mgombea wa upinzani kwa kupigwa risasi

3. Nchi za magharibi na CHADEMA ni kama wameshamuandaa mr Robert Amsterdam kutumika kuvuruga amani ya nchi pale anapotoa vitishisho juu ya Mh Rais J P Magufuli.

4. Kwa maneno yanayotoka kinywani mwake ni kama mgombea urais wa upinzani hayuko tayari kupokea Matokeo ikiwa atakuwa ameshindwa: Nitaamrisha maandamano.

Ili kuruhusu uchaguzi kuendelea inaitajika juhudi kubwa kuhakikisha yafutayo yanafanyika:

1. Kuondoa maneno ya kushutumiana kuwa wewe uliagiza nipigwe risasi, umeteka na kuua watu. Wagombea wajikitetea katika kunadi sera za vyama vyao na si vingevyo.

2. Huyu anayejiita mtetezi wa mgombea urais kwa tiketi ya CHADEMA mr Robert Amsterdam aache mara Moja kumtisha Rais Magufuli na nchi yetu, vinginevyo tutajua kuwa mteja wake ametumwa kuvuruga amani ya taifa letu, kama walivyofanya Libya, Iraq, Liberia, Siria nk.

3. Usalama wa taifa wahakikishe wagombea wote na hasa mh Magufuli na Tundu lissu wanalindwa vilivyo kwa sababu anything that may happen involving one the above will result into a war as it happened in Rwanda ,Burundi,Libya, Iraq, Sudan, Somalia, Siria etc

4. NEC isisite kumchukulia Hatua kali mgombea atayehubiri chuki. Hapa tusimuogope Mr Amsterdam Bali tuilinde nchi yetu kwa nguvu zote.

5. Usalama wa taifa wanatakiwa kuhakikisha kuwa nchi yetu iko salama wakati wowote kabla na baada ya uchaguzi .Mipaka iko salama ,majirani wasitumike kuwa base ya Adui wa taifa letu.

6. Viongozi wa dini kuendelea kuliombea taifa letu wakati huu mgumu wa uchaguzi.Ikiwezekana Kusitokee Dini Yoyote itakayohubiri Siasa au kuegemea upande wowote.

Nawatakieni Jumapili njema na uchaguzi mwema.
Sijaona kauli ya mgombea yeyote hatakubali matokeo. Kama kuna mwenye ushahidi huo auweke hapa tujiridhishe
 
our intelligence services TISS iliwai kupambana na BOSS ya makaburu time za vita vya ukombozi na tukawashinda

Dunia nzima inajua lazima JPM ashinde huyo Amsterdam ni nothing kwa nchi yenye historia kubwa kama Tz

Ni vigumu saana kwa watanzamia kuingia kwenye civil war sababu tunapendana by nature
Mnapendana kwa kutwangana risasi nyingi nyingi hivyo?
 
Tangia tumeanza process ya kuingia kwenye uchaguzi wa mwaka 2020, kumekuwepo maneno mengi yanayoashiria uvunjifu wa Amani, vitisho kutoka nje ya nchi hasa pale mgombea fulani anapomshutumu mwenzake kuwa serikali yako ndiyo ilinipiga risasi, serikali yako imeteka na kuua Watu nk.

Tumeona barua nyingi kutoka Kwenye kampuni ya uwakili inayosimamiwa na mr Robert Amsterdam ikimtisha Rais wa sasa wa Tanzania ambaye ni mgombea urais kwa tiketi ya chama Tawala.

Sababu za kuomba uchaguzi uahirishwe ni hizi zifutazo

1.Kutoa maneno mabaya juu ya rais JPM ni kuhatarisha usalama wa Rais Magufuli wakati kampeni zikianza kwa sababu Watu watakuwa na hasira wakiamini kuwa mgombea wao ni mremavu kwa sababu ya awamu ya Tano.

2. Kutoa maneno mabaya juu ya awamu ya tano ni kuhatarisha usalama wa mgombea anayeishutumu serikali ya awamu ya tano kwamba inahusika na yaliyomtokea mgombea wa upinzani kwa kupigwa risasi

3. Nchi za magharibi na CHADEMA ni kama wameshamuandaa mr Robert Amsterdam kutumika kuvuruga amani ya nchi pale anapotoa vitishisho juu ya Mh Rais J P Magufuli.

4. Kwa maneno yanayotoka kinywani mwake ni kama mgombea urais wa upinzani hayuko tayari kupokea Matokeo ikiwa atakuwa ameshindwa: Nitaamrisha maandamano.

Ili kuruhusu uchaguzi kuendelea inaitajika juhudi kubwa kuhakikisha yafutayo yanafanyika:

1. Kuondoa maneno ya kushutumiana kuwa wewe uliagiza nipigwe risasi, umeteka na kuua watu. Wagombea wajikitetea katika kunadi sera za vyama vyao na si vingevyo.

2. Huyu anayejiita mtetezi wa mgombea urais kwa tiketi ya CHADEMA mr Robert Amsterdam aache mara Moja kumtisha Rais Magufuli na nchi yetu, vinginevyo tutajua kuwa mteja wake ametumwa kuvuruga amani ya taifa letu, kama walivyofanya Libya, Iraq, Liberia, Siria nk.

3. Usalama wa taifa wahakikishe wagombea wote na hasa mh Magufuli na Tundu lissu wanalindwa vilivyo kwa sababu anything that may happen involving one the above will result into a war as it happened in Rwanda ,Burundi,Libya, Iraq, Sudan, Somalia, Siria etc

4. NEC isisite kumchukulia Hatua kali mgombea atayehubiri chuki. Hapa tusimuogope Mr Amsterdam Bali tuilinde nchi yetu kwa nguvu zote.

5. Usalama wa taifa wanatakiwa kuhakikisha kuwa nchi yetu iko salama wakati wowote kabla na baada ya uchaguzi .Mipaka iko salama ,majirani wasitumike kuwa base ya Adui wa taifa letu.

6. Viongozi wa dini kuendelea kuliombea taifa letu wakati huu mgumu wa uchaguzi.Ikiwezekana Kusitokee Dini Yoyote itakayohubiri Siasa au kuegemea upande wowote.

Nawatakieni Jumapili njema na uchaguzi mwema.
Duniani unaweza kutenda dhulma nyingi sana ila huwa kuna muda, mwenyezi Mungu huondoka na kukuacha kama zile falme za zamani zenye nguvu.

Mnaopata dhamana ya madaraka mnatakiwa kujifunza kwa hilo.

Leo viongozi wa dini hapa Tanzania ndio wamekuwa wanafiki wa kwanza kufumbia macho manyanyaso ya watu
 
Ikiwa nec watasimamia uchaguzi vizuri binafsi sioni njia yoyote inayoweza kuleta machafuko
 
La
Relax mkuu naamini huyu mjinga mmoja hawezi kuvuruga amani ya nchi wetu, Naamini inteligency iko stable ivo JPM bado atakuwa mshindi tena kwa kishindo tu
Labda kwa kuiba kama kawaida yao
 
Back
Top Bottom