Uchaguzi 2020 Inahitaji juhudi ili kurusu uchaguzi kuendelea

Uchaguzi 2020 Inahitaji juhudi ili kurusu uchaguzi kuendelea

Unafananisha TISS ya nyerere na hawa wahuni wa saivi????

Unadhani kwa nini kina kigogo 2014 wamejitenga ndani ya TISS iyoiyo???
let me tell one thing if TISS ikizubaa hata dakika 2 tu no more taifa la Tz

wape credits zao
 
Hapo ndipo mnapofeli mataga.
Taasisi zinazompenda JPM zimemwambia wazi kuwa kushinda kwake "kihalali" ni 50% kwa 50%.
Wasaidizi wake wanaomdanganya ndio nyinyi mnaomwambia "Mh,utashinda kwa kishindo,usiwe na hofu".
Ukweli halisi ambao haujapakwa virembeshi na ambao yeye Mh. Rais anaujua ni kuwa uchaguzi huu,bila ya kutumia figisu kama za NECccm,POLIccm,TISsccm na uzandiki,uharamia na figisu,basi atakuwa rais wa kwanza wa awamu moja TZ.
Na hili ndilo linaloenda kutokea mwaka huu!!! Hata hao polisi watamkana tu!! Utaona huko mbeleni
 
let me tell one thing if TISS ikizubaa hata dakika 2 tu no more taifa la Tz

wape credits zao
TISS nawakubali sana tena sana. Wanaponiuzi tu ni kujiweka Karibu na CCM. Na hapo ndo wanapofeli. TISS wangejiweka mbali na CCM Tanzania tungekuwa Nchi inayoongoza kiuchumi hata bara lote la Africa
 
Tangia tumeanza process ya kuingia kwenye uchaguzi wa mwaka 2020, kumekuwepo maneno mengi yanayoashiria uvunjifu wa Amani, vitisho kutoka nje ya nchi hasa pale mgombea fulani anapomshutumu mwenzake kuwa serikali yako ndiyo ilinipiga risasi, serikali yako imeteka na kuua Watu nk.

Tumeona barua nyingi kutoka Kwenye kampuni ya uwakili inayosimamiwa na mr Robert Amsterdam ikimtisha Rais wa sasa wa Tanzania ambaye ni mgombea urais kwa tiketi ya chama Tawala.

Sababu za kuomba uchaguzi uahirishwe ni hizi zifutazo

1.Kutoa maneno mabaya juu ya rais JPM ni kuhatarisha usalama wa Rais Magufuli wakati kampeni zikianza kwa sababu Watu watakuwa na hasira wakiamini kuwa mgombea wao ni mremavu kwa sababu ya awamu ya Tano.

2. Kutoa maneno mabaya juu ya awamu ya tano ni kuhatarisha usalama wa mgombea anayeishutumu serikali ya awamu ya tano kwamba inahusika na yaliyomtokea mgombea wa upinzani kwa kupigwa risasi

3. Nchi za magharibi na CHADEMA ni kama wameshamuandaa mr Robert Amsterdam kutumika kuvuruga amani ya nchi pale anapotoa vitishisho juu ya Mh Rais J P Magufuli.

4. Kwa maneno yanayotoka kinywani mwake ni kama mgombea urais wa upinzani hayuko tayari kupokea Matokeo ikiwa atakuwa ameshindwa: Nitaamrisha maandamano.

Ili kuruhusu uchaguzi kuendelea inaitajika juhudi kubwa kuhakikisha yafutayo yanafanyika:

1. Kuondoa maneno ya kushutumiana kuwa wewe uliagiza nipigwe risasi, umeteka na kuua watu. Wagombea wajikitetea katika kunadi sera za vyama vyao na si vingevyo.

2. Huyu anayejiita mtetezi wa mgombea urais kwa tiketi ya CHADEMA mr Robert Amsterdam aache mara Moja kumtisha Rais Magufuli na nchi yetu, vinginevyo tutajua kuwa mteja wake ametumwa kuvuruga amani ya taifa letu, kama walivyofanya Libya, Iraq, Liberia, Siria nk.

3. Usalama wa taifa wahakikishe wagombea wote na hasa mh Magufuli na Tundu lissu wanalindwa vilivyo kwa sababu anything that may happen involving one the above will result into a war as it happened in Rwanda ,Burundi,Libya, Iraq, Sudan, Somalia, Siria etc

4. NEC isisite kumchukulia Hatua kali mgombea atayehubiri chuki. Hapa tusimuogope Mr Amsterdam Bali tuilinde nchi yetu kwa nguvu zote.

5. Usalama wa taifa wanatakiwa kuhakikisha kuwa nchi yetu iko salama wakati wowote kabla na baada ya uchaguzi .Mipaka iko salama ,majirani wasitumike kuwa base ya Adui wa taifa letu.

6. Viongozi wa dini kuendelea kuliombea taifa letu wakati huu mgumu wa uchaguzi.Ikiwezekana Kusitokee Dini Yoyote itakayohubiri Siasa au kuegemea upande wowote.

Nawatakieni Jumapili njema na uchaguzi mwema.
MKUU ACHA WOGA, HAKUNA KITAKACHOHARIBIKA. UCHAGUZI UTAFANYIKA NA HUYO AMSTERDAM NI SHOGA TU KAMA ALIVYO LISU
 
Katiba inasema wao ni ofisi ya raisi
TISS nawakubali sana tena sana. Wanaponiuzi tu ni kujiweka Karibu na CCM. Na hapo ndo wanapofeli. TISS wangejiweka mbali na CCM Tanzania tungekuwa Nchi inayoongoza kiuchumi hata bara lote la Africa
 
Tumeiweza corona itakuwa hawa mapandikizi ya mabeberu??
 
Relax mkuu naamini huyu mjinga mmoja hawezi kuvuruga amani ya nchi wetu, Naamini inteligency iko stable ivo JPM bado atakuwa mshindi tena kwa kishindo tu
Mpuuzi mmoja hawezi kutusumbua kwa maneno ya kike kike hivo[emoji3][emoji3][emoji3], jpm2025 alafu hii nchi ni huru kwaiyo kutuletea wanayotumwa na mabwana zao kuhubiri chuki sisi haitusumbui wal kutushitua tunawachora tu.
 
Yaani tukifikia hatua ya mgombea mmoja vocal and aggressive kuyatupilia mbali matokeo tutakuwa tumepiga hatua kubwa sana kama taifa...

2015 nchi iliuzwa asubuhi kwa woga wa Lowassa... Aliifanya Tanzania irudi nyuma miaka mingi sana kabla ya ukoloni...!!

Uchaguzi ukifanyika... Matokeo yakitoka ukahisi umechakachuliwa komaaa... Tena komaa sana... Hakuna mabadiliko yanayoletwa kwenye sinia au hotpot mezani!!
 
WATU WAMEGAWANYIKA SANA

Kuna mtu ambaye yeye binafsi ni tatizo, huyu ni hatari sana maana yeye ndiye tatizo lenyewe. Umuonapo mtu huyo, ujue unaona tatizo, na ukiwa karibu naye maana yake uko karibu na tatizo, na ukijipendekeza kwake ujue unajipendekeza kwa tatizo, na kujipendekeza kwa tatizo maana yake hauko sawa.
Kuna mtu mwingine yeye ana matatizo huyu anahitaji msaada, hasa kama anajua ana matatizo na anahitaji msaada. Mbaya ni pale watu wanapojua kwamba yeye ana matatizo na anahitaji msaada, lakini yeye hajui kwamba ana matatizo na anahitaji msaada.
Kuna mtu ambaye yeye si tatizo wala hana tatizo, bali yeye ni msababisha matatizo. Huyu anaweza kutafutiwa dawa ya kumpunguza spidi, kwa kumpa ushauri au kuadhibiwa, maana yeye kila nafasi apatayo husababisha tatizo.
Mtu wa mwisho ni mtatua matatizo, hawa ni wale wenye hekima na akili.

HIVI NDIVYO TULIVYOGAWANYIKA JUMAPILI NJEMA
Labda chadema ndiyo mmegawanyika kwa tamaa zenu . Lissu siyo threat kabisa ni raia wa kawaida kama wengine na atadhibitiwa kama raia wa kawaida hana speciality yoyote.Uchaguzi utafanyika na ccm anapewa nafasi kubwa kuibuka na ushindi wa kimbunga unaokadiriwa kuwa 95%
 
Yaani tukifikia hatua ya mgombea mmoja vocal and aggressive kuyatupilia mbali matokeo tutakuwa tumepiga hatua kubwa sana kama taifa...
2015 nchi iliuzwa asubuhi kwa woga wa Lowassa... Aliifanya Tanzania irudi nyuma miaka mingi sana kabla ya ukoloni...!!
Uchaguzi ukifanyika... Matokeo yakitoka ukahisi umechakachuliwa komaaa... Tena komaa sana... Hakuna mabadiliko yanayoletwa kwenye sinia au hotpot mezani!!
Uchaguzi utafanyika na ushindi ni mkubwa sana na utavunja record. Upinzani hamjajipanga ni bahati mbaya mmejipanga kutoa vitisho kutwa kuchwa, hizo mbwembwe zenu hamtapata chembe ya nafasi kuonyesha. Huyo mpiga filimbi wa hamerini anawapotezea muda
 
Aise una akili sana hili sikuwahi kulifikiria. Hivi takwimu za sensa watu mika 18+ ni asilomia ngapi

Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app

Sensa mara ya mwisho ulikuwa 2012 tulikuwa 52m+, lakini kwa sasa tunakadiriwa kuwa 59.7m. kwa akili ya kawaida kabisa, watu wazima yaani kuanzia miaka 18+, hawawezi kuwa sawa na walio chini ya umri huo. Halafu ajabu ni pale idadi hiyo ya watu wazima wote kuwa wamejiandikisha kupiga kura!
 
Tangia tumeanza process ya kuingia kwenye uchaguzi wa mwaka 2020, kumekuwepo maneno mengi yanayoashiria uvunjifu wa Amani, vitisho kutoka nje ya nchi hasa pale mgombea fulani anapomshutumu mwenzake kuwa serikali yako ndiyo ilinipiga risasi, serikali yako imeteka na kuua Watu nk.

Tumeona barua nyingi kutoka Kwenye kampuni ya uwakili inayosimamiwa na mr Robert Amsterdam ikimtisha Rais wa sasa wa Tanzania ambaye ni mgombea urais kwa tiketi ya chama Tawala.

Sababu za kuomba uchaguzi uahirishwe ni hizi zifutazo

1.Kutoa maneno mabaya juu ya rais JPM ni kuhatarisha usalama wa Rais Magufuli wakati kampeni zikianza kwa sababu Watu watakuwa na hasira wakiamini kuwa mgombea wao ni mremavu kwa sababu ya awamu ya Tano.

2. Kutoa maneno mabaya juu ya awamu ya tano ni kuhatarisha usalama wa mgombea anayeishutumu serikali ya awamu ya tano kwamba inahusika na yaliyomtokea mgombea wa upinzani kwa kupigwa risasi

3. Nchi za magharibi na CHADEMA ni kama wameshamuandaa mr Robert Amsterdam kutumika kuvuruga amani ya nchi pale anapotoa vitishisho juu ya Mh Rais J P Magufuli.

4. Kwa maneno yanayotoka kinywani mwake ni kama mgombea urais wa upinzani hayuko tayari kupokea Matokeo ikiwa atakuwa ameshindwa: Nitaamrisha maandamano.

Ili kuruhusu uchaguzi kuendelea inaitajika juhudi kubwa kuhakikisha yafutayo yanafanyika:

1. Kuondoa maneno ya kushutumiana kuwa wewe uliagiza nipigwe risasi, umeteka na kuua watu. Wagombea wajikitetea katika kunadi sera za vyama vyao na si vingevyo.

2. Huyu anayejiita mtetezi wa mgombea urais kwa tiketi ya CHADEMA mr Robert Amsterdam aache mara Moja kumtisha Rais Magufuli na nchi yetu, vinginevyo tutajua kuwa mteja wake ametumwa kuvuruga amani ya taifa letu, kama walivyofanya Libya, Iraq, Liberia, Siria nk.

3. Usalama wa taifa wahakikishe wagombea wote na hasa mh Magufuli na Tundu lissu wanalindwa vilivyo kwa sababu anything that may happen involving one the above will result into a war as it happened in Rwanda ,Burundi,Libya, Iraq, Sudan, Somalia, Siria etc

4. NEC isisite kumchukulia Hatua kali mgombea atayehubiri chuki. Hapa tusimuogope Mr Amsterdam Bali tuilinde nchi yetu kwa nguvu zote.

5. Usalama wa taifa wanatakiwa kuhakikisha kuwa nchi yetu iko salama wakati wowote kabla na baada ya uchaguzi .Mipaka iko salama ,majirani wasitumike kuwa base ya Adui wa taifa letu.

6. Viongozi wa dini kuendelea kuliombea taifa letu wakati huu mgumu wa uchaguzi.Ikiwezekana Kusitokee Dini Yoyote itakayohubiri Siasa au kuegemea upande wowote.

Nawatakieni Jumapili njema na uchaguzi mwema.
Ccm wamedhibitiwa mwaka huu hakuna ujanja ujanja, mshindi apafikane kihalali
 
Tangia tumeanza process ya kuingia kwenye uchaguzi wa mwaka 2020, kumekuwepo maneno mengi yanayoashiria uvunjifu wa Amani, vitisho kutoka nje ya nchi hasa pale mgombea fulani anapomshutumu mwenzake kuwa serikali yako ndiyo ilinipiga risasi, serikali yako imeteka na kuua Watu nk.

Tumeona barua nyingi kutoka Kwenye kampuni ya uwakili inayosimamiwa na mr Robert Amsterdam ikimtisha Rais wa sasa wa Tanzania ambaye ni mgombea urais kwa tiketi ya chama Tawala.

Sababu za kuomba uchaguzi uahirishwe ni hizi zifutazo

1.Kutoa maneno mabaya juu ya rais JPM ni kuhatarisha usalama wa Rais Magufuli wakati kampeni zikianza kwa sababu Watu watakuwa na hasira wakiamini kuwa mgombea wao ni mremavu kwa sababu ya awamu ya Tano.

2. Kutoa maneno mabaya juu ya awamu ya tano ni kuhatarisha usalama wa mgombea anayeishutumu serikali ya awamu ya tano kwamba inahusika na yaliyomtokea mgombea wa upinzani kwa kupigwa risasi

3. Nchi za magharibi na CHADEMA ni kama wameshamuandaa mr Robert Amsterdam kutumika kuvuruga amani ya nchi pale anapotoa vitishisho juu ya Mh Rais J P Magufuli.

4. Kwa maneno yanayotoka kinywani mwake ni kama mgombea urais wa upinzani hayuko tayari kupokea Matokeo ikiwa atakuwa ameshindwa: Nitaamrisha maandamano.

Ili kuruhusu uchaguzi kuendelea inaitajika juhudi kubwa kuhakikisha yafutayo yanafanyika:

1. Kuondoa maneno ya kushutumiana kuwa wewe uliagiza nipigwe risasi, umeteka na kuua watu. Wagombea wajikitetea katika kunadi sera za vyama vyao na si vingevyo.

2. Huyu anayejiita mtetezi wa mgombea urais kwa tiketi ya CHADEMA mr Robert Amsterdam aache mara Moja kumtisha Rais Magufuli na nchi yetu, vinginevyo tutajua kuwa mteja wake ametumwa kuvuruga amani ya taifa letu, kama walivyofanya Libya, Iraq, Liberia, Siria nk.

3. Usalama wa taifa wahakikishe wagombea wote na hasa mh Magufuli na Tundu lissu wanalindwa vilivyo kwa sababu anything that may happen involving one the above will result into a war as it happened in Rwanda ,Burundi,Libya, Iraq, Sudan, Somalia, Siria etc

4. NEC isisite kumchukulia Hatua kali mgombea atayehubiri chuki. Hapa tusimuogope Mr Amsterdam Bali tuilinde nchi yetu kwa nguvu zote.

5. Usalama wa taifa wanatakiwa kuhakikisha kuwa nchi yetu iko salama wakati wowote kabla na baada ya uchaguzi .Mipaka iko salama ,majirani wasitumike kuwa base ya Adui wa taifa letu.

6. Viongozi wa dini kuendelea kuliombea taifa letu wakati huu mgumu wa uchaguzi.Ikiwezekana Kusitokee Dini Yoyote itakayohubiri Siasa au kuegemea upande wowote.

Nawatakieni Jumapili njema na uchaguzi mwema.
Yupi mbaya kati ya hao wawili, anayelalamika kuwa mwenzake alitaka kumwua au aliyetoa Wito hadharani kwenye live TV kuwa Lissu auawe? Yupi mchochezi hapo kama Uchochezi ndiyo deal
 
Back
Top Bottom