Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Na chuki yao sio kwenye kazi ni chuki ya mapenzi tu baada ya kuachana na yule dada mwenye takko refu kama Jani la mgombaAsilimia kubwa wanaochukia mafanikio ya diamond ndo wamejificha kwa alikiba
Kwa hiyo wanaochukia maendeleo ya kiba ndo wamejificha kwa domoNa chuki yao sio kwenye kazi ni chuki ya mapenzi tu baada ya kuachana na yule dada mwenye takko refu kama Jani la mgomba
sory fistula not vistura samahani lakiniHawa hapa wasanii na ubalozi wao.
Kiba - tembo.
Madee - dawa ya meno ( jina nimeisahau)
Jide - vistura ( ugonjwa wa akina mama ) n.k
Navy kenzo - Airtel.
Shetta - startimes
Kala jeremaya - Pepsi.
Tunda man - ( ana udhamini nimesahau inajishughulisha na nini)
Joti - tigo.
Harmonize - mazingira.
DIAMOND - Vodacom,DSTV,Cocacola,Samsung, Red Gold.n.k
Labda useme ulitakaje kwa mfano,unadhani makampuni yanaangalia nini hadi yanakupa udhamini ....... yanakanuni zake sio kutukana sana kwa mashabiki wako basi upewe dili haipo hiyo,na ndio utakapojua MNACHOKIONGEA NI TOFAUTI NA KILICHOPO NDANI YA VICHWA VYA WATU HASA MAKAMPUNI MAKUBWA YANAVYOMUANGALIA KWA JICHO LA KIBIASHARA.nyie endeleeni tu na matusi yenu kiba zaidi anajua ila kiuhalisia INAKATAA.
Ally Kiba si ambassador wa wanyama jamani mbona hamridhikiKwa hiyo wanaochukia maendeleo ya kiba ndo wamejificha kwa domo
Uwo na wakujitolea tunataka makampuni makubwa Kama airtel tigo au vodacom coz jamaa naamini kwa kile kipaji na ile sauti akitengeneza tangazo litakuwa hit song kqbisa ebu makampuni yamwangalie king wa bongo fkava kwa jicho la tatuAlly Kiba si ambassador wa wanyama jamani mbona hamridhiki
ndio hili halina ubishi(labda uwe virus kichwani) diamond ni msanii anayejielewa zaidi ya wote.. pia anafaa kibiashara zaidi because ana fans wengi mpaka abroad.. so brand yako ukimtumia itafika mbali sana tofauti na hao MBULULA wengine
Poa, ila na wewe sio sory ni "sorry"sory fistula not vistura samahani lakini
HahahahahaPoa, ila na wewe sio sory ni "sorry"
vivulana vya dar bhana, unaropoka kama umefungwa kanga moja?Nipo na mama ako
sina la kuongezeaWapo wengine wanaofaidika kama navykenzo kampuni ya airtel.. Ila kikubwa tasnia bado changa, maana kwa wenzetu kampuni moja inaweza kutoa dili kwa wasanii zaidi ya wanne na malipo mazuri tu..
Afu kuja kwenye suala la mashabiki kusema kiba anamashabiki wengi kuliko diamond upo wrong, maana hata kampuni inapofanya tathmini kumpata ambassador wao lazima watizame vitu vinavyoonekana kuliko maneno maneno, kuanzia na nguvu ya msanii kwenye mitandao ya kijamii idadi ya watu wanaokufuatilia na hakuna hata anaemsogelea diamond
Kiufupi tu, dogo anabidii sana na kazi zake na ni brand kubwa sana... Chukulia mfano dili la Vodacom, katengeneza audio kwenye studio yake, katengeneza video mwenyewe, photoshoot yeye mwenyewe, kampuni iliyoajili watu zaidi ya 25 kwanini usimpe ubalozi huyu mtu??? Na mkataba mnaandikishiana ofisini kwake yeye mwenyewe, ofisi kali mwenyewe ukiingia unatamani iwe yako
mi inanikosha "bye honey""nampigiaga na zari mama latifa kipenzi changu...."
Hii sehemu huwa inanikosha sana utadhani nimeimbiwa mie
Hilo unaliona wewe ila makampuni yanamuona diamond platinum baba tiffahUwo na wakujitolea tunataka makampuni makubwa Kama airtel tigo au vodacom coz jamaa naamini kwa kile kipaji na ile sauti akitengeneza tangazo litakuwa hit song kqbisa ebu makampuni yamwangalie king wa bongo fkava kwa jicho la tatu
Apewe giggy moneyuwezo na kujielewa ndio kunampa mtu kazi... je ulitaka wampe chid benz, ray c, au m.r nice.. unampa mtu kazi pale anapojua anajielewa ili aweze kuipaisha brand yako..
Basi mie hilo tangazo naona kama wimbo vile..ingekuwa ni track yake ungehit pia."nampigiaga na zari mama latifa kipenzi changu...."
Hii sehemu huwa inanikosha sana utadhani nimeimbiwa mie
Zuri sana, acha tu makampuni yampe kaziBasi mie hilo tangazo naona kama wimbo vile..ingekuwa ni track yake ungehit pia.
Kwasababu huyo msanii mmoja kajitengeneza kutoka mwanamuziki mpaka amekuwa BRAND.....wengine bado sana wamebaki kuwa wasanii kwahio watalipwa na kuchukuliwa kisaniisanii.Imenifika hapa....
Naona makampuni mengi Sana apa bongo yanampaparukia msanii mmoja tu kuwa brand ambassador hivi wasanii wengne hakuna amekuwa ni domo tu kila tangazo inakera sana hii inaleta matabaka Kati ya wasanii au kuna figisu figisu jamaa anatumia ili kubania wasanii wenzake
Ifike kipindi makampuni yatazame na wasanii wengne....coz kuna wasanii wakali na wenye fan base kubwa kuzidi ata uyo domo kwa mfano king kiba ndo msanii mwenye fan base kubwa apa bongo Ina maana makampuni hayamuoni au figisufigisu....