Inakera kuona msanii mmoja tu ndo anapaparukiwa na makampuni

Inakera kuona msanii mmoja tu ndo anapaparukiwa na makampuni

Status
Not open for further replies.
Na chuki yao sio kwenye kazi ni chuki ya mapenzi tu baada ya kuachana na yule dada mwenye takko refu kama Jani la mgomba
Kwa hiyo wanaochukia maendeleo ya kiba ndo wamejificha kwa domo
 
Hawa hapa wasanii na ubalozi wao.
Kiba - tembo.
Madee - dawa ya meno ( jina nimeisahau)
Jide - vistura ( ugonjwa wa akina mama ) n.k
Navy kenzo - Airtel.
Shetta - startimes
Kala jeremaya - Pepsi.
Tunda man - ( ana udhamini nimesahau inajishughulisha na nini)
Joti - tigo.
Harmonize - mazingira.
DIAMOND - Vodacom,DSTV,Cocacola,Samsung, Red Gold.n.k


Labda useme ulitakaje kwa mfano,unadhani makampuni yanaangalia nini hadi yanakupa udhamini ....... yanakanuni zake sio kutukana sana kwa mashabiki wako basi upewe dili haipo hiyo,na ndio utakapojua MNACHOKIONGEA NI TOFAUTI NA KILICHOPO NDANI YA VICHWA VYA WATU HASA MAKAMPUNI MAKUBWA YANAVYOMUANGALIA KWA JICHO LA KIBIASHARA.nyie endeleeni tu na matusi yenu kiba zaidi anajua ila kiuhalisia INAKATAA.
 
Hawa hapa wasanii na ubalozi wao.
Kiba - tembo.
Madee - dawa ya meno ( jina nimeisahau)
Jide - vistura ( ugonjwa wa akina mama ) n.k
Navy kenzo - Airtel.
Shetta - startimes
Kala jeremaya - Pepsi.
Tunda man - ( ana udhamini nimesahau inajishughulisha na nini)
Joti - tigo.
Harmonize - mazingira.
DIAMOND - Vodacom,DSTV,Cocacola,Samsung, Red Gold.n.k


Labda useme ulitakaje kwa mfano,unadhani makampuni yanaangalia nini hadi yanakupa udhamini ....... yanakanuni zake sio kutukana sana kwa mashabiki wako basi upewe dili haipo hiyo,na ndio utakapojua MNACHOKIONGEA NI TOFAUTI NA KILICHOPO NDANI YA VICHWA VYA WATU HASA MAKAMPUNI MAKUBWA YANAVYOMUANGALIA KWA JICHO LA KIBIASHARA.nyie endeleeni tu na matusi yenu kiba zaidi anajua ila kiuhalisia INAKATAA.
sory fistula not vistura samahani lakini
 
Ally Kiba si ambassador wa wanyama jamani mbona hamridhiki
Uwo na wakujitolea tunataka makampuni makubwa Kama airtel tigo au vodacom coz jamaa naamini kwa kile kipaji na ile sauti akitengeneza tangazo litakuwa hit song kqbisa ebu makampuni yamwangalie king wa bongo fkava kwa jicho la tatu
 
ndio hili halina ubishi(labda uwe virus kichwani) diamond ni msanii anayejielewa zaidi ya wote.. pia anafaa kibiashara zaidi because ana fans wengi mpaka abroad.. so brand yako ukimtumia itafika mbali sana tofauti na hao MBULULA wengine



sio kujielewa tu hata muonekano wake ni dili tosha hata mm ningekuwa na kampuni halafu tunahitaj matangazo kwa nn nisimchague? kiba ajifunze hata kupangilia mavazi bado hajajua kujipendezesha kuonakana ki star zaid.
 
Wapo wengine wanaofaidika kama navykenzo kampuni ya airtel.. Ila kikubwa tasnia bado changa, maana kwa wenzetu kampuni moja inaweza kutoa dili kwa wasanii zaidi ya wanne na malipo mazuri tu..

Afu kuja kwenye suala la mashabiki kusema kiba anamashabiki wengi kuliko diamond upo wrong, maana hata kampuni inapofanya tathmini kumpata ambassador wao lazima watizame vitu vinavyoonekana kuliko maneno maneno, kuanzia na nguvu ya msanii kwenye mitandao ya kijamii idadi ya watu wanaokufuatilia na hakuna hata anaemsogelea diamond

Kiufupi tu, dogo anabidii sana na kazi zake na ni brand kubwa sana... Chukulia mfano dili la Vodacom, katengeneza audio kwenye studio yake, katengeneza video mwenyewe, photoshoot yeye mwenyewe, kampuni iliyoajili watu zaidi ya 25 kwanini usimpe ubalozi huyu mtu??? Na mkataba mnaandikishiana ofisini kwake yeye mwenyewe, ofisi kali mwenyewe ukiingia unatamani iwe yako
sina la kuongezea
 
Dangote kiboko yao!! Yy pia n bland kubwa sn africa.
 
Imenifika hapa....

Naona makampuni mengi Sana apa bongo yanampaparukia msanii mmoja tu kuwa brand ambassador hivi wasanii wengne hakuna amekuwa ni domo tu kila tangazo inakera sana hii inaleta matabaka Kati ya wasanii au kuna figisu figisu jamaa anatumia ili kubania wasanii wenzake

Ifike kipindi makampuni yatazame na wasanii wengne....coz kuna wasanii wakali na wenye fan base kubwa kuzidi ata uyo domo kwa mfano king kiba ndo msanii mwenye fan base kubwa apa bongo Ina maana makampuni hayamuoni au figisufigisu....
Kwasababu huyo msanii mmoja kajitengeneza kutoka mwanamuziki mpaka amekuwa BRAND.....wengine bado sana wamebaki kuwa wasanii kwahio watalipwa na kuchukuliwa kisaniisanii.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom