Ina maana kama wewe hakuna aliyekusaidia kufanikisha malengo yako basi na wewe hauwezi kuwasaidia wengine kufanya jambo fulani.?wewe mwenyewe uelewi unazungumza nini..kwani diamond kampuni gani ilimuinua.?
Hakuna anaenisaidia ndio...nafikia malengo yangu kwa jasho langu...umezaliwa mwenyew piga kazi mwenyew usitegemee msaada...mtu pekee wa kukusaidia bure dunia hii ni wazaz wako tuIn
Ina maana kama wewe hakuna aliyekusaidia kufanikisha malengo yako basi na wewe hauwezi kuwasaidia wengine kufanya jambo fulani.?
Mmmmh hatari.........Hakuna anaenisaidia ndio...nafikia malengo yangu kwa jasho langu...umezaliwa mwenyew piga kazi mwenyew usitegemee msaada...mtu pekee wa kukusaidia bure dunia hii ni wazaz wako tu
wataishia kufuta vumbi viti wanavodai waliviacha...Wanaamini kila anachopata diamond kiba anastahili zaidi wanasahau kwamba hakuna kinachokuja bure bila kujituma na kuwa mbunifu, wataendelea kumuona kwenye tv na wakizima watamsikia kwenye radio wakizima na hiyo watamuona kwenye mabango barabarani diamond haepukiki
Kama ni msaada jamaa anasaidia sana, harmonize na Raymond kawainua yeye, wasanii kibao huwa anawatangazia kazi zao, yamoto band kwenye shooting yao kwa godfather jamaa akitoa support sana msaada upi tena awasaidie labda kuwamwagia helaIn
Ina maana kama wewe hakuna aliyekusaidia kufanikisha malengo yako basi na wewe hauwezi kuwasaidia wengine kufanya jambo fulani.?
leta ushahidi kuwa alilipwa hizo hela...ila usije kusema ushahidi huo umeutoa kwenye mdomo wa diamond au wapambe wakeWe utakuwa unaota diamond kala voda zaidi ya mil 600, dstv zaidi ya mil 150, tangazo la cocacola onja msisimko zaidi ya mil 60 alafu unasema anafanya bure? Kajipange upya
Mamaaa sijasema diamond hawasaidii wenzake.....hoja iliyopo mezani ni kwanini hayo makampuni ya simu yanamtumia zaidi diamond.Kama ni msaada jamaa anasaidia sana, harmonize na Raymond kawainua yeye, wasanii kibao huwa anawatangazia kazi zao, yamoto band kwenye shooting yao kwa godfather jamaa akitoa support sana msaada upi tena awasaidie labda kuwamwagia hela
Mamaaa sijadema diamond hawasaidii wenzake.....hoja iliyopo mezani ni kwanini hayo makampuni ya simu yanamtumia zaidi diamond.Kama ni msaada jamaa anasaidia sana, harmonize na Raymond kawainua yeye, wasanii kibao huwa anawatangazia kazi zao, yamoto band kwenye shooting yao kwa godfather jamaa akitoa support sana msaada upi tena awasaidie labda kuwamwagia hela
Yanamtumia yeye kwasababu anao uwezo wa kuwaingizia pesa, pia kama kuna msanii mwingine mwenye uwe huo atatumika tuMamaaa sijadema diamond hawasaidii wenzake.....hoja iliyopo mezani ni kwanini hayo makampuni ya simu yanamtumia zaidi diamond.
Tatizo ushabiki .......na hatufanikiwi kwenye mambo mengi sababu ya USHABIKI. Jambo fulani afanye fulani na si huyu.... .....nasema tena tanzania bado sana.Kazi ya kuinua vipaji ni ya BONGO STAR SEARCH sio ya VODACOM
Ha ha ha afu na ushabiki wa uongo ha ha ha kiba is overrated mnamsifia sifa za uongo ndo maana hapigi hatuaTatizo ushabiki .......na hatufanikiwi kwenye mambo mengi sababu ya USHABIKI. Jambo fulani afanye fulani na si huyu.... .....nasema tena tanzania bado sana.
Asiyekuwa nacho hata kile kiduchu alicho nacho atanyang'anywaMwenye nacho ataongezewa.
Kitu ambacho sitaki kuamini ni kwamba wasanii wengine hawayafanyi kama anayoyafanya diamond...... Kama hilo swala uliloliyolea mfano. Ni kweli wengine hawafanyi?
Unajua Beyonce hajafollow mtu kwny Instagram lkn mbn makampuni yanamtafuta so unataka kunambia na yy ana poor social interactionIsho_boy bhana, huyo Kiba mwenyewe hata kuandika caption anajionea taabu ndo mtu ampe u- brand ambassador!!
Halafu hivi una habari cku hizi marketing imehamia kwenye social media ambako huyo Kiba si tu kwamba hata mambo ya kuandika caption anajionea taabu lakini kutokana na mapozi yake, watu kibao wana followers wengi zaidi yake wakati ktk hali ya kawaida ilitakiwa awe amekaliana kooni na Diamond lakini matokeo yake anakaliana kooni na kina Rose Ndauka!
Halafu ngoja nikujuze kitu kidogo. Kiba haja - follow mtu Instagram. Usually haandiki caption. Kibiashara hayo mambo mawili yanatoa picha kwamba ana poor social interaction kwahiyo ni ngumu sana mtu kumpa u - ambassador msanii anayeonesha ana poor social interaction!
Kama ushawahi kuhudhuria interviews na unafahamu jinsi ya kujibu maswali ya "what are your extracurricular activities au hobby zako ni zipi basi bila shaka utanielewa namaanisha nini hapo kwenye social interaction.
Full nondoDada mbishi wewe...
Wasanii wengine kusema wanafanya anachofanya Diamond, bado hawafanyi japo kuna wachache wanaojitahidi kwa mbaaaali..
Tofauti na jina kubwa alilonalo diamond na mafanikio yake kimuziki, jamaa kwenye social media anafuatiliwa sana na ndio sehemu mojawapo ya kutangaza bidhaa.. Chukulia mfano facebook alikiba anamashabiki elfu themanini na kitu 80,000+ wakati Diamond anamashabiki zaidi ya milioni moja, laki na tisini 1,190,000+, ukija instagram diamond anawatu milioni mbili, huku alikiba anawatu milioni moja kama ni kuchagua kampuni itamkimbilia yupi???? labda wajivishe ubasata ndio watakimbilia kwa alikiba, otherwise HAWAWEZI
Umeona picha alipokuwa anasaini mkataba wa Red gold tomato sauce??? Amesaini kwenye ofisi zake mwenyewe za WCB wasafi, sasa swali kwako msanii gani anayo ofisi angalau hata iwe ya kutisha kwa wadau kipindi wanapo bargain price??? HAKUNA
Uliliona tangazo la voda? Kuanzia audio, video, photoshoot, vyote vimefanyika kwenye ofisi zake za WCB kitu kinachoonesha ni kwa kiasi gani brand ilivyojikamilisha, na baada ya hapo video ikawekwa youtube kwenye account ya diamond yenye mashabiki zaidi ya 260,000+ akiwa msanii wa tatu Afrika baada ya psquare na davido, huku tanzania hakuna msanii aliyefikia hata mashabiki 50,000 na ndani ya video kuna added advantage ya kuonekana kwa Zari, Tiffah na mama Diamond, Je kuna familia ipi ya mwanamuziki wa bongo wenye publicity inayokaribia familia ya Diamond??? HAKUNA.. Kitaani watu wanamfahamu princess tiffah vizuri kuliko hata baadhi ya mastaa
KAMA ULIYAFICHA MADESA YAKO SEHEMU NENDA KAFEKENYUE, MAJOR AIM OF BUSINESSES IS TO MAKE PROFIT SASA SIJUI UNATAKA BIASHARA IYUMBE KISA TEAM ZA KIJINGA?
Tatizo unajifanya huelewi wakati unaelewa! Hivi condition niliyoweka hapo ni kuwa celebrity au nimesema msanii mwenyewe kuwa brand in advance?!Kwahiyo celebrate ni diamond tu? AY na wengineo sio?