- Thread starter
- #81
Ushaona ww ndo umeongea point kuliko awo mapopoma wa domokwa sababu Diamond hana gharama...anapenda SIFA bila malipo yupo radhi hata afanye tangazo bure ili kuwakomoa wenzie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ushaona ww ndo umeongea point kuliko awo mapopoma wa domokwa sababu Diamond hana gharama...anapenda SIFA bila malipo yupo radhi hata afanye tangazo bure ili kuwakomoa wenzie
Sasa kama ni bure mbona mnalaumu? Ndo uone kiba hata kwa bure haitajikiUshaona ww ndo umeongea point kuliko awo mapopoma wa domo
Ina maana msanii anayejielewa ni diamond tu?
Diamond anapiga kazi anapata tuzo, ambassador anapigiwa debe na kina wema apate tuzo bado wanalingamisha na baba tee hawa vepeYap, ni yeye tu. Diamond ana bidii and he thinks outside the box. He has big dreams and he is not afraid to follow them. So dont be surprised that companies can see that and are interested in working with him.
AHahahahaahaha umenifurahisha sana... KWAMBA HATA BURE HAFAISasa kama ni bure mbona mnalaumu? Ndo uone kiba hata kwa bure haitajiki
Unahisi humu sehemu sahihi? Makampuni ya biashara nia yao ni kuvuta watu kwa kutumia mtu wanayeamini anafaa kwa soko wanaloliendea.Uwo na wakujitolea tunataka makampuni makubwa Kama airtel tigo au vodacom coz jamaa naamini kwa kile kipaji na ile sauti akitengeneza tangazo litakuwa hit song kqbisa ebu makampuni yamwangalie king wa bongo fkava kwa jicho la tatu
Ha ha ha jamaa anasema diamond anapiga kazi bure, sasa mbona kiba hata hizo za bure haitwiAHahahahaahaha umenifurahisha sana... KWAMBA HATA BURE HAFAI
Umeona eeeeh?! Kajisemeaga mwenyewe "Tatizo Nyooota"mwacheni na kismart chake khaaaaaaaaaaa
wanaokosa madili wakajitose baharini
Kweli kabisa amezunguuuka Sana kumbe alikuwa anamtaka kiba, kibakuli Ni kibakuli Tu.Siku nyingine uwe unaenda direct to the point...
Picha plllllllllllllzWapo wengine wanaofaidika kama Navykenzo kampuni ya Airtel.. Ila kikubwa tasnia bado changa, maana kwa wenzetu kampuni moja inaweza kutoa dili kwa wasanii zaidi ya wanne na malipo mazuri tu..
Afu kuja kwenye suala la mashabiki kusema kiba anamashabiki wengi kuliko Diamond upo wrong, maana hata kampuni inapofanya tathmini kumpata ambassador wao lazima watizame vitu vinavyoonekana kuliko maneno maneno, kuanzia na nguvu ya msanii kwenye mitandao ya kijamii idadi ya watu wanaokufuatilia na hakuna hata anaemsogelea Diamond
Kiufupi tu, dogo anabidii sana na kazi zake na ni brand kubwa sana... Chukulia mfano dili la Vodacom, katengeneza audio kwenye studio yake, katengeneza video mwenyewe, photoshoot yeye mwenyewe, kampuni iliyoajili watu zaidi ya 25 kwanini usimpe ubalozi huyu mtu??? Na mkataba mnaandikishiana ofisini kwake yeye mwenyewe, ofisi kali mwenyewe ukiingia unatamani iwe yako
Basi tunashida sana....kama tunamtegemea mtu mmoja kwenye kutangaza biashara. Sasa hawa wengine utawanyanyuaje? Bora wangeangaliwa top 3 ya wasanii wenye mashabiki wengi.ndio hili halina ubishi(labda uwe virus kichwani) diamond ni msanii anayejielewa zaidi ya wote.. pia anafaa kibiashara zaidi because ana fans wengi mpaka abroad.. so brand yako ukimtumia itafika mbali sana tofauti na hao MBULULA wengine
Wew timu kibakuli kuwa mpole...kwanza kabla cjaenda mbali niambie follower wa alikiba insta na diamond...ukiweza kuntajia namba ya mashabik hao basi tutajadir huu upuuziImenifika hapa....
Naona makampuni mengi Sana apa bongo yanampaparukia msanii mmoja tu kuwa brand ambassador hivi wasanii wengne hakuna amekuwa ni domo tu kila tangazo inakera sana hii inaleta matabaka Kati ya wasanii au kuna figisu figisu jamaa anatumia ili kubania wasanii wenzake
Ifike kipindi makampuni yatazame na wasanii wengne....coz kuna wasanii wakali na wenye fan base kubwa kuzidi ata uyo domo kwa mfano king kiba ndo msanii mwenye fan base kubwa apa bongo Ina maana makampuni hayamuoni au figisufigisu....
Thats not true, kuna mtu kama AY , Alikiba , Lady JD etc. Tuache ubinafsi hata shuleni uwa wanachukuliwa top 3 ili kuiwakilisha shule na si mmoja tu kufanya kila kitu........Yap, ni yeye tu. Diamond ana bidii and he thinks outside the box. He has big dreams and he is not afraid to follow them. So dont be surprised that companies can see that and are interested in working with him.
Team Kiba kwenye ubora wao[emoji1] [emoji1] [emoji1]Imenifika hapa....
Naona makampuni mengi Sana apa bongo yanampaparukia msanii mmoja tu kuwa brand ambassador hivi wasanii wengne hakuna amekuwa ni domo tu kila tangazo inakera sana hii inaleta matabaka Kati ya wasanii au kuna figisu figisu jamaa anatumia ili kubania wasanii wenzake
Ifike kipindi makampuni yatazame na wasanii wengne....coz kuna wasanii wakali na wenye fan base kubwa kuzidi ata uyo domo kwa mfano king kiba ndo msanii mwenye fan base kubwa apa bongo Ina maana makampuni hayamuoni au figisufigisu....
Nasikia diamond akiitwa kwenye show afu akaambiwa na kiba atakuwepo huwa ananyari kinoma..,.anamuogopa king kinoma nomaHata humu matangazo yake yamo. Kweli diamond kiboko... teh teh