Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wazee black in blackSuti nyeusi
Tai nyeusiWalinunua plate number kabla ya gari.
Si ndo vizuri,uwaogopeKuna ulazima gani wa wao kufanya hivyo?
Huoni kwa kufanya hivyo ndiyo wanajianika kabisa kwamba ni watu fulani?
Huwezi kuwapangia watumie zipi, kama wewe wasivyo kupangia taratibu za ofisi yako. mpaka wanaweka hizo ina maana sio kikwazo kwao, ingekuwa kikwazo wangekuwa hawaziweki.Sasa kama haiwakwamishi kiutendaji kuna haja gani ya kujichoresha kwa kuweka namba ambazo sio sahihi?
Kumbe hata wakiweka number plate sahihi haiwakwamishi kiutendaji sasa ni ushamba unaofanyika basi.
Miwani nyeusiSi ndo vizuri,uwaogope
Moka nyeusi tiiHuwezi kuwapangia watumie zipi, kama wewe wasivyo kupangia taratibu za ofisi yako. mpaka wanaweka hizo ina maana sio kikwazo kwao, ingekuwa kikwazo wangekuwa hawaziweki.
HIi nchi ni shamba la mjombaKuna ulazima gani wa wao kufanya hivyo?
Huoni kwa kufanya hivyo ndiyo wanajianika kabisa kwamba ni watu fulani?
Tuanze na Wewe, ofisi yako uwepo wako umefanya nini na nini?Kwani uwepo wao nini na nini wamefanya/wametenda?
Kaunda nyeusiHIi nchi ni shamba la mjomba
Gari mpya plate number ya zamani? Ndio unamaanisha au umeteleza?Mara nyingi ni nanba za taasisi za umma. Wao wana namba zao special hivyo gari ya zamani ikifa wakanunua mpya wanakua wanaitumia hiyo.
Hiyo gari ina namba 2, stl ama su na kisha hizo namba. Anaeitumia akitaka asijulikane anabadilisha anaweka hiyo ya private.
Wewe hapo ni kipi hujaelewa mkuu? Nimeteleza wapi?Gari mpya plate number ya zamani? Ndio unamaanisha au umeteleza?
Gari mpya plate ya Zamani? Only in TanzaniaWewe hapo ni kipi hujaelewa mkuu? Nimeteleza wapi?