Inakuwaje CCM ndiyo wanauchoka uenyekiti wa Mbowe?

Takataka,unafaidika na uhalifu wa mwenyekiti wako makengeza
 
Tunataka Komu apewe uenyekiti CDM.Kama Lipumba alivyopewa CUF.
 
Siyo CCM tu hata Mungu anataka hivyo kwa sababu muda wake umekwisha na anapaswa kupisha wengine kama yeye walivyompisha pia, vinginevyo afute neno ,,demokrasia” kwenye chadema.
Nendeni kwa cheyo,dovutwa lipumba,na mrema
 
Ajenda yao halisi ni kuondoa Mbowe waweke mamluki wao.
Kukalia kiti muda mrefu mbona hawawasemi akina mrema, cheyo, lipumba waliodumu muda mrefu zaidi?
Kuhusu ruzuku, hyo ya Cdm hata haitoshelezi mahitaji..
Ukiwauliza wao wanachukua ngapi na wanatumiaje utashangaa
 

Wewe mfuasi wa nani?
 
Mbowe ni kikwazo; ni lazima kuweka shinikizo ang'oke ili tujaribu kuweka mtu ambaye tutaelewana naye kwenye baadhi ya masuala hasa ya kisiasa!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…