johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Tangu lini IFM ikajihusisha na utoaji wa fedha za mikopo? IFM iko magogoni paleWabunge ni wakina Msukuma wanaojinasubu kuwa wana elimu ya darasa la saba.
Wengine wanashindwa kuhoji hoja ya Zitto kuwaomba IFM wasitishe mkopo wa maendeleo ya elimu kwa Tanzania wanaomba Zitto auliwe.
Nangojea misukule ije kutetea kama kawaidaKwa idadi ya wabunge wa CCM ambao ni zaidi ya 259 inashangaza kwanini wanashindwa kujaza nafasi zisizozidi 50 kwenye baraza la mawaziri.
Imefika wakati Rais Magufuli amelazimika kumteua Mwita Waitara aliyekuwa Chadema kabla ya kuhamia CCM na pia kuwarejesha barazani mh Simbachawene na Mwigullu Nchemba ambao awali aliwatumbua.
Hii inamaanisha CCM ina idadi kubwa ya wabunge lakini wenye ubora mdogo.
Niwaombe wanaccm mwaka huu tusirudie makosa ya kuwarundika bungeni mbumbumbu.....tujali ubora siyo wingi.
Watu wasio minesterial material wanastahili kuwepo upinzani siyo Chama tawala.
Maendeleo hayana vyama!
J J Mnyika ndio aliiandikia barua CCM kuomba kujiunga......alikubaliwa na ubunge atagombea mkoani siyo Kibamba!It seems CCM kuna uhaba wa viongozi ndiyo maana wewe mwenyewe jana ulileta hapa uzi wa kumuomba John Mnyika ajitoe CDM aje kuwaongoza huko CCM
Alichekecha akaona Hakuna wa kufitMambumbu? Kwani uwaziri nao mpaka uwe na Iq kubwa?
Ni utaratibu tu wa kuhakikisha mambo ya kiserikali yanaenda. Lakini sio kwamba hakuna wanao fit.
Magufuli ameshajua ccm imejaa wapiga makofi tu kichwani ni zero brain
Nimekuelewa bwashee!Ushahidi mwingine huu hapa, Tulia, Kabudi, Mahiga, Mpango, Ndalichako. Hawa ni watu wameteuliwa na kushika nyadhifa za uwaziri/naibu spika baada ya kuona hapati watu wa aina hii kutoka kwa wabunge!!
Ongeza na mpemba...Ushahidi mwingine huu hapa, Tulia, Kabudi, Mahiga, Mpango, Ndalichako. Hawa ni watu wameteuliwa na kushika nyadhifa za uwaziri/naibu spika baada ya kuona hapati watu wa aina hii kutoka kwa wabunge!!
Ukweli ni kwamba CCM ni Mbuzi ya kukunia Nazi! Wabunge wengi wa CCM wamekunwa na kubaki vifuu vya Nazi! Mmoja alikuwa Professor Sasa anasema hadharani kuwa aliokotwa Jalalani.Kwa idadi ya wabunge wa CCM ambao ni zaidi ya 259 inashangaza kwanini wanashindwa kujaza nafasi zisizozidi 50 kwenye baraza la mawaziri.
Imefika wakati Rais Magufuli amelazimika kumteua Mwita Waitara aliyekuwa Chadema kabla ya kuhamia CCM na pia kuwarejesha barazani mh Simbachawene na Mwigullu Nchemba ambao awali aliwatumbua.
Hii inamaanisha CCM ina idadi kubwa ya wabunge lakini wenye ubora mdogo.
Niwaombe wanaccm mwaka huu tusirudie makosa ya kuwarundika bungeni mbumbumbu.....tujali ubora siyo wingi.
Watu wasio minesterial material wanastahili kuwepo upinzani siyo Chama tawala.
Maendeleo hayana vyama!
Tangu lini IFM ikajihusisha na utoaji wa fedha za mikopo? IFM iko magogoni pale
Ni IMF bana! [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]
[emoji2398]ᵃʳᵉᵉᵐ [emoji769]