Utaratibu mbovu ajabu.Ni utaratibu tu wa kuhakikisha mambo ya kiserikali yanaenda. Lakini sio kwamba hakuna wanao fit.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utaratibu mbovu ajabu.Ni utaratibu tu wa kuhakikisha mambo ya kiserikali yanaenda. Lakini sio kwamba hakuna wanao fit.
Hiyo haiondoi ukweli kwamba Mwita Waitara alikimbia kumpikia chai Nchimbi na kuhamia Chadema!Waitara alikua ccm,akaenda chadema halafu akarudi
Katiba haimpangii Rais wateule,hao wote ni ccm,hata mbowe anayo.kadi ya ccm
Na ndio maana tangu wamechaguliwa hawajaharibu au kutumbuliwaSiyo jambo dogo kutoa manaibu waziri watatu ambao wamepikwa kisiasa hapo Ufipa na hatimaye jicho la mamlaka kuwaona.
Pamoja na kuhamia CCM niwaombe sana manaibu waziri hawa mh Shonza, mh Waitara, na mh Dr Mollel muwe mabalozi wazuri kwa kile chema ambacho mlijifunza na kukipata wo mlipokuwa Chadema.
Niwapongeze pia Prof Kitila, mama Mgwira, Kafulila, Dr Slaa na mh Hamad Rashid wa Zanzibar kwa kusimamia vema utekelezaji wa Ilani ya CCM.
Nawatakia Dominica yenye baraka.
Maendeleo hayana vyama!
Nani?Hapana mkuu.
Alikatwa ccm kwenye kura za maoni 2015 ndio hasira zake akahama ccm. Labda useme alipelekwa kwa mkopo CDM.
Wewe una akili sanaKwa idadi ya wabunge wa CCM ambao ni zaidi ya 259 inashangaza kwanini wanashindwa kujaza nafasi zisizozidi 50 kwenye baraza la mawaziri.
Imefika wakati Rais Magufuli amelazimika kumteua Mwita Waitara aliyekuwa Chadema kabla ya kuhamia CCM na pia kuwarejesha barazani mh Simbachawene na Mwigullu Nchemba ambao awali aliwatumbua.
Hii inamaanisha CCM ina idadi kubwa ya wabunge lakini wenye ubora mdogo.
Niwaombe wanaccm mwaka huu tusirudie makosa ya kuwarundika bungeni mbumbumbu.....tujali ubora siyo wingi.
Watu wasio minesterial material wanastahili kuwepo upinzani siyo Chama tawala.
Maendeleo hayana vyama!
Mollel na Mwita ni zao la ccm.Nani?