residentura
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,146
- 11,434
Aione Mlinga hii comment.
Assume Bia yetu ni mbunge, wewe unaweza kumteua ungekuwa na mamlaka hayo?!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Assume Bia yetu ni mbunge, wewe unaweza kumteua ungekuwa na mamlaka hayo?!
Waitara alikua ccm,akaenda chadema halafu akarudiImefika wakati Rais Magufuli amelazimika kumteua Mwita Waitara aliyekuwa Chadema
Amechoka kulipwa elfu 7Hahaha!
Kipi Kimekusibu mkuu?
wewe umeridhika kulipwa elfu 7 kwa wiki ?Waitara alikua ccm,akaenda chadema halafu akarudi
Katiba haimpangii Rais wateule,hao wote ni ccm,hata mbowe anayo.kadi ya ccm
Kulipwa na dj zero mkuu?Amechoka kulipwa elfu 7
Jibu hoja mambo ya malipo yangu yanakuhusu nini?wewe umeridhika kulipwa elfu 7 kwa wiki ?
Mtatiro DC , SLAA balozi , Polepole katibu mwenezi ! sasa nyie mtakuwa wapiga deki hadi lini ?Jibu hoja mambo ya malipo yangu yanakuhusu nini?
Unakumbuka slaa alikua ccm,akakatwa akapewa patrick Qorro,yeye akatimkia chadema?Mtatiro DC , SLAA balozi , Polepole katibu mwenezi ! sasa nyie mtakuwa wapiga deki hadi lini ?
Sasa wabunge wenyewe % kubwa ndio design ya kina Msukuma,Kibajaji,Mlinga wanaotaka sanamu la dayamondi ndio wapewe uwaziri na unaibu? Bora hata alivyopewa Dr Shika Mollel ingawa naye ndio wale wale joker.Kwa idadi ya wabunge wa CCM ambao ni zaidi ya 259 inashangaza kwanini wanashindwa kujaza nafasi zisizozidi 50 kwenye baraza la mawaziri.
Imefika wakati Rais Magufuli amelazimika kumteua Mwita Waitara aliyekuwa Chadema kabla ya kuhamia CCM na pia kuwarejesha barazani mh Simbachawene na Mwigullu Nchemba ambao awali aliwatumbua.
Hii inamaanisha CCM ina idadi kubwa ya wabunge lakini wenye ubora mdogo.
Niwaombe wanaccm mwaka huu tusirudie makosa ya kuwarundika bungeni mbumbumbu.....tujali ubora siyo wingi.
Watu wasio minesterial material wanastahili kuwepo upinzani siyo Chama tawala.
Maendeleo hayana vyama!
johnthebaptist ndio wale mataga kindaki ndaki au hujamfahamu vema?.Unamdhalilisha johnthebaptist ndugu,huyo hayupo mataga.
Hakuna mataga mwenye ufahamu timamu wa kuweza kuhoji hiki alichohoji @johnthebaptist,hakuna hakuna,hakuna.johnthebaptist ndio wale mataga kindaki ndaki au hujamfahamu vema?.
Roho inauma inakuwaje mtu anachagua wengine ambao wamekuwa wakipinga fikra za wenyeviti miaka chungu mbovu ilihali mataga wapo wanaokubali fikra za wenyekiti bila kuhoji kwa miaka nenda rudi?.Hakuna mataga mwenye ufahamu timamu wa kuweza kuhoji hiki alichohoji @johnthebaptist,hakuna hakuna,hakuna.
Ahahahahhahahahahah mimi ni mganda naelewa Chiswahili chidogo, nawona hichi ni ChitumbafuTangu lini IFM ikajihusisha na utoaji wa fedha za mikopo? IFM iko magogoni pale
Ni IMF bana! [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]
[emoji2398]ᵃʳᵉᵉᵐ [emoji769]
Ushahidi mwingine huu hapa, Tulia, Kabudi, Mahiga, Mpango, Ndalichako. Hawa ni watu wameteuliwa na kushika nyadhifa za uwaziri/naibu spika baada ya kuona hapati watu wa aina hii kutoka kwa wabunge!!
Wabunge wengi CCM safari hii watafyekwa.Kitakachohuzunisha zaidi Chadema itataka kuwachukua.Magufuli ameshajua ccm imejaa wapiga makofi tu kichwani ni zero brain