Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaaaa.......... yaani hadi Mollel anateuliwa kina Serukamba wanasugua bench tu!Naona mkuu ulikuwa kwenye kamati ya, uteuzi wa Mollel.
Hivi unafahamu kuna Naibu waziri anaitwa Musa Sima?.. Kweli kuna sehemu chama inabidi kijitafakariHahahaaaa.......... yaani hadi Mollel anateuliwa kina Serukamba wanasugua bench tu!
Huyo ndio namsikia leo!Hivi unafahamu kuna Naibu waziri anaitwa Musa Sima?.. Kweli kuna sehemu chama inabidi kijitafakari
Tena kichwa kama Mnyika kikienda huko hata Majaliwa tumbo motoIt seems CCM kuna uhaba wa viongozi ndiyo maana wewe mwenyewe jana ulileta hapa uzi wa kumuomba John Mnyika ajitoe CDM aje kuwaongoza huko CCM
Mnyika atasimama pale miundombinu!
Meko anapenda visasi kwahiyo kamteua mwigulu na huyo mjinga molel,ila kukomoa wabaya wake humo ccm.Kwa idadi ya wabunge wa CCM ambao ni zaidi ya 259 inashangaza kwanini wanashindwa kujaza nafasi zisizozidi 50 kwenye baraza la mawaziri.
Imefika wakati Rais Magufuli amelazimika kumteua Mwita Waitara aliyekuwa Chadema kabla ya kuhamia CCM na pia kuwarejesha barazani mh Simbachawene na Mwigullu Nchemba ambao awali aliwatumbua.
Hii inamaanisha CCM ina idadi kubwa ya wabunge lakini wenye ubora mdogo.
Niwaombe wanaccm mwaka huu tusirudie makosa ya kuwarundika bungeni mbumbumbu.....tujali ubora siyo wingi.
Watu wasio minesterial material wanastahili kuwepo upinzani siyo Chama tawala.
Maendeleo hayana vyama!
Bandiko lako walioneKwa idadi ya wabunge wa CCM ambao ni zaidi ya 259 inashangaza kwanini wanashindwa kujaza nafasi zisizozidi 50 kwenye baraza la mawaziri.
Imefika wakati Rais Magufuli amelazimika kumteua Mwita Waitara aliyekuwa Chadema kabla ya kuhamia CCM na pia kuwarejesha barazani mh Simbachawene na Mwigullu Nchemba ambao awali aliwatumbua.
Hii inamaanisha CCM ina idadi kubwa ya wabunge lakini wenye ubora mdogo.
Niwaombe wanaccm mwaka huu tusirudie makosa ya kuwarundika bungeni mbumbumbu.....tujali ubora siyo wingi.
Watu wasio minesterial material wanastahili kuwepo upinzani siyo Chama tawala.
Maendeleo hayana vyama!
Hahahah! Kumbe mmeanza kupata akili sasa.Kwa idadi ya wabunge wa CCM ambao ni zaidi ya 259 inashangaza kwanini wanashindwa kujaza nafasi zisizozidi 50 kwenye baraza la mawaziri.
Imefika wakati Rais Magufuli amelazimika kumteua Mwita Waitara aliyekuwa Chadema kabla ya kuhamia CCM na pia kuwarejesha barazani mh Simbachawene na Mwigullu Nchemba ambao awali aliwatumbua.
Hii inamaanisha CCM ina idadi kubwa ya wabunge lakini wenye ubora mdogo.
Niwaombe wanaccm mwaka huu tusirudie makosa ya kuwarundika bungeni mbumbumbu.....tujali ubora siyo wingi.
Watu wasio minesterial material wanastahili kuwepo upinzani siyo Chama tawala.
Maendeleo hayana vyama!
Hivi hapa unateua nini ?Kwa idadi ya wabunge wa CCM ambao ni zaidi ya 259 inashangaza kwanini wanashindwa kujaza nafasi zisizozidi 50 kwenye baraza la mawaziri.
Imefika wakati Rais Magufuli amelazimika kumteua Mwita Waitara aliyekuwa Chadema kabla ya kuhamia CCM na pia kuwarejesha barazani mh Simbachawene na Mwigullu Nchemba ambao awali aliwatumbua.
Hii inamaanisha CCM ina idadi kubwa ya wabunge lakini wenye ubora mdogo.
Niwaombe wanaccm mwaka huu tusirudie makosa ya kuwarundika bungeni mbumbumbu.....tujali ubora siyo wingi.
Watu wasio minesterial material wanastahili kuwepo upinzani siyo Chama tawala.
Maendeleo hayana vyama!
Wabunge wa ccm walishakufa zamani sana tunayoiona na mizimu yao tu!kwani tangu lini mzimu una akili ya kuhoji?kutenda?etc???
Kwa hiyo wabunge wa sisiemu wanafaa kwa kuwashia moto!??Ukweli ni kwamba CCM ni Mbuzi ya kukunia Nazi! Wabunge wengi wa CCM wamekunwa na kubaki vifuu vya Nazi! Mmoja alikuwa Professor Sasa anasema hadharani kuwa aliokotwa Jalalani.
Unamdhalilisha johnthebaptist ndugu,huyo hayupo mataga.Nachoshangaa zaidi hadi wewe mmoja wa wana-mataga amewafungia vioo,inauma Sana,