DAD'S SON
JF-Expert Member
- Nov 18, 2015
- 392
- 466
Ukosefu wa maarifa unaweza ukakunyima opportunities nyingi sana na wenye maarifa wanapeta na kupepea.
Kwa bahati mbaya tena hata hao wenye maarifa nao wanaangalia matumbo yao kuliko ya wengine.
Motoni wataenda wengi sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa bahati mbaya tena hata hao wenye maarifa nao wanaangalia matumbo yao kuliko ya wengine.
Motoni wataenda wengi sana
Sent using Jamii Forums mobile app