Inakuwaje Kitambaa Cheupe Sinza kunafurika kila siku?

Hyo Cha mtoto nenda Kitambaa Waiti Ya Tabata(Zamani maeda bar) utafurahi na Roho Yako.
.
Mmiliki anaitwa Jane Kikumbi, Mkinga Mmoja pisi Kali mnoo Ila bahati Mbaya amefunga Ndoa Mwaka Jana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mmiliki anaendesha V8? Kwa mshahara gan wa fastjet?
 
Kwa hiyo unataka kusemaje?
 
muwe mnakujakuja maeneo ya New Africa Casino siku mojamoja au kwenye wine party Hayyt pale.....sasa unakwenda kulewa umeshikilia mtako wa mtu inakuja picha huku JF hakuna privacy kabisa.....
Hapo new africa mi washanipiga marufuku kuingia toka 2014. Sijui nikija saiv watanikumbuka?
 
Mbona siri yenyewe hujatupa???
 
Kuna chimbo moja liko Himo njia panda sikumbuki jina ila misiba yote ya Kaskazini lazima ikutane hapo night then asubuhi kila mtu anasepa kivyake.Watu wanakula bia Mpaka maiti zinashangaa yaani mwenye ile chimbo kawini.
Hahaha njiapanda hapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…