Inakuwaje Kitambaa Cheupe Sinza kunafurika kila siku?

Inakuwaje Kitambaa Cheupe Sinza kunafurika kila siku?

Maison, havoc etc nenda Hapo
Utashanga kuona watu fulani wapo
Wkt ulikuwa hujuwi kama wapo
Usiku mjini mkubwa huu mzee

Ova
Maison hatari sana. Kuna watoto wakalii mpaka unajiuliza hawa mbona huwa siwaoni uraiani?
Halafu huko sasa ndo linaliwa bata kweli. Watu kutumbua m1, 2 ni kawaida sana pale sio tbt mtu kunywa bucket ya castle lite nae anavimba
 
Kuna chimbo

Meeda yenyewe zamani Ilikuwa inafurika

Sema sehemu hizo siyo za kwenda kuongea mipango Maana hamta sikilizana

Huko Labda kunywa na kufata madem

Ova
Meeda ilikua balaa nakumbuka joh makini katoka chuga akapanga nyuma ya meeda bas deile lazima umkute hapo akichomoka anabeba mlupo anaenda nao ghetto
 
Kuna chimbo moja liko Himo njia panda sikumbuki jina ila misiba yote ya Kaskazini lazima ikutane hapo night then asubuhi kila mtu anasepa kivyake.Watu wanakula bia Mpaka maiti zinashangaa yaani mwenye ile chimbo kawini.
inaitwa roxy mkuu karibu na mizani ya kutoka/kwenda dar.
 
Back
Top Bottom