Inakuwaje Kitambaa Cheupe Sinza kunafurika kila siku?

Inakuwaje Kitambaa Cheupe Sinza kunafurika kila siku?

picha tuone mnavyokanyagana

2637487_Screenshot_20201212-133311_1607769611010.jpg
 
nafahamu mkuu,lakini ninaomba kujua kam kuna sehemu bado zipo zinazobamba kwa mjini.
Hyo Cha mtoto nenda Kitambaa Waiti Ya Tabata(Zamani maeda bar) utafurahi na Roho Yako.
.
Mmiliki anaitwa Jane Kikumbi, Mkinga Mmoja pisi Kali mnoo Ila bahati Mbaya amefunga Ndoa Mwaka Jana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom