Inakuwaje Kitambaa Cheupe Sinza kunafurika kila siku?

Inakuwaje Kitambaa Cheupe Sinza kunafurika kila siku?

ndio kilichoshamiri kwenye hizo biashara mkuu.
Yaani wanywaji wengine wanashida sana,
unakuta mnywaji huyo huyo nyumbani mke anamroga kwa limbwata, labda ana nyumba ndogo nayo inampa limbwata, kwenye kazi au biashara zake wapinzani wake wanamloga , halafu kama ni mnywaji kwenye mabar wanamroga avutike kwenda kunywa kwenye bar yake,
Siku hizi hulogwi kuwa chizi unalogezewa unachokipenda. So ukiwa mnywaji unakuwa mlevi mbwa bar kila siku
 
Kwa ule uchafu uliokuwepo pale
Tulituma kikosi cha Askaritul Maadil Unit kuchoma moto ule ufirauni

1718403263016.png
 
Ngoja nikupe siri ndugu.
Usifungue biashara sehemu eti kwakuwa umeona jirani amelemewa na wingi wa wateja. You will suffer consequences.
Unaweka kuuza bidhaa sh.elfu 2000 kama mbinu ya kuvutia wateja na wasikuone wakaendelea kwenda kununua kwa jirani yako anayeiuza sh.elfu 5.
Unaweza kuwa na lugha laini na nzuri na wateja wasije kwako wakaenda kwa jirani yako ambaye huwakaripia wateja daily.
Bado hujatoa Siri
 
 
Yaani hii sehemu si J3, si J4, si J5, si Alhamis, si Ijumaa, Jumamosi na Jumapili ndiyo usiseme kabisa, yaani eti hata pa kukanyaga hamna, ni nini hiki?

Mmechinja mkamtoa kafara hapo au kuna nini jamani?
Mara nyingi wauza utumbo wanakuwa wengi mahala kama hapo ndo mana panajaa,
Ila kukaa sehemu kama hiyo watu wengi kelele nyingi siwezi kabisa
 
Back
Top Bottom