Biashara ya bar ipe muda tu. Iko wapi soccer city?Yaani hii sehemu si J3, si J4, si J5, si Alhamis, si Ijumaa, Jumamosi na Jumapili ndiyo usiseme kabisa, yaani eti hata pa kukanyaga hamna, ni nini hiki?
Mmechinja mkamtoa kafara hapo au kuna nini jamani?
Calabash haipooCalabash, 5N, Catalunya pameshadoda
Uzi wa 2022 huu lakini..Biashara ya bar ipe muda tu. Iko wapi soccer city?
Hahaha ila sawa, bar mpya hudumu miaka 5 hivi halafu inapotea.Uzi wa 2022 huu lakini..
DND paleKuna chimbo moja liko Himo njia panda sikumbuki jina ila misiba yote ya Kaskazini lazima ikutane hapo night then asubuhi kila mtu anasepa kivyake.Watu wanakula bia Mpaka maiti zinashangaa yaani mwenye ile chimbo kawini.
wasingida yule mkuuCalabash kuna muhudum alikua anaitwa Angel hatar sana
waliiba taa za gari yangu paleKibo zone daily tunakanyagana
Kila jumatatu na alhamisi yupo Babu wa Tik tok & the band
waliiba taa za gari yangu pale
Ule mzigo ulikua hatar sanakumb
wasingida yule mkuu
Bei gan?Hapo park kuna totoz kibao za Ud
dolari yako tu
Siku hizi hulogwi kuwa chizi unalogezewa unachokipenda. So ukiwa mnywaji unakuwa mlevi mbwa bar kila sikundio kilichoshamiri kwenye hizo biashara mkuu.
Yaani wanywaji wengine wanashida sana,
unakuta mnywaji huyo huyo nyumbani mke anamroga kwa limbwata, labda ana nyumba ndogo nayo inampa limbwata, kwenye kazi au biashara zake wapinzani wake wanamloga , halafu kama ni mnywaji kwenye mabar wanamroga avutike kwenda kunywa kwenye bar yake,
😂😂Siku hizi hulogwi kuwa chizi unalogezewa unachokipenda. So ukiwa mnywaji unakuwa mlevi mbwa bar kila siku
well saidSiku hizi hulogwi kuwa chizi unalogezewa unachokipenda. So ukiwa mnywaji unakuwa mlevi mbwa bar kila siku
Bado hujatoa SiriNgoja nikupe siri ndugu.
Usifungue biashara sehemu eti kwakuwa umeona jirani amelemewa na wingi wa wateja. You will suffer consequences.
Unaweka kuuza bidhaa sh.elfu 2000 kama mbinu ya kuvutia wateja na wasikuone wakaendelea kwenda kununua kwa jirani yako anayeiuza sh.elfu 5.
Unaweza kuwa na lugha laini na nzuri na wateja wasije kwako wakaenda kwa jirani yako ambaye huwakaripia wateja daily.
Mara nyingi wauza utumbo wanakuwa wengi mahala kama hapo ndo mana panajaa,Yaani hii sehemu si J3, si J4, si J5, si Alhamis, si Ijumaa, Jumamosi na Jumapili ndiyo usiseme kabisa, yaani eti hata pa kukanyaga hamna, ni nini hiki?
Mmechinja mkamtoa kafara hapo au kuna nini jamani?