mkongwensibi
Senior Member
- Feb 1, 2022
- 133
- 215
Ipo sehemu gani nani nikatembee weekend hii??Yaani hii sehemu si J5, si Alhamis, si Ijumaa, Jumamosi na Jumapili ndio usiseme kabisa, yaani eti hata pa kukanyaga hamna, ni nini hiki?!
Mmechinja mtu mkamtoa kafara hapo au kuna nini jamani?!
Hamna nightclub inauobamba dar wakati bup na bar zote zina lounge, biashara ya mziki kuchanganya saa 7 usiku wakati wenye hela wanaondoka saa 6 haipo.nafahamu mkuu,lakini ninaomba kujua kam kuna sehemu bado zipo zinazobamba kwa mjini.
Baa inataka mashangazi tu. Design ya majimama mitaqo Kama yoteHiyo ni kawaida kwa bar mpya sinza
Ukifungua bar mpya sinza kali inajaza kwa miaka miwili ya kwanza sana
Akitokea mwingine akafungua twna mpya kali wotw wanahamia huko
Hyo Cha mtoto nenda Kitambaa Waiti Ya Tabata(Zamani maeda bar) utafurahi na Roho Yako.nafahamu mkuu,lakini ninaomba kujua kam kuna sehemu bado zipo zinazobamba kwa mjini.
Bambalaga pakijinga sana sasa hivi hakuna maajabu tenaMoro Nako Kuna Samakisamaki Daaaah Pale ni Nyoko.
.
Hii Bambalaga ya Hapa Dom Wala Hauifui Dafu Kwa Kitambaa au Samaki Ya Moro.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilimwambia FM amuulize Pikinini mwenye Njeree'z Bistro iliyopo Leganga-Arusha. Imekuwa gofu kwa sababu ya pigo kama hizo.bambalaga pakijinga sana sasa hivi hakuna maajabu tena
La Chaz nimekula shangazi weekend hiiWamesaidia kupunguza nyodo za boardroom. Lachaz sijui atafufuka?
When Everybody is trying to "Fit In"Yaani hii sehemu si J5, si Alhamis, si Ijumaa, Jumamosi na Jumapili ndiyo usiseme kabisa, yaani eti hata pa kukanyaga hamna, ni nini hiki?
Mmechinja mkamtoa kafara hapo au kuna nini jamani?
Daaaah Mzee una Moyo Unaanzaje Kufumua Mavi ya Shangazi, kinyaaa [emoji21][emoji21][emoji21]La Chaz nimekula shangazi weekend hii
Muda wetu wa ziada ni for Leisure and Complaining🤣🤣Sababu bongo tunaamini ukilewa au kunywa bia nyingi ndio starehe imeshika mahali pake. Hatuna vyanzo vingi vya kufurahia
We jamaa nyamaza huyajui mashangazi yalivyo matamuDaaaah Mzee una Moyo Unaanzaje Kufumua Mavi ya Shangazi, kinyaaa [emoji21][emoji21][emoji21]
Sent using Jamii Forums mobile app