Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,669
- 8,268
Inaitwaje hyo Bar Hapo Tabata?BIASHARA YA POMBE NI BIASHARA YA URAFIKI HAITAKI MKONO WA BIRIKA PIA NI ADUI WA AKILI ZA KIMASIKINI /
Ipo bar fulani tabata nayo inajaza kweli mwenyebar huspend na marafiki almost laki 3-5/day of weekend ku archive sales ya million 3-5.
KC ya Sinza Sio Mpya, Hyo Bar Ipo Toka Mwaka Jana Mwezi Wa 9Hilo ndy jibu sahihi
Ova
Wabongo hujawajua badoHuyo jesca mtoto wa king kiki sijui anatumia uchawi wa wapi? pale tabata majitu yanakosa nafasi yanakaa kwenye gari yanalilia wahudumu wawapelekee beer hukohuko wakati ukisogea the great pale hakuna wateja kabisa
nahisi back up kubwa yake ni mashoga ukweli ni kwamba siku hizi mashoga yana soko kubwa sana wadau wengi wanayafata
Siwezi itaja ila ipo hapo bima na bima zipi bar 4 mojawapo.
Unayoyasema n sahih kabsa,mpaka unaweza ukawa unaenda kuwachungulia wateja wa mpinzan wako,utashangaa kukuta wengine ni washkaji zako,wengine maisha magumu unajiuliza mbona hawaji huku kwangu kwenye unafuuNgoja nikupe siri ndugu.
Usifungue biashara sehemu eti kwakuwa umeona jirani amelemewa na wingi wa wateja. You will suffer consequences.
Unaweka kuuza bidhaa sh.elfu 2000 kama mbinu ya kuvutia wateja na wasikuone wakaendelea kwenda kununua kwa jirani yako anayeiuza sh.elfu 5.
Unaweza kuwa na lugha laini na nzuri na wateja wasije kwako wakaenda kwa jirani yako ambaye huwakaripia wateja daily.
Uchawi ni kitu kimoja kikatili sanaUnayoyasema n sahih kabsa,mpaka unaweza ukawa unaenda kuwachungulia wateja wa mpinzan wako,utashangaa kukuta wengine ni washkaji zako,wengine maisha magumu unajiuliza mbona hawaji huku kwangu kwenye unafuu
Nasikia mwenye nayo ni Mkinga.......Huyo jesca mtoto wa king kiki sijui anatumia uchawi wa wapi? pale tabata majitu yanakosa nafasi yanakaa kwenye gari yanalilia wahudumu wawapelekee beer hukohuko wakati ukisogea the great pale hakuna wateja kabisa
nahisi back up kubwa yake ni mashoga ukweli ni kwamba siku hizi mashoga yana soko kubwa sana wadau wengi wanayafata
labda mama yake baba yake si yule mzee king kiki kikumbi mwanza, mcongo aliyeimba nyimbo ya kitambaa cheupeNasikia mwenye nayo ni Mkinga.......
Kama mimi siwezi lilia bia wakati pesa yangu hata pale mlimani huwa naenda chicken hut maana bia haichelewi kuliko samaki samakiHuwa sipendi sehemu mnaenda mnabanana utafikiri bia mnapewa bure.
Huyo jesca mtoto wa king kiki sijui anatumia uchawi wa wapi? pale tabata majitu yanakosa nafasi yanakaa kwenye gari yanalilia wahudumu wawapelekee beer hukohuko wakati ukisogea the great pale hakuna wateja kabisa
nahisi back up kubwa yake ni mashoga ukweli ni kwamba siku hizi mashoga yana soko kubwa sana wadau wengi wanayafata
Sema kabisa ni mtoto wa mzee KING KIKIII[emoji2]Hyo Cha mtoto nenda Kitambaa Waiti Ya Tabata(Zamani maeda bar) utafurahi na Roho Yako.
.
Mmiliki anaitwa Jane Kikumbi, Mkinga Mmoja pisi Kali mnoo Ila bahati Mbaya amefunga Ndoa Mwaka Jana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Malizia wewe [emoji16][emoji16][emoji16]Sema kabisa ni mtoto wa mzee KING KIKIII[emoji2]
Hiyo ni kawaida kwa bar mpya sinza
Ukifungua bar mpya sinza kali inajaza kwa miaka miwili ya kwanza sana
Akitokea mwingine akafungua twna mpya kali wotw wanahamia huko
Huyo King Kikii si nilimuona kwenye TV anaumwa anaomba msaada... DahSema kabisa ni mtoto wa mzee KING KIKIII[emoji2]
We unazungumzia small planet au fortyfortySiwezi itaja ila ipo hapo bima na bima zipi bar 4 mojawapo.
Wale mademu wanajiuza huwa wanakaa hapo nje kule samaki samaki?Moro Nako Kuna Samakisamaki Daaaah Pale ni Nyoko.
.
Hii Bambalaga ya Hapa Dom Wala Hauifui Dafu Kwa Kitambaa au Samaki Ya Moro.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo mnataka kutuambia siri ya mafanikio ni ku-deploy mashoga wa kutosha site?!The Great inajaza kuanzia saa 6 usiku mpaka kule bondeni
Kitambaa saa 2 ishajaza
Kama una akili timamu bora ukaenda The Great kuliko kitambaa cheupe sababu mambo yaliyopo kitambaa cheupe hata the great yapo isipokua mashoga tu