Kunguru wa Manzese
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 12,729
- 18,119
Hizi anazo ?Na kuna mangi mmja ana kiduka pemben ya kitambaa cheupe anauza naye balaa
Anapima konyag, kvant, anauza double kick yaani vurugu tu
Anatembelea nyota ya kitambaa cheupe
Ova
Hhiiiiiiiii 😶😶😯😯😯Hizi anazo ?View attachment 2159065
Nini kiongozi ?Hhiiiiiiiii [emoji55][emoji55][emoji54][emoji54][emoji54]
Hizi anazo ?View attachment 2159065
Ndo mahitaji ya waganga haya ili sehemu ibambe?Puzzle:
*Ngombe dume
*kobe dume
*jogoo
*Chumvi
Yaani hii sehemu si J5, si Alhamis, si Ijumaa, Jumamosi na Jumapili ndiyo usiseme kabisa, yaani eti hata pa kukanyaga hamna, ni nini hiki?
Mmechinja mkamtoa kafara hapo au kuna nini jamani?
Calabash haipo kabisa pale siku hizi imehamia msasaniCalabash, 5N, Catalunya, Mawasiliano park pameshadoda
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Huwa sipendi sehemu mnaenda mnabanana utafikiri bia mnapewa bure.
Kibo zone daily tunakanyaganaIpo sehemu gani nani nikatembee weekend hii??
Ipo location gani ,hiyo mkuu !hapo park kuna totoz kibao za Ud
dolari yako tu
Kumbe mmiliki mkinga!!!Hyo Cha mtoto nenda Kitambaa Waiti Ya Tabata(Zamani maeda bar) utafurahi na Roho Yako.
.
Mmiliki anaitwa Jane Kikumbi, Mkinga Mmoja pisi Kali mnoo Ila bahati Mbaya amefunga Ndoa Mwaka Jana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo ni 89.9% au nimeona vibaya?Nini kiongozi ?
Ndio kiongoziHiyo ni 89.9% au nimeona vibaya?
Zaidi ya double kick hiyo mamaaeKu bababaaaaaa...keeeeeeeee
Mkuu hii unakaanga maini,kongosho,filigisi,utumbo mpaka bandama, khaaaaa!!
Hii husababishwa na nini..tupe uzoefu wako.Wanywaji bia wako very complicated wakiama wanahama kama nzige na wakiamia ni hivyohivyo pia.
Na dance club iko wapiCalabash haipo kabisa pale siku hizi imehamia msasani
Dunia inaenda kasi sana..yani watu wameacha mitako wamehamia kwenye mashago..inamaana mashago sasahivi ndio kivutio cha wateja baa.Huyo jesca mtoto wa king kiki sijui anatumia uchawi wa wapi? pale tabata majitu yanakosa nafasi yanakaa kwenye gari yanalilia wahudumu wawapelekee beer hukohuko wakati ukisogea the great pale hakuna wateja kabisa
nahisi back up kubwa yake ni mashoga ukweli ni kwamba siku hizi mashoga yana soko kubwa sana wadau wengi wanayafata