Element location inachangia nafikiriDar viwanja huwa vinakuja na kuondoka ila Elements iko kwenye peak miaka yote
Mkuu naomba nitajie mbili au 3.. maana huwa naishia kwenda micassa tu.Night club zipo
Ova
Halafu uanze familia kutusumbua mchango wa figoAise ntaijaribu
Ova
Maison, havoc etc nenda HapoMkuu naomba nitajie mbili au 3.. maana huwa naishia kwenda micassa tu.
Pombe nmeanza kunywa nna Miaka 16Halafu uanze familia kutusumbua mchango wa figo
Ha ha poa mkuu shukrani.Maison, havoc etc nenda Hapo
Utashanga kuona watu fulani wapo
Wkt ulikuwa hujuwi kama wapo
Usiku mjini mkubwa huu mzee
Ova
Pombe nmeanza kunywa nna Miaka 16
Ova
Unagongana na wakurugenzi, madem wadangaj wa kimataifa wapo Hapo hahaHa ha poa mkuu shukrani.
Mmm wenyewe mwaka huu kwangu mwisho ntapumzika pombe rasmiNimeshaacha baada ya kutumbukia kisimani nilidhani bafuni
Huu uzi sio salama kwangu ngoja niondoke unaweza kuniamsha mashetani nikarudi tena misriUnagongana na wakurugenzi, madem wadangaj wa kimataifa wapo Hapo haha
Ova
HahahHuu uzi sio salama kwangu ngoja niondoke unaweza kuniamsha mashetani nikarudi tena misri
Owners siyo waswahili,Dar viwanja huwa vinakuja na kuondoka ila Elements iko kwenye peak miaka yote
Maison hatari sana. Kuna watoto wakalii mpaka unajiuliza hawa mbona huwa siwaoni uraiani?Maison, havoc etc nenda Hapo
Utashanga kuona watu fulani wapo
Wkt ulikuwa hujuwi kama wapo
Usiku mjini mkubwa huu mzee
Ova
DohHizi anazo ?View attachment 2159065
Hata mimi nilivyosema hivyo mwaka juzi.Mmm wenyewe mwaka huu kwangu mwisho ntapumzika pombe rasmi
Ova
Kuna chimbo
Meeda ilikua balaa nakumbuka joh makini katoka chuga akapanga nyuma ya meeda bas deile lazima umkute hapo akichomoka anabeba mlupo anaenda nao ghettoMeeda yenyewe zamani Ilikuwa inafurika
Sema sehemu hizo siyo za kwenda kuongea mipango Maana hamta sikilizana
Huko Labda kunywa na kufata madem
Ova
Tafuta sehemu nyingine ya kupeleka stress zako tafadhali.Tafuta pesa wewe boya
inaitwa roxy mkuu karibu na mizani ya kutoka/kwenda dar.Kuna chimbo moja liko Himo njia panda sikumbuki jina ila misiba yote ya Kaskazini lazima ikutane hapo night then asubuhi kila mtu anasepa kivyake.Watu wanakula bia Mpaka maiti zinashangaa yaani mwenye ile chimbo kawini.