Inakuwaje Marehemu Milton Lupa anateuliwa mkeka mpya wa Rais?

Ikulu ni pango la comedians mkuu. Kumbe ulikuwa hujui hilo? Hawa jamaa wanachekesha sana. CCM is a laughing stock 😂🤣😂🤣
 
Ume comment upumbavu mtupu, uwe na staha mjinga we!
 
Mbona mm kwenye pdf hilo jina silioni???

Au nyie mna pdf nyingine?
 

Attachments

  • IMG-20240606-WA0009.jpg
    171.8 KB · Views: 1
Kwakweli awamu hii nchi imepatwa!!!

Inasemekana hata hao wateuliwa mara nyingi anakutana nao wakati wa kuwaapisha!! Kwahiyo siyo wateuliwa wake, ni kazi ya chawa!!
 
Linchilimekuanamamboyakijingasanahili...☹️
R.i.P Classmate..😪
 
We carry life & death sishangai maana muda wowote unapambana na kifo
Na kifo ni CONSTANT & is there to stay yaan unakula nacho una amka nacho unalala nacho yaan kifo hakikimbiwi muda wowote unapambana nacho kila dakika..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…