Silly excuse kama ni kweli no way hapo kujitetea unapaswa kujua in details kabla yakutoa public na hizi teuzi by the way wahusika hawana prio information kwa wengi wao wanakutana na mikeka unexpectedKama kafa juzi tunaweza kuwasamehe. Inaweza kutokea. Unakuta Tayari waliongea na muhusika na akacomfirm "yupo hai."
Na hili ni kosa kubwa sana. Inatakiwa wahusike wawe wanajulishwa na huu ndo utaratibu mzuriSilly excuse kama ni kweli no way hapo kujitetea unapaswa kujua in details kabla yakutoa public na hizi teuzi by the way wahusika hawana prio information kwa wengi wao wanakutana na mikeka unexpected
Nyota ni kali kuzidi sie tulio hai....Nyota hajasaini cos ye mwenyewe ni sehemu ya wateuliwa
Mbona sijamuona Wakuu?
Au kuna pdf nyingine?
Dah!...Milton Lupa amefariki juzi kwa ajali ya gari Morogoro. Leo anasomeka mkeka wa uteuzi
How comes? Hivi Katibu Mkuu Kiongozi umeruhusuje huu mkeka kutoka na makosa haya?
View attachment 3010470
Wameshabadilisha. Kweli JF iko vizuri ndo mana mamlaka wanaifuatilia sanaAngalia page 2, teuzi za Wakurugenzi wa Halmashauri, kipengele E para 5.
-Kaveli-
Usalama wako wapi kuhusu nini? Usalama ni automatic machine?Usalama wako wapi?
That is the reality of how trully she is.Kwahy kuna watu wamefanya makusudi mzigo uende hewani ili mama aonekane careless
Haijalishi. Mkeka umetoka leo! Hawajui kuwa amefariki?
Kwa mtu mzembe, hili jambo linaweza kutokea kwa sababu ni bahati mbaya. Lakini kwa wenye akili huu ni uzembe wa hali ya juu.Siyo kichekesho, acha kuidogosha Taasisi ya Urais. Tofauti ya siku kati ya ajali na yeye kuteuliwa ni ndogo sana.
Uteuzi ni mchakato ambao ulianza few days/ weeks ago. Sioni kama hii ni discrepancy ya kujadili.
Tumuombee tu marehemu Milton Lupa apumzike kwa amani
Leta hiyo pdf yenye jina acha kuropoka kama unachat facebookWewe ni mbumbumbu kabisa
Huijui kazi ya Usalama wa Taifa wewe Mbwiga!!Siyo kichekesho, acha kuidogosha Taasisi ya Urais. Tofauti ya siku kati ya ajali na yeye kuteuliwa ni ndogo sana.
Uteuzi ni mchakato ambao ulianza few days/ weeks ago. Sioni kama hii ni discrepancy ya kujadili.
Tumuombee tu marehemu Milton Lupa apumzike kwa amani
Mbowe.Ni nani anaongoza Tanzania?
Inasikitisha.That's fatal negligence kufanywa na top rank officer wa Ikulu.
Kwa watu serious, such negligence is beyond repair.
Inatoa reflection mbaya sana kwamba tunaongozwa na watu wa aina gani.
Kwani kwa teuzi mpya huwa hawafanyi vetting wala kuwapa prior notification wateuliwa?
-Kaveli-