Inakuwaje mashoga na wasagaji Wana afya Bora na maisha mazuri kuliko wale Wacha Mungu wengi woa wanaishi kwa msoto kwenye hii safari ya maisha?

Mkuu kama ni me wewe kuwa punga na kama ni ke kuwa msagaji ili uwe na maisha mazuri, Wachamungu tuache tumche Mungu wetu.
Wewe ni mchamungu? Una sifa za kuwa mchamungu?? Kwa namna ulivyo andika inaonekana kabisa yeye na papara na uwezo mdogo kifikra mchamungu anajitaja?? Mshenzi kweli wewe...
Mk*ND wako
 
Ibrahim alikuwa tajiri mpaka anamiliki jeshi.

Na ndio baba wa imani.
 
HUU ULIMWEMGU HAUKO HIVYO UNAVYIFIKIRIA WEWE , KADIRI UNAVOKUA MUOVU MAANAKE INAKUA RAHISI KUPATA PESA KWA SABABU HUCHAGUI CHANZO INAWEZA KUA POMBE , UMALAYA, UJAMBAZI , RIBA , MAUAJI, WIZI, HUKO KOTE KUNA PESA BWERERE, LAKINI KAMA NI MTU WA DINI MAANAKE UTAFUATA SHERIA HIVYO PESA ZOTE ZA HARAMU UTAZIKWEPA
 
Umepata wapi ujasiri kuandika huu uchafu? We unawatambuaje maana mtu km siwezi kumtambua yupi shoga au msagaji. Huna ht haya? We ni wakala wa shetani.
 
Ahsante shukran sana
 
Ni kipi kimepelekea uje na jibu la moja kwa moja kama hivi?

Jeh hao wote uliowataja hawana biashara zao wanaozofanya??, hawana kazi ya aina yoyote wanayofanya?

Unataka kusema kufirwa na kusagwa pekee ndo kunapelekea wao kuwa na maisha mazuri na afya njema??!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…