Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
Kwaiyo boss Kuna vitu viwili Nimekuelewa moja ni kuwa na akili mbili ni elimu? Kuna mtu anaweza na elimu ila Hana akili?? Na akili ambayo unaizungumzia hapa ni akili gani? Naturally au Ile ya kuwa civilized
Mkuu@ unaweza kuthibitisha hoja yako kwa Dunia ya Sasa!?Huwezi kuwa mtu wa Mungu ukawa maskini.
Historia ya wacha Mungu wote ni utajiri. Biblia inathibitisha hilo.
Sawa shukranAkili ni kile kinachobaki baada ya kutoa Elimu.
Akili mtu Yuko nayo, kuzaliwa nayo. Elimu Kazi yake ni kung'arisha na kuichochea Akili
Ni kama catalyst au tuseme Elimu ni kama enzymes kwenye ubongo
Hatutoki hata nje ya Tz , bakhresa huyo hapo.Naomba nikujibu kwa fact na sio opinions kama unavyo maanisha
Nitajie mtu mmoja mashuhuri duniani Ambae kwa uewelewa wako unaona kabisa na successful person me or ke alafu nikupe fact
Dunia ya sasa imejaa waovu wengi ; watu hawamuamini Mungu katika roho na kweli, wengi ni waigizaji tu.Mkuu@ unaweza kuthibitisha hoja yako kwa Dunia ya Sasa!?
Akikujibu vizuri, nitag pleaseNi kipi kimepelekea uje na jibu la moja kwa moja kama hivi?
Jeh hao wote uliowataja hawana biashara zao wanaozofanya??, hawana kazi ya aina yoyote wanayofanya?
Unataka kusema kufirwa na kusagwa pekee ndo kunapelekea wao kuwa na maisha mazuri na afya njema??!!
Mbona Allan Turing, anayefahamika kama baba wa modern computer alikuwa lishoga.. je, hakuwa na akili?Mshangae
Na huwezi kuta mtu mwenye akili akawa Msagaji au shoga. Huyo mtu huwezi kumpata.
Ila wenye Elimu wapo
Hahaha hahahha 😂 umekuja kwenye mfano mzuri sana ambao naweza kukujibu majibu Zaidi ya 3000/=Hatutoki hata nje ya Tz , bakhresa huyo hapo.
Mbona Allan Turing, anayefahamika kama baba modern computer alikuwa lishoga.. je, hakuwa na akili?
Au akili ni nini?
Hahahahah Kuna kitu hakipo sawa ndugu yangu 😂Hakuwa na akili alikuwa mpumbavu tuu.
Hahahahah Kuna kitu hakipo sawa ndugu yangu 😂
Kinachoonekana ni suala la muda tu utaanza kupumliwa kisogoni bwege wewe badala ya kuwaza kufanya kazi unawaza kuzidiwa kipato na mashoga tukusaidiaje sasa? Jiunge nao ubutuliwe nawe ufanikiwe senge wewe.Na wewe kawe shoga ili ya kwako nayo yawe mazuri
Wewe kama tayali umeshamwagiwa huko nyuma,usiwadanganye na wengine, we endelea tu kuwabong'olea kwa manufaa yakoSunday
Mleta uzi huu naye awe hao aliwataja awe na afya nzuriMshangae
Na huwezi kuta mtu mwenye akili akawa Msagaji au shoga. Huyo mtu huwezi kumpata.
Ila wenye Elimu wapo
Anavutiwa na maisha ya kina juma lokole na noeli wa wasafiKinachoonekana ni suala la muda tu utaanza kupumliwa kisogoni bwege wewe badala ya kuwaza kufanya kazi unawaza kuzidiwa kipato na mashoga tukusaidiaje sasa? Jiunge nao ubutuliwe nawe ufanikiwe senge wewe.
Nani amewaza kuzidiwa kipato na shoga brother?? Mbona unachekeshaKinachoonekana ni suala la muda tu utaanza kupumliwa kisogoni bwege wewe badala ya kuwaza kufanya kazi unawaza kuzidiwa kipato na mashoga tukusaidiaje sasa? Jiunge nao ubutuliwe nawe ufanikiwe senge wewe.