Confession
JF-Expert Member
- Mar 30, 2019
- 669
- 2,309
Tafsiri ya maisha bora na mazuri ni ipi? Tuanzie hapo kwanza naona umekurupuka sana kuandika uzi.Sunday
ila wamesagika mno maeneo wanayosaga,Sunday
Sasa wewe cocochanel unashangaa Nini?
acha kusingizia Qur'an kwenye pumba zakoNafikiri watu wengi wajinga au wenye UPEO mdogo hawajui maana ya Ucha MUNGU
Huwezi kuwa mcha Mungu ukawa na sifa alizotaja Mtoa Mada.
Quran na Biblia zote zina wacha Mungu na hakuna hata Mmoja aliyekuwa Mlalahoi at the end.
Kumbuka the end justify the meaning