ThisisDenis
Senior Member
- Apr 14, 2013
- 162
- 139
- Thread starter
-
- #81
What do you mean acquired? Acquired through formal/informal education?
I'm finding it difficult to get your argument, so all educated people are slaves to their academic achievements?
Envy towards those who have achieved academically won't make you learn the language
Kila mtu anaweza kuwa mkalimani siku hizi. Google amewarahisishia vilaza wasiachwe nyuma.Naomba niwe mkalimani , anasema hivi "
Unamaanisha nini kupatikana? Kupatikana kupitia elimu rasmi / isiyo rasmi?
Ninaona kuwa ngumu kupata hoja yako, kwa hivyo watu wote walioelimika ni watumwa wa mafanikio yao ya kitaaluma? Wivu kwa wale ambao wamefanikiwa kitaaluma hautakufanya ujifunze lugha. ".
Tumeelewana ?β
Alikuwa anawapata sababu yeye alikuwa anafake life sana sababu ni wa huko nje ya mji ( kibamba) ,Mimi sikuwa wa huko na sikuwa na uhitaji wa madem wa hivyo sababu walikuwa around meJe ulijua kwanini yeye alikuwa anapata mademu wa Kishua na wewe hupati, ulimuuliza ?
Umejiuliza umekosa nini kwa yeye kupata huo uteuzi wakati wewe unahangaika? na Lugha?
Jitathmini utajua kwanini?
super f..lWachina na Wajerumani wanaomaliza Degree zao na kuwa Wataalam wa Teknolojia, Ujenzi na Fani zingine muhimu kwa Jamii na zilizowapa Maendeleo makubwa duniani wao wanajua hiki Kiingereza chako unachokipigia Chapuo hapa na ambacho nina uhakika pia hata Wewe Mwenyewe hukijui na bado Unakibahatisha tu?
whats the point kama ulifaulu masomo kwa kutumia kiingereza afu hukijui maana yake ulikariri hiyo gpa uliipata vipi ?hizo hoja za kujibia maswali yao uliwezaje??Kwani English si ni somo kati ya masomo kadhaa anayofundishwa?
Ufaulu na uelewa wake kwenye masomo mengine ukoje?
Kuna wanaoongea English, hawajui inaandikwaje, hivyo sio maarifa ya msingi mtu kujua katika maisha yake!
Haya mambo watu wanayadharau ila nikupe mfano kuna jamaa mmoja alinifanyia mchongo nikipata kazi kwenye ngo fulani ya kijerumani basi bwana mimi nilikua niko chini yake yeye alikua boss wangu sasa kulikua na jamaa mmoja mkenya yeye ndo alikua supervisor akawa anausisitiza tujitahidi tujue lugha ya kiingereza maana report kabla ya kusbmit jamaa ana zipitia anarekebisha anazituma. zikitokea presentation huyo mkenya anafanya maisha yanaenda basi siku huyu jamaa akawa ameenda kwao kenya jamaa yangu akashika nafasi yake aisee ikatokea presentation ofisini kuna wachina, wa ghana, na mataifa kama matano tofauti pale huu mkutano ulikua zanzibar, tukaandaa power point kama kawaida sasa wakati wa kupresent duuh yule jamaa yangu alitia aibu aisee pale mbele yaani ilibidi mzungu mmoja ambaye alikua boss mkubwa akaokoe jahazi pale akasingizia kwamba jamaa hayuko vizuri {anaumwa} . Baada ya kikao ilibidi jamaa afanyiwe recheck tena walidhani amedanganya kwamba ana masters ya hiko kitu H.R wa pale ofisini aliwapigia hadi ma refereeHalafu huyu anajiita msomi, na unakuta anaGPA nzuri kabisa π tunaenda wapi afrika na nini tunakiandaa katika maisha ya sasa, sioni faida ya huyu mtu na ni mtu wa hovyo hatufai kagika jamii
Niwaulize ma lecture mnaojiita madoctor na maprofesor hawa watu wanapita mikononi mwenu na vyetu mnawaandalia ninyi
Sielewi hapa kwa akilo zangu finyu. Au kuna muanya wa kugawana magamba ya degree mbona sielewi
π€£π€£π€£
Siyo lazima kuongea english kwa ufasaha ndiyo uwe msomi. Kuandika na kuzungumza ni vitu viwili tofauti. Kuongea ni kwa kuwa na practice na lugha na ndiyo maana kuna watu hata hawakusoma lakini wanapiga lugha vizuri sana.Halafu huyu anajiita msomi, na unakuta anaGPA nzuri kabisa π tunaenda wapi afrika na nini tunakiandaa katika maisha ya sasa, sioni faida ya huyu mtu na ni mtu wa hovyo hatufai kagika jamii
Niwaulize ma lecture mnaojiita madoctor na maprofesor hawa watu wanapita mikononi mwenu na vyetu mnawaandalia ninyi
Sielewi hapa kwa akilo zangu finyu. Au kuna muanya wa kugawana magamba ya degree mbona sielewi
π€£π€£π€£
Aongee kiingereza kwani alisomea degree ya kuongea kiingereza?Halafu huyu anajiita msomi, na unakuta anaGPA nzuri kabisa [emoji2] tunaenda wapi afrika na nini tunakiandaa katika maisha ya sasa, sioni faida ya huyu mtu na ni mtu wa hovyo hatufai kagika jamii
Niwaulize ma lecture mnaojiita madoctor na maprofesor hawa watu wanapita mikononi mwenu na vyetu mnawaandalia ninyi
Sielewi hapa kwa akilo zangu finyu. Au kuna muanya wa kugawana magamba ya degree mbona sielewi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ni rahisi tu, Pythagoras sijui hata ina maana gani ila hesabu ndo inakwenda!whats the point kama ulifaulu masomo kwa kutumia kiingereza afu hukijui maana yake ulikariri hiyo gpa uliipata vipi ?hizo hoja za kujibia maswali yao uliwezaje??
Yani balaa juu ya hatariHalafu huyu anajiita msomi, na unakuta anaGPA nzuri kabisa π tunaenda wapi afrika na nini tunakiandaa katika maisha ya sasa, sioni faida ya huyu mtu na ni mtu wa hovyo hatufai kagika jamii
Niwaulize ma lecture mnaojiita madoctor na maprofesor hawa watu wanapita mikononi mwenu na vyetu mnawaandalia ninyi
Sielewi hapa kwa akilo zangu finyu. Au kuna muanya wa kugawana magamba ya degree mbona sielewi
π€£π€£π€£
akilo zako ni finyo ππHalafu huyu anajiita msomi, na unakuta anaGPA nzuri kabisa π tunaenda wapi afrika na nini tunakiandaa katika maisha ya sasa, sioni faida ya huyu mtu na ni mtu wa hovyo hatufai kagika jamii
Niwaulize ma lecture mnaojiita madoctor na maprofesor hawa watu wanapita mikononi mwenu na vyetu mnawaandalia ninyi
Sielewi hapa kwa akilo zangu finyu. Au kuna muanya wa kugawana magamba ya degree mbona sielewi
π€£π€£π€£
Hivi ukiambiwa uwe na msomi asiyeongea kiingereza kama "Marehemu" Mzee wetu au waongea kiingereza wasiokuwa wasomi kama Miss Tanzania wetu maarufu kuliko wote, ungemchagua nani?Halafu huyu anajiita msomi, na unakuta anaGPA nzuri kabisa [emoji2] tunaenda wapi afrika na nini tunakiandaa katika maisha ya sasa, sioni faida ya huyu mtu na ni mtu wa hovyo hatufai kagika jamii
Niwaulize ma lecture mnaojiita madoctor na maprofesor hawa watu wanapita mikononi mwenu na vyetu mnawaandalia ninyi
Sielewi hapa kwa akilo zangu finyu. Au kuna muanya wa kugawana magamba ya degree mbona sielewi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kuna vichaa huko uingereza wanapiga ngeli ya maana..!!!Halafu huyu anajiita msomi, na unakuta anaGPA nzuri kabisa π tunaenda wapi afrika na nini tunakiandaa katika maisha ya sasa, sioni faida ya huyu mtu na ni mtu wa hovyo hatufai kagika jamii
Niwaulize ma lecture mnaojiita madoctor na maprofesor hawa watu wanapita mikononi mwenu na vyetu mnawaandalia ninyi
Sielewi hapa kwa akilo zangu finyu. Au kuna muanya wa kugawana magamba ya degree mbona sielewi
π€£π€£π€£
Wasiokijua hukinangaMbna mjinga HV kingwrza Ni kimasai tu msingi Ni kuwa mjuzi wa mambo siyo lugha
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app