Inakuwaje mwanamke aliyeolewa anajiachia namna hii?

Nlikuwepo hapo toka sa Kisuma niliondoka saa10, kuna jamaa yangu alikuwa anafunga mziki kwa Dotto sound, nahisi kama nliwaona hao mashangingi
 
yeye ndio amekomaa sana jana twende bagamoyo hata sikuwahi kuomba game can u imagine nikampeleka sasa ninagafanyaje
Ayayayaa, hatari hii mkuu ilibidi usimuendekeze sana, ila nawewe ulinogewa tu huyoo, fisi kakabidhiwa bucha tena[emoji3] ,au ana goma anataka mlicheze wote!, kuwa makini Wise man.
 
Hapo kisuma Magomeni utamuuzia nani s. lite kwa 3,000/= Au unafikiri hatupajui sisi?
mkuu mgumu kuelewa walimu wako walipata tabu sana sijasema kisuma lite 3000,kuna joints tunakula lite kwwa 3000 halafu atuemii mlachake hata hivyo hoja aikuwa bia shilingi ngapi
 
Unajiuliza wanawake wanakosea wapi, jiulize pia huyo mumewe nae kakosea wapi, huwezi kuwa na mwanamke wa namna hiyo ukampa hadhi ya kuitwa mke!!

Ujue cheo cha mke au mume kina hadhi kubwa saana, na si kila mtu anapaswa apate hiyo, wengine wana hadhi ya kugongwa tu na kuachwa sio kuweka ndani, unajikuta unakaribisha magonjwa ya kuambukizwa na yasiyo ambukizwa.
 
Mkuu, kwanza naomba nikipongeze kwa kumili gari huko Daslam...
Lakini kuhusu huyo mama, sioni nini la kukushairi maana wanaume wa huo mkoa mlisha zowea kulelewa....View attachment 1265500
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nawapi hapo kaka na mm niende labda naweza kupata zali kama lako Golden Chance
 
Labda alikuwa mke wangu huyo, nilishashindwa kumuwekea mipaka mtu ambaye wote tumekutana mavuzi yameota! Anapenda bia za bar nami napenda bia za nyumbani nikiwa na pc yangu naperuzi jf, shida iko wapi! Stress zingine tunazitafuta kwa bidiii ati?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…