Inakuwaje mwanamke unampa hela nyingi halafu anaku-cheat na mwanaume ambaye ni masikini kuliko?

Inakuwaje mwanamke unampa hela nyingi halafu anaku-cheat na mwanaume ambaye ni masikini kuliko?

Balqior

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2021
Posts
2,406
Reaction score
8,039
Tena utakuta na kitandani shoo unasimamia vizuri tu, nimeona Real crime documentary YouTube mwanaume Wa kizungu aliuliwa na mwanamke Wa kifilipino aliekuwa anamuhonga ili huyo mwanamke abaki na security guard.

Tajiri mwingine wa kinaijeria presha ilipanda baada ya kugundua mke aliemjengea Nyumba Anatumia pesa Yake kumuhonga mwanaume Mwingine hohehae.
 
Ni kama nyama tu, Kuna siku unakula mchemsho, siku nyingine supu, Kuna wakati unakula ya kuchoma , wakati mwingine ya kukaanga, roast na kadhalika.

Unakula muke ya mutu hadi anakwambia "mume wangu hanit*mbagi vizuri kama hivi", lakini ana hela kweli kweli. Tandika mutu mBorLo hadi unuse harufu ya Qumma
 
 
 
Tena utakuta na kitandani shoo unasimamia vizuri tu, Nimeona Real crime documentary YouTube mwanaume Wa kizungu aliuliwa na mwanamke Wa kifilipino aliekuwa anamuonga ili huyo mwanamke abaki na security guaRd

Tajiri mwingine wa kinaijeria presha ilipanda baada ya kugundua mke aliemjengea Nyumba Anatumia pesa Yake kumuhonga mwanaume Mwingine hohehae
Wanawake Wana hitaji mda, hela na shughuli ya maana kutoka kwetu.
Bahati mbaya ni ngumu Sana sisi wanaume kuwa na hivi vitu kwa wakati mmoja
 
Tena utakuta na kitandani shoo unasimamia vizuri tu, Nimeona Real crime documentary YouTube mwanaume Wa kizungu aliuliwa na mwanamke Wa kifilipino aliekuwa anamuonga ili huyo mwanamke abaki na security guaRd

Tajiri mwingine wa kinaijeria presha ilipanda baada ya kugundua mke aliemjengea Nyumba Anatumia pesa Yake kumuhonga mwanaume Mwingine hohehae
We mpelekee motoo shida ipo wapii?
 
Afadhali ungesema unampa mapenzi anaenda kwa wengine, sasa unampa pesa, kwani pesa inaweza simama mahali badala ya mapenzi na mapenzi yanaweza simama mahalo badala ya pesa?
 
Mwanamke ni kama kijiko cha hotelini tu, usitake kujua ni nani alikitumia kabla yako. Kama kimeoshwa wee endelea kutumia.
 
Kwako alikwa anakudangia tu moyo wake upo kwingine.
 
Usije ukasahau vitu vichache.Mapenzi huwa siyo fedha ni hisia zaidi broo.yaani unaweza kuwa na mihela yako mwanake akapenda hiyo mihela ila siyo wewe.Halafu kingine ,Mapenzi siyo kujituma kitandani pekee.ni more than that.kama hupendwi hupendwi tuu,hata ulazimishe vipi huwa haiwi. So in most cases wale wanaotarajia kuingia kwenye ndoa jipeni space ya kujuana vizuri ma wenzi wenu .hasa mmoja akiwa financial super strong kuliko mwingine.au ikiwa mwanamke umri umekwenda kwenda .Ndiyo inabidi muwe na muda mwingi zaidi wa kumjuana na mtarajiwa wako.Ukikutana na dosari kubwa mkiwa kwenye uchumba nashauri vunja uchumba.Maana mkishaoana seperation cost is too high.

Tumeshuhudia zile ndoa za voda faster zikifa faster.



Tena utakuta na kitandani shoo unasimamia vizuri tu, nimeona Real crime documentary YouTube mwanaume Wa kizungu aliuliwa na mwanamke Wa kifilipino aliekuwa anamuhonga ili huyo mwanamke abaki na security guard

Tajiri mwingine wa kinaijeria presha ilipanda baada ya kugundua mke aliemjengea Nyumba Anatumia pesa Yake kumuhonga mwanaume Mwingine hohehae
 
Back
Top Bottom