Abu-Irfan
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 379
- 330
Hapa umeongea.Cheating ni tabia tu...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa umeongea.Cheating ni tabia tu...
Kwani ulimpa sh ngapi?!Tena utakuta na kitandani shoo unasimamia vizuri tu, nimeona Real crime documentary YouTube mwanaume Wa kizungu aliuliwa na mwanamke Wa kifilipino aliekuwa anamuhonga ili huyo mwanamke abaki na security guard
Tajiri mwingine wa kinaijeria presha ilipanda baada ya kugundua mke aliemjengea Nyumba Anatumia pesa Yake kumuhonga mwanaume Mwingine hohehae
Ni kili kusema mchawi ni pesa tu...Mimi kuna muda demu nilikuwa nampiga show hadi analalamika nisije nikamcheat...anatamka kabisa “ulikuwa wapi siku zote” ukiachana na hivyo ikija ishu ya kucare sijui alikuwa muda wote anatamani kuongea na mimi yaani nikiongea full kufrahi mpaka akawa anasema napenda unanichekesha sana naenjoy kuwa na wewe ukiwa serious utaniboa...Jinsi ya Kumfikisha mwanamke Kileleni (Mfanye mwanamke wako akojoe kwanza kabla yako)
[emoji725][emoji725][emoji725][emoji725] Leo tuangukie Sita kwa sita !! ..ni ndefu ila maliza ,ikuongezee kitu, Huko nyuma niliwah andika uzi namna gani ya kua na uwezo wa kuhimili tendo zaidi ya dakika 30+, jinsi gan ya kufanya uume uwe ngangari Unaposimama, jinsi gan uwe na uwezo wa kurudia...www.jamiiforums.com
Afadhali ungesema unampa mapenzi anaenda kwa wengine, sasa unampa pesa, kwani pesa inaweza simama mahali badala ya mapenzi na mapenzi yanaweza simama mahalo badala ya pesa?
Kuna wanaume wanasimamia mbususu kama bicycle na bado wanaachwa.Mapenzi sio pesa tu Kuna hisia, kuwa romantic, maumbile na unasimama vipi ulingoni
Ni kama nyama tu, Kuna siku unakula mchemsho, siku nyingine supu, Kuna wakati unakula ya kuchoma , wakati mwingine ya kukaanga, roast na kadhalika.
Unakula muke ya mutu hadi anakwambia "mume wangu hanit*mbagi vizuri kama hivi", lakini ana hela kweli kweli. Tandika mutu mBorLo hadi unuse harufu ya Qumma
[emoji120][emoji120]Mwanamke anahitaji full attention na siku zote ukiwa mtafutaji huwezi kumpa attention anayoitaka akili inawaza kazi ukipata mnagawana afurahi, yeye anataka muwe mnachat 24/7, umbebishe kila muda, akitaka sex umpe muda huo huo....
Hapo ndio anaenda kugongwa na hawa wadaka chozi super marioo wazee wa kujiongeza, atampa kila anachohitaji, atamlamba kila kona ya mwili baadae atakuona wewe si kitu ila yule Marioo ndio mtu...
Watapanga wakuondoe Duniani ili waishi peke yao kwa raha, ukishakufa Mali zinarudi kwake, wataenjoy kwa 3 months baada ya hapo Marioo anataka kuwavimbia vitoto vibichi, atapeleka attention kule, huyo mwanamke atakosa raha, atatamani waachane lakini kuna siri waliifanya pamoja so inabidi walindane, atabaki na stress, atajutia kitendo chake, atamuua Marioo au atakufa yeye kwa presha na majuto.
Funzo: Ukiwa na Pesa Mtihani, usipokua na Pesa Mtihani.
We mzee wewe unasemaaaaNi kama nyama tu, Kuna siku unakula mchemsho, siku nyingine supu, Kuna wakati unakula ya kuchoma , wakati mwingine ya kukaanga, roast na kadhalika.
Unakula muke ya mutu hadi anakwambia "mume wangu hanit*mbagi vizuri kama hivi", lakini ana hela kweli kweli. Tandika mutu mBorLo hadi unuse harufu ya Qumma
Heri ya mwaka mpya na kwako pia Anko wetu,[emoji120][emoji120]
Heri ya mwaka mpya Anko.
Mungu ni mwema Anko.Heri ya mwaka mpya na kwako pia Anko wetu,
Mzima kabisa?