Jodoki Kalimilo
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 12,559
- 11,180
Haha you sound hurt bro, calm down. Channel that anger and energy to the right places, your own affairs. Labda ungejaribu kuwaonyesha jinsi gani maisha ya familia ni baraka na mazuri wangetamani wafanye mambo. Ila kwa hii tone, inaonekana unatamani maisha yao. I'm just saying.
Besides, kama unawajua tafuta namna uwaambie moja kwa moja. Men say things about other men in their faces, bro.
And y'all bros in your 30s-40s, act your age. Family or not.
haaaahaaaaaaahaaaakila MTU na maisha yakee kwani wewe umeshaolewa
Hivi inakuwaje mwanaume mzima unakuwa na pesa za kutosha, umefika miaka 30 hadi 40 hapo katikati, lakini bado unashangaa anakuwa na girl friend tu, au pengine hata halijaoa?
Hivi huwa ni tatizo gani, huwa yananikera halafu dah.
Nilikuwa nasoma na jamaa mmoja hivi, watoto wa huko masakimasaki huko anajifanya mwenyewe ni mambo safi, lakini story zake zote "my girlfriend".
Wenzake tumeoa tangu tukiwa na 25 wakati hata maisha hayajawa mazuri na maisha yameboreka kuwa mazuri tukiwa ndani na wake zetu kwa kushirikiana na wake zetu kujenga maisha.
Sasahivi tuna watoto wakubwa kabisa tunahangaika kusomesha yeye hana mtoto anabadilisha tu wasichana, hela anayo, lakini akili ya kuoa hana.
Wanaume wenzangu mnakera sana wakati mwignine.
Dah tumeanza kusemana wenyewe kwa wenyewe!
Kwani kuoa ni lazima? Hujui hata Jullie Bishop foreign minister wa Australia (55) ana bf! Hata Jullie Gillard former Pm (57) ana bf tu! Sio vizuri kupangiana maisha, kuoa ama kuolewa sio lazima ishi utakavyo wewe
Dalili za mwanaume kuwa na majungu
hahhaha mbavu zangu kuleeee.. Such a good question.unatafuta mume?
mhh ndiyo majungu, kuna siku umekosa pumzi kwa sababu huyo jamaa hajaoa...sio majungu kwenye ukweli lazima tuambiane bana!
Hivi kwenu kuoa ni lazima? Au ndio mambo haya ya uanaume ni kuoa na uanamke ni kuolewa? Kwanini aige mkumbo wako? Kuna mwenzangu mmoja alioa akiwa darasa la 7, wengine walioa baada ya sekondari, wengine walioa chuo kikuu, wengine baada ya Phd. wengine waliangalia uwezo wa kichumi wengine waliangalia umri. Wewe miaka 25 uchumi wako na elimu yako vilikuwaje? Sasa kinakukera nini wakati maisha ni yake?Hivi inakuwaje mwanaume mzima unakuwa na pesa za kutosha, umefika miaka 30 hadi 40 hapo katikati, lakini bado unashangaa anakuwa na girl friend tu, au pengine hata halijaoa? Hivi huwa ni tatizo gani, huwa yananikera halafu dah.Nilikuwa nasoma na jamaa mmoja hivi, watoto wa huko masakimasaki huko anajifanya mwenyewe ni mambo safi, lakini story zake zote "my girlfriend".Wenzake tumeoa tangu tukiwa na 25 wakati hata maisha hayajawa mazuri na maisha yameboreka kuwa mazuri tukiwa ndani na wake zetu kwa kushirikiana na wake zetu kujenga maisha.Sasahivi tuna watoto wakubwa kabisa tunahangaika kusomesha yeye hana mtoto anabadilisha tu wasichana, hela anayo, lakini akili ya kuoa hana.Wanaume wenzangu mnakera sana wakati mwignine.