Demu wa kawaida maana yake demu ambaye hana exposure ya maisha. Mara nyingi wale ambao sio ma slay queen au ambao wageni wa matanuzi matanuzi ya town.Demu wa kawaida ndio yupi? πππ
Alaf sura za kawaida na demu wa kawaida ni kitu kimoja?
Kwahiyo mko kuzimu au?Ni kweli niko na jamaa amefariki juzi tu hapa parking kajaza magari nyumba ya dola milion 1 ila hana ata mke nikatoto tu alichepuka zamain basi
C.c RRONDO you are missedMara nyingi wenye pesa wako na ego sana, na aina ya wanawake wanaowataka ni wale wanawake wasioangalia pesa tu ili kuwa na mwanaume. Wanaangalia vitu vingine ambavyo mara nyingi wanaume wenye pesa hawana.
Heaven Sent hebu weka hapa ule uzi mama, wajifunze hawa watoto.
Ahaaa na niliona kule umemuliza jamaa " sura za kawaida ni zip?" vip ameshakupa jibu na mimi uniambie π€£π€£πDemu wa kawaida maana yake demu ambaye hana exposure ya maisha. Mara nyingi wale ambao sio ma slay queen au ambao wageni wa matanuzi matanuzi ya town.
Yaani feza ipo na bado nijishughulishe tena?![emoji15][emoji15][emoji15]big NO!!Siku ya kutiana tukikutana nakuambia tu panda juu mama jishughulishe!Yaani wewe fukara ndiye unatakiwa unipande mimiWakaka wenye pesa wanajikutana wanapenda vizuri, wanapenda wadada wazuri kama chakula,
Na shughuli huaga hawana nadhani
Ewalaaa!!
Huyu msukuma kapotea kweli.
Waambie waje Arusha mkuu, huku kama wanataka watakmbia wenyewe.Kuna watu kama wanne hivi wa karibu ninaofahamiana nao, hao wanaume aisee wako vizuri kifedha, wana nyumba wana magari mazuri ya kutembelea na biashara wanazo zinazowaingizia pesa mingi.
Sasa kinachonishangaza ni kuwa hao wote wana-struggle kupata wadada wa kuwa nao kwenye mahusiano, pamoja na ukwasi walionao, wanalalamika kuwa wanaishia kuliwa hela zao na kukimbiwa, halafu papuchi hawapewi hata Mara moja.
Wanajaribu kila njia lakini wapi, tena hao wadada wanaowakataa wanajua kuwa hao jamaa wako vizuri kipesa, ila ndo hivo tena..kimuonekano, hao jamaa naweza kusema wako smart tu na wana sura za kawaida...
Wacha bwana!!!Unasema wanaume wenye pesa wana "ego" sasa maana ya "ego" unayoongelea ww ni ipi?
Wanawake ndo mnaongoza kuwa na "ego" ndo maana hata mumpende/mvutiwe kingono na mwanaume kiasi gani, ego yenu haiwez kuwaruhusu muende kuwaambia live hao wanaume, bcoz mnahisi mtajishusha thamani, au mtakataliwa hivyo ego yenu itaumia..
Jael
Hajanijibu hadi sasa.Ahaaa na niliona kule umemuliza jamaa " sura za kawaida ni zip?" vip ameshakupa jibu na mimi uniambie π€£π€£π
Nenda wewe Kama imeshindikana kwa hao wenzakoKuna watu kama wanne hivi wa karibu ninaofahamiana nao, hao wanaume aisee wako vizuri kifedha, wana nyumba wana magari mazuri ya kutembelea na biashara wanazo zinazowaingizia pesa mingi.
Sasa kinachonishangaza ni kuwa hao wote wana-struggle kupata wadada wa kuwa nao kwenye mahusiano, pamoja na ukwasi walionao, wanalalamika kuwa wanaishia kuliwa hela zao na kukimbiwa, halafu papuchi hawapewi hata Mara moja.
Wanajaribu kila njia lakini wapi, tena hao wadada wanaowakataa wanajua kuwa hao jamaa wako vizuri kipesa, ila ndo hivo tena..kimuonekano, hao jamaa naweza kusema wako smart tu na wana sura za kawaida...
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]eti chanzo cha pesa ni ulimwengu wa roho.Wanaogopa huenda chanzo cha pesa ni ulimwengu wa roho
"Guys be like"
Guys be like "Nina Kazi nzuri.. Gari...Nyumba, Pesa...lakini sipati Mke"
.C.c RRONDO you are missed
Ukija uzi wanaume tusiokuwa na kitu,sura ngumu tunavyokataliwa na wanawake mnishtue.Ewalaaa!!
Huyu msukuma kapotea kweli.
Ahahahhhaa nomaYaani feza ipo na bado nijishughulishe tena?![emoji15][emoji15][emoji15]big NO!!Siku ya kutiana tukikutana nakuambia tu panda juu mama jishughulishe!Yaani wewe fukara ndiye unatakiwa unipande mimi
Mama mtumishi Heaven Sent ndio alikuita, hebu muulize why alikuita.Ukija uzi wanaume tusiokuwa na kitu,sura ngumu tunavyokataliwa na wanawake mnishtue.
Huu wa wenye pesa wanaokosa wanawake wa kuoa haunihusu.