Inakuwaje mwanaume unakuwa tajiri, halafu kupata mwanamke inakuwa shida?

Inakuwaje mwanaume unakuwa tajiri, halafu kupata mwanamke inakuwa shida?

Demu wa kawaida ndio yupi? 😂😂😂

Alaf sura za kawaida na demu wa kawaida ni kitu kimoja?
Demu wa kawaida maana yake demu ambaye hana exposure ya maisha. Mara nyingi wale ambao sio ma slay queen au ambao wageni wa matanuzi matanuzi ya town.
 
Ukipata Mali anaokukodolea jicho ni walaji tu sisi kwetu tunawaita wapiga shoti au wafirisi

Kwa hiyo lzm amtest Kila mwanamke Kama anaweza akamentain status ya Mali shida Sasa wengi wao ni .....
 
Sura na personality navyo vina-matter jamani....money is not everything!
 
Demu wa kawaida maana yake demu ambaye hana exposure ya maisha. Mara nyingi wale ambao sio ma slay queen au ambao wageni wa matanuzi matanuzi ya town.
Ahaaa na niliona kule umemuliza jamaa " sura za kawaida ni zip?" vip ameshakupa jibu na mimi uniambie 🤣🤣😉
 
Wakaka wenye pesa wanajikutana wanapenda vizuri, wanapenda wadada wazuri kama chakula,

Na shughuli huaga hawana nadhani
Yaani feza ipo na bado nijishughulishe tena?![emoji15][emoji15][emoji15]big NO!!Siku ya kutiana tukikutana nakuambia tu panda juu mama jishughulishe!Yaani wewe fukara ndiye unatakiwa unipande mimi
 
Ewalaaa!!
Huyu msukuma kapotea kweli.

Unasema wanaume wenye pesa wana "ego" sasa maana ya "ego" unayoongelea ww ni ipi?

Wanawake ndo mnaongoza kuwa na "ego" ndo maana hata mumpende/mvutiwe kingono na mwanaume kiasi gani, ego yenu haiwez kuwaruhusu muende kuwaambia live hao wanaume, bcoz mnahisi mtajishusha thamani, au mtakataliwa hivyo ego yenu itaumia..
Jael
 
Kuna watu kama wanne hivi wa karibu ninaofahamiana nao, hao wanaume aisee wako vizuri kifedha, wana nyumba wana magari mazuri ya kutembelea na biashara wanazo zinazowaingizia pesa mingi.

Sasa kinachonishangaza ni kuwa hao wote wana-struggle kupata wadada wa kuwa nao kwenye mahusiano, pamoja na ukwasi walionao, wanalalamika kuwa wanaishia kuliwa hela zao na kukimbiwa, halafu papuchi hawapewi hata Mara moja.

Wanajaribu kila njia lakini wapi, tena hao wadada wanaowakataa wanajua kuwa hao jamaa wako vizuri kipesa, ila ndo hivo tena..kimuonekano, hao jamaa naweza kusema wako smart tu na wana sura za kawaida...
Waambie waje Arusha mkuu, huku kama wanataka watakmbia wenyewe.
 
Unasema wanaume wenye pesa wana "ego" sasa maana ya "ego" unayoongelea ww ni ipi?

Wanawake ndo mnaongoza kuwa na "ego" ndo maana hata mumpende/mvutiwe kingono na mwanaume kiasi gani, ego yenu haiwez kuwaruhusu muende kuwaambia live hao wanaume, bcoz mnahisi mtajishusha thamani, au mtakataliwa hivyo ego yenu itaumia..
Jael
Wacha bwana!!!
 
Sababu ni mbili
1.Mwanaume kuwa na pesa lakini hajui maarifa ya mahusiano(social and emotional issues) au mapenzi, pesa sio kila kitu

2.Mwanamke kumkubali mwanaume mwenye pesa bila mapenzi ya dhati, ukiwa na pesa unaweza kupata wanawake wanaofake upendo ili kusaidika kimaisha
 
Waambie waskilize SUZANA ya Saut so,
Kuna tule tu mstari tunasema
"Mwanaume hisia......
Mwanamke hisia..."

Arafu waende kwa mtu wafasihi ili awape ufafanuzi wa iyo mistar..aki tena wataelewa shida ni Nn kwao..
 
Kuna watu kama wanne hivi wa karibu ninaofahamiana nao, hao wanaume aisee wako vizuri kifedha, wana nyumba wana magari mazuri ya kutembelea na biashara wanazo zinazowaingizia pesa mingi.

Sasa kinachonishangaza ni kuwa hao wote wana-struggle kupata wadada wa kuwa nao kwenye mahusiano, pamoja na ukwasi walionao, wanalalamika kuwa wanaishia kuliwa hela zao na kukimbiwa, halafu papuchi hawapewi hata Mara moja.

Wanajaribu kila njia lakini wapi, tena hao wadada wanaowakataa wanajua kuwa hao jamaa wako vizuri kipesa, ila ndo hivo tena..kimuonekano, hao jamaa naweza kusema wako smart tu na wana sura za kawaida...
Nenda wewe Kama imeshindikana kwa hao wenzako
 
Back
Top Bottom