Etugrul Bey
JF-Expert Member
- Aug 6, 2020
- 6,514
- 15,247
- Thread starter
- #21
Ni wa kuwasikitikia sana kwakweliNajiwaziaga wanaokataa wazazi wao huwa wanapatwa na nini mpaka kufikia huko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni wa kuwasikitikia sana kwakweliNajiwaziaga wanaokataa wazazi wao huwa wanapatwa na nini mpaka kufikia huko
Hili nalo linashangaza sana,,.Muda mwingine wako sahihi.
Kuna mzazi hajahusika kivyovyote katika malezi yako, umejitesekea na kujipambania mwenyewe tu, huyo hata akikataliwa ni sawa.
Tunaopaswa kuwashangaa ni wanaokataa watoto wao.
Mzazi ndiye anatakiwa kuachia watoto urithi. Waafrika na watu wengi duniani wameishi hivyo kwa miaka mingi sana. Hii ya kusaidia wazazi kimali imekuja juzi juzi tu.
Safi, Upo sahihi kwa upande wakoMimi nadhani Mungu awasamehe sana wanaoshindwa kuwalea watoto wao.
Mimi wajibu wangu ni kulea niliowazaa. Wazazi mimi sijawazaa.
Ngoja waje kukutisha eti "utapata laana"Hapana, Ninamaanisha nikiwa serious sana, fikiria tu vizuri.
Ni nani anayetakiwa kumlea mwenzie kati ya mzazi na mtoto?
Hawa ndio ambao inabidi wapuuzwe wakifika utu uzimani,Wazazi wanaowakataa watoto wao Je??..
Umejipambania baada ya kuwa mkubwa na nguvu zako si ndioMuda mwingine wako sahihi.
Kuna mzazi hajahusika kivyovyote katika malezi yako, umejitesekea na kujipambania mwenyewe tu, huyo hata akikataliwa ni sawa.
Tunaopaswa kuwashangaa ni wanaokataa watoto wao.
Siyo sahihi, imeletwa tu na umasikini. Lakini kuna jamii bado zinafuata ya kale. Kama ni mfugaji unamuachia mwanao ng'ombe. Kama ni mvuvi unamuachia mtumbwi.Hiyo ya juzi ndo sahihi.
Huwezi kumlazimisha mama yako au baba yako asipate shida, hayo ni maisha yao.Ufahamu mdogo ni pale upo na uwezo mzuri wa kiuchumi Ila mama yako au baba yako anapata shida that's bullshit Nigga.
Simply because it's not illegal for one to abandon his/her parents..View attachment 3188476
Nikiwa ndani ya mwendo kasi miezi kadhaa iliyopita,abiria mwenzangu anaongea na mtu kwenye simu kuhusiana na watoto ambao wameshindwa kumhudumia mzazi wao apate matibabu
Baada ya kukata simu yule bwana nikaendeleza mazungumzo yake kwakuwa yalinigusa sana,ndo akanipa kisa cha watoto takribani watano ambao wameshindwa kumhudumia mzazi wao kwa kutoa fedha zao
Bila aibu wanataka mzazi wao akishavuna mazao yake ayauze kisha ndio wakamtibie,tena cha kushangaza sio kwamba watoto wote wapo vibaya,baadhi yao wapo vizur kiuchumi,huyo first born yupo vizur lakini kichwani hakuna kitu
Kweli walisema waswahili kuzaa si kupata,hata kama kuna mambo ambayo huenda wazazi walikosea huko nyuma,lakini kuna mengi sana waliyafanya na kujitoa kwa ajili ya vijana mpaka wakafikia hapo walipofikia
Huu ni mfano mdogo wa watoto ambao hawawajali wazazi wao,na wengine hufikia mbali zaidi kutokana na hadhi zao hapa mjini kuwakana kabisa kwakuwa hawafanani na status zao
Una faida gani wewe hapa duniani na mbinguni kama huwajali wazazi wako,wale tunaosoma vitabu vitakatifu tunafahamu Mola wetu mlezi anasisitiza sana juu ya kuwaangali na kuwatunza wazazi wawili,ikiwa muumba wetu anasisitiza hilo je wewe ni nani uyapuuze hayo
Uko radhi hapa mjini ujionyeshe kwa watu kwamba una fedha nyingi na kutoa ofa nyingi huku wazazi wako wanakosa chakula na mahitaji mengine,unakaa kwenye nyumba nzuri lakini wazazi wako wanakaa kwenye nyumba ya nyasi
Tambua kwamba wazazi wako ndio tiketi yako ya kupata kibali cha mola wako,watu wema wa zamani wakiondokewa na wazazi wao,husikitika sana kwakuwa milango ya kheri imepungua,kuna thawabu ambazo huwa unazipata kwa kuwatunza wazazi wako lakini wengi wetu hatuyazingatii hayo
Tubadilikeni ndugu zangu,bila wazazi wako kukulea na kukutunza usingefikia hapo ulipi leo,unaitwa mheshimiwa fulani au mtaalamu fulani au mzazi fulani kutokana na mchango wa malezi kutoka kwa wazazi wako
Ni hayo tu!
Hapo mara nyingi inakuwa mzazi hajawalea watoto vizuri.View attachment 3188476
Nikiwa ndani ya mwendo kasi miezi kadhaa iliyopita,abiria mwenzangu anaongea na mtu kwenye simu kuhusiana na watoto ambao wameshindwa kumhudumia mzazi wao apate matibabu
Baada ya kukata simu yule bwana nikaendeleza mazungumzo yake kwakuwa yalinigusa sana,ndo akanipa kisa cha watoto takribani watano ambao wameshindwa kumhudumia mzazi wao kwa kutoa fedha zao
Bila aibu wanataka mzazi wao akishavuna mazao yake ayauze kisha ndio wakamtibie,tena cha kushangaza sio kwamba watoto wote wapo vibaya,baadhi yao wapo vizur kiuchumi,huyo first born yupo vizur lakini kichwani hakuna kitu
Kweli walisema waswahili kuzaa si kupata,hata kama kuna mambo ambayo huenda wazazi walikosea huko nyuma,lakini kuna mengi sana waliyafanya na kujitoa kwa ajili ya vijana mpaka wakafikia hapo walipofikia
Huu ni mfano mdogo wa watoto ambao hawawajali wazazi wao,na wengine hufikia mbali zaidi kutokana na hadhi zao hapa mjini kuwakana kabisa kwakuwa hawafanani na status zao
Una faida gani wewe hapa duniani na mbinguni kama huwajali wazazi wako,wale tunaosoma vitabu vitakatifu tunafahamu Mola wetu mlezi anasisitiza sana juu ya kuwaangali na kuwatunza wazazi wawili,ikiwa muumba wetu anasisitiza hilo je wewe ni nani uyapuuze hayo
Uko radhi hapa mjini ujionyeshe kwa watu kwamba una fedha nyingi na kutoa ofa nyingi huku wazazi wako wanakosa chakula na mahitaji mengine,unakaa kwenye nyumba nzuri lakini wazazi wako wanakaa kwenye nyumba ya nyasi
Tambua kwamba wazazi wako ndio tiketi yako ya kupata kibali cha mola wako,watu wema wa zamani wakiondokewa na wazazi wao,husikitika sana kwakuwa milango ya kheri imepungua,kuna thawabu ambazo huwa unazipata kwa kuwatunza wazazi wako lakini wengi wetu hatuyazingatii hayo
Tubadilikeni ndugu zangu,bila wazazi wako kukulea na kukutunza usingefikia hapo ulipi leo,unaitwa mheshimiwa fulani au mtaalamu fulani au mzazi fulani kutokana na mchango wa malezi kutoka kwa wazazi wako
Ni hayo tu!
Wazazi hawakuwa na muda na mimi, nilikuwa natangatanga tu mara kwa dada mara kwa shemeji.Umejipambania baada ya kuwa mkubwa na nguvu zako si ndio
Vp ulipokuwa mchanga na mdogo?
Nakubaliana na wewe juu ya hoja yakoHapo mara nyingi inakuwa mzazi hajawalea watoto vizuri.
Sasa tupo pamoja.Hawa ndio ambao inabidi wapuuzwe wakifika utu uzimani,
Mie nawashangaa wale ambao wamelelewa na wazazi wao vizuri tu lakini wakifika mahali huwa wanawakataa sijui shida huwaga nini
Labda kungekuwa na wazoefu watupe miongozo
Cc. Mjuni Lwambo
Soma comment number 36..Nakubaliana na wewe juu ya hoja yako
Lakini
Kuna wengine wamepata malezi mazuri ila baada ya kuwa na ndoa zao basi kila kitu kinabadilika
Hili ulilosema nalo huchangia sana vwatoto kuwasahau wazazi wao,akisha zama katika penzi la mke basi anamsahau hata mzazi wakeSasa tupo pamoja.
Mtoto aliyelelewa na kutunzwa kwa moyo mmoja na wazazi wake kisha akaja kuwatelekeza ukubwani mara nyingi (sio zote) huwa anakuwa anatawaliwa na mke wake.
Yaani anatunza sana ndugu wa mke kuliko ndugu zake na ikitokea amefilisika mke anamkimbia na ndugu wa mke pia wanamzimia simu.
KATAA NDOA.
Watoto iwe second au third option na sio first..Wakuu waliotoa hoja hapo juu ya kwamba, Sio Majukumu ya mtoto kumlea mzazi, Ukizaa manake una means ya kulea hao watoto, pia mzazi jiandalie maisha yako ya uzeeni, Usitegemee watoto!