Yeah it's forty something, six women's.Huyo mwamba watoto 40!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeah it's forty something, six women's.Huyo mwamba watoto 40!
Ni very easy and implementable, wanangu wakifika 15 years na nguo zangu wataanza kunifulia na kuzipanga bila kutumia washing machine.Nimeipenda hii
Vizur sana boss,na hata wakinuna lakini siku moja watakuja kukushukuru kwa jinsi ulivyowajengea msingi mzuri wa maishaNi very easy and implementable, wanangu wakifika 15 years na nguo zangu wataanza kunifulia na kuzipanga bila kutumia washing machine.
But huku chini tunaenda kwa upendo na discipline ili wasione wanateseka.
Shida ya wazazi wa siku hizi eti unaogopa mtoto atanuna... WTF???? We nuna tu but rules are rules, am the parent
Ndio maana kuna viinua mgongo (pensheni), na pia rasilimali zako ndio inabidi zikutunze, na ukiondoka watoto watarithi.Kwahiyo nao wasije kulelewa hapo baadae kwakuwa,watoto wao nao watakuwa na watoto wao 😂😂