Inakuwaje Mzazi Anaweza Lea Watoto Kadhaa Lakini Watoto hawawezi Kulea Mzazi Wao

Muda mwingine wako sahihi.

Kuna mzazi hajahusika kivyovyote katika malezi yako, umejitesekea na kujipambania mwenyewe tu, huyo hata akikataliwa ni sawa.

Tunaopaswa kuwashangaa ni wanaokataa watoto wao.
Hili nalo linashangaza sana,,.
Means wanaokataa watoto ndio hao wazazi wanaopaswa kupuuzwa
 
Hapana, Ninamaanisha nikiwa serious sana, fikiria tu vizuri.

Ni nani anayetakiwa kumlea mwenzie kati ya mzazi na mtoto?
Ngoja waje kukutisha eti "utapata laana"

Watu wanazaa tu "out of ego and peer pressure" watoto 5 kisha wanawatelekeza, na watoto wakija kuwatelekeza wao, wanakimbilia kuwaita viongozi wa dini kukutisha eti utapata laana..
 
Muda mwingine wako sahihi.

Kuna mzazi hajahusika kivyovyote katika malezi yako, umejitesekea na kujipambania mwenyewe tu, huyo hata akikataliwa ni sawa.

Tunaopaswa kuwashangaa ni wanaokataa watoto wao.
Umejipambania baada ya kuwa mkubwa na nguvu zako si ndio

Vp ulipokuwa mchanga na mdogo?
 
Ufahamu mdogo ni pale upo na uwezo mzuri wa kiuchumi Ila mama yako au baba yako anapata shida that's bullshit Nigga.
Huwezi kumlazimisha mama yako au baba yako asipate shida, hayo ni maisha yao.

Ni sawa na kudhani kuwa unaweza kumfanya mtu mwingine awe tajiri. Kuwa tajiri au masikini ni maamuzi ya mtu binafsi.

Kudhani kuwa mtoto akiwa na uwezo wa kifedha basi ni lazima wazazi wake nao waishi kifahari ni bullshit.
 
Simply because it's not illegal for one to abandon his/her parents..
 
Hapo mara nyingi inakuwa mzazi hajawalea watoto vizuri.
 
Hawa ndio ambao inabidi wapuuzwe wakifika utu uzimani,
Mie nawashangaa wale ambao wamelelewa na wazazi wao vizuri tu lakini wakifika mahali huwa wanawakataa sijui shida huwaga nini
Labda kungekuwa na wazoefu watupe miongozo
Cc. Mjuni Lwambo
Sasa tupo pamoja.

Mtoto aliyelelewa na kutunzwa kwa moyo mmoja na wazazi wake kisha akaja kuwatelekeza ukubwani mara nyingi (sio zote) huwa anakuwa anatawaliwa na mke wake.

Yaani anatunza sana ndugu wa mke kuliko ndugu zake na ikitokea amefilisika mke anamkimbia na ndugu wa mke pia wanamzimia simu.

KATAA NDOA.
 
Hili ulilosema nalo huchangia sana vwatoto kuwasahau wazazi wao,akisha zama katika penzi la mke basi anamsahau hata mzazi wake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…